Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Nakusudia kuacha kama wewe lakini naona muda ambao nilikuwa natumia kunywa pombe, umalaya na kubet nitakuwa nafanya nini ili nisiviweke kwenye ratiba
Jiunge ma gym uwe unafanya mazoezi, soma vitabu, tafuta vitu ama passion mpya ya kujifunza iwe kupiga gitaa, kinanda, drums, nk.
 
Mi nakushauri usiache chochote hapo bali ufanye kwa kiasi. kila kimoja hapo kinakamilisha maisha. la utajikuta unajizuia kitu hadi ni kama unajiandaa kuishi tena baada kutoishi huku. anza kunywa kwa kias hasa kwako na uache kunywa kikampan vya leta kama tulivyo. pili fanya ngono kwa kias. kwamba mhusika amekuvutia na si tu ukojoe. tatu beti mpira tu.

Usikose kubet jackpots za 100 au 1000 na ujue utafidia wapi hicho kias kidogo kama kuhairisha bia 1 tu, au bet mechi 1 tu odd ya uhakika tia kamzigo kakubwa hutajuta sana hata kama utapata kidogo. ni biashara hiyo, ni utafutaji. ila kamwe usioe ili upate k ya uhakika, utaikinai. oa rafiki yako unayemwitaji nje ya kitandan. LIVE RESPONSIBLY! {Life has got only one formula, which t is; NO FORMULA}
Sinywi pombe, sitembei na malaya, sibet wala sivuti sigara, unataka kuniambia sijakamilisha maisha? Tuache kutukuza haya mambo bhana.

Ulevi, umalaya na kubet kunaharibu maisha ya vijana wengi sana sasa hivi, wanatumikishwa bila kujijua. Jana kuna kijana kaja ofisini akanambia amekunywa dawa fulani saa tano asubuhi, anaweza kunywa pombe? Aliponitajia jina la dawa nikamwambia asubiri mpaka masaa 48 yapite akafadhaika sana, baada ya nusu saa akarudi anataka kujua madhara akiamua kunywa tu, nikamwambia kama umechoka kuishi kanywe.

Acheni umalaya

Acheni kubet

Acheni pombe

Hazina faida kwenu zaidi ya kuwatia hasara tu.
 
Mimi kubet niliacha baada ya siku moja kupoteza pesa nyingi bila sababu ya msingi. Nikasema naacha na sijabet sasa nimetimiza mwaka maana niliacha mwaka jana december sijui November. Pombe mimi nakunywa ila kawaida sana, na naweza maliza hata miezi mitatu hata mitano sijagusa kabisa. Umalaya huo nimeacha kabisa toka mwezi wa tatu na sasa naumaliza mwaka.

Mungu mkubwa kupanga ni kuchagua...
Hongera sana mkuu
 
Wakuu salaam!?

Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:

1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet

Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.

Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!

MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE

NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
Mwaka 2020 ndiyo unaisha soon...mwakani unampangi gani mazee?
 
Sinywi pombe, sitembei na malaya, sibet wala sivuti sigara, unataka kuniambia sijakamilisha maisha? Tuache kutukuza haya mambo bhana.

Ulevi, umalaya na kubet kunaharibu maisha ya vijana wengi sana sasa hivi, wanatumikishwa bila kujijua. Jana kuna kijana kaja ofisini akanambia amekunywa dawa fulani saa tano asubuhi, anaweza kunywa pombe? Aliponitajia jina la dawa nikamwambia asubiri mpaka masaa 48 yapite akafadhaika sana, baada ya nusu saa akarudi anataka kujua madhara akiamua kunywa tu, nikamwambia kama umechoka kuishi kanywe.

Acheni umalaya

Acheni kubet

Acheni pombe

Hazina faida kwenu zaidi ya kuwatia hasara tu.
nakubaliana nawe kwa hoja ya tabia zako binafs uko sawa na unaishi kwa tahadhari. lakin ukubali kuwa ulivyo leo ni matokeo ya vitu vitatu muhim; GENES, MALEZI, NAFAS YAKO KATIKA JAMII. usiishangae hobby au starehe HALALI ya mtu ambayo ni kero kwako. nasisitiza tu kuwa na kias katika kila jambo. umetoa mfano wa mtu aliyekwisha vuka mstari wa ukawaida! ameshakuwa addicted, ni mgonjwa tayari. binadam wote na heka heka zote hizi tunatafuta jambo moja tu lile lile - FURAHA. lakin haijawai kuwa na rangi moja.
 
Mm ni muumini.wa namba 2 ila haini shida sana kwasababu kuona nimeonga 10000 ujue huyo mtu anakaribia kua mke kabisa kwahiyo wanao lialia na namba 2 ni wavivu wa kutongoza wanakimbilia kuhonga na kuishia kufirisika. Kuna mdada unamaproach asubui hujafika nyumbani anataka pesa ya simu na kulipia chumba pumbav kwangu ninacheka na kunywa maji ili nilale. Usitawaliwe na tamaa mtu haelewek anataka pesa acha na vumilia utampata ambaye anauhitaji kama wako.
 
Mi kuacha tu bila kuweka matangazo, hii kuweka matangazo hutafanikiwa asilani, mimi nilikuwa natangaza kuacha pombe na umalaya lakini najikuta ndio nimeharibu kabisa bora mwaka ulioisha.

Ila baadaye niliacha kimya kimya, kaenye pombe nipunguza kwa asilia 60

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kwa malengo haya makini ujue malaika wa nuru Paradiso wanapongezana na kushangilia kwa machozi ya furaha kwa kuongeza idadi ya raia wa Ufalme. But, resolutions are just as strong as nothing kama hakuna corresponding, intelligent action steps on a daily basis.

Lastly, to every action there is an equal and opposite reaction. You have simply declared a terrible war against the forces of darkness, the chief of which is the Devil & Satan himself -- the most wicked, gullible & the bitterest of all formidable foes. This is to say the journey upwards will never be easy for you, but fortunately God has promised abundant and constant grace and power to carry you through to the very end triumphantly.
Mwanachuo katika ubora wako....sasa huyo jamaa hajaelewa umesema nini
 
Mi kuacha tu bila kuweka matangazo, hii kuweka matangazo hutafanikiwa asilani, mimi nilikuwa natangaza kuacha pombe na umalaya lakini najikuta ndio nimeharibu kabisa bora mwaka ulioisha.

Ila baadaye niliacha kimya kimya, kaenye pombe nipunguza kwa asilia 60

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Siyo kweli. Mtu akiamua, huwa ameamua; labda kama hajaamua, hilo ni suala lingine. Mtu anaweza kushawishiwa vizuri kabisa kinyume na convictions zake, lakini kama hajawa na utashi basi mawazo yake ndiyo yatapewa kipaumbele kwa kufuata na kufanya atakacho mwenyewe hata kama anajua fika yanampeleka mrama. Ndiyo maana maamuzi yetu hayana budi kuwa activated (kuchomelewa) na nguvu kutoka juu.

Halafu, kutangaza juhudi nzuri ni namna bora ya kujihami na kuwasaidia wengine wanaostruggle au waliopiga hatua. Chances za kushinda huwa inaongezeka zaidi. Nadhani unajua mambo ya accountability & transparency. Huko nako zinaapply.
 
Uko sahihi mkuu mm mwenywe nilipitia hali kama hyo nilijaribu kwa nguvu zangu zote kuacha Pombe lakini ilikuwa ngumu sana nilijitahidi kukaza kama wiki mbili yatu hv lakin niliporudia ilikuwa balaa zaidi ya vile nilivyokuwa nakunywa mwanzo,ikabidi Bi.mkubwa anishauri kuanza kuuzulia kanisani na kuanza kufundishwa kuhusu Habari njema baada ya hilo darasa hakika nilianza kubadilika kidogokidogo maana muda mwingi niliwekeza katika kutafuta kujua Mungu anasema nini na anataka sisi tuishi vipi nashukuru sana Mungu baada ya jitihada nyingi za kusoma sana Neno kuuzulia maombi na kwenda kanisani mara kwa mara taratibu alosto ilianza kukata ingawa kuna kipindi nilianguka kiimani nakurudia mitungi hali iliyopelekea kuanza kunywa gongo na sio.tena Bia nikaona sasa hapa napoelekea napoteza sio muda Mungu akanisaidia nikarudi kwenye mstari mpaka leo nimesimama na kama miaka mitano ( 5)hvi sijagusa mitungi, na namtumikia Mungu kwa Amani na furaha tele na maisha yanaendelea
Hii ni poa sana
 
Wakuu salaam!

Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:

1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet

Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.

Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!

MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE

NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI

Mwenyezi Mungu azidi kukubariki
 
Mm ni muumini.wa namba 2 ila haini shida sana kwasababu kuona nimeonga 10000 ujue huyo mtu anakaribia kua mke kabisa kwahiyo wanao lialia na namba 2 ni wavivu wa kutongoza wanakimbilia kuhonga na kuishia kufirisika. Kuna mdada unamaproach asubui hujafika nyumbani anataka pesa ya simu na kulipia chumba pumbav kwangu ninacheka na kunywa maji ili nilale. Usitawaliwe na tamaa mtu haelewek anataka pesa acha na vumilia utampata ambaye anauhitaji kama wako.
Naona uvumilivu wako unafika kiwango fulani tu. Mbona usivumilie ukajitoa kwenye hiyo misala mazima!??? Utakuwa unaishi kwa amani na furaha sana. Most problems that we find in our lives, we put there ourselves.
 
Hapo kwenye umalaya hapo dah..vijana mmekua addicted na "kwa mpalange" inahitaji kujitoa sana chief.
 
nakubaliana nawe kwa hoja ya tabia zako binafs uko sawa na unaishi kwa tahadhari. lakin ukubali kuwa ulivyo leo ni matokeo ya vitu vitatu muhim; GENES, MALEZI, NAFAS YAKO KATIKA JAMII. usiishangae hobby au starehe HALALI ya mtu ambayo ni kero kwako. nasisitiza tu kuwa na kias katika kila jambo. umetoa mfano wa mtu aliyekwisha vuka mstari wa ukawaida! ameshakuwa addicted, ni mgonjwa tayari. binadam wote na heka heka zote hizi tunatafuta jambo moja tu lile lile - FURAHA. lakin haijawai kuwa na rangi moja.
Hakuna kitu kinaitwa kunywa kwa kiasi. Watu. Kama umwshindwa kujizuia kunywa ukiwa sober, huwezi hata kidogo wakati ushaanza kunywa eti kufanya maamuzi ya kuwa na kiasi. Solution ni prevention siyo cure.
 
Back
Top Bottom