Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Utawacha 1 na 3 hii 2 utapumzika Kwa muda na Kama huamini nenda ukamuulize Daudi mbinguni kilichao mfanya yeye kuchungulia wake za watu chooni wanapo oga. Bila Shaka atakupa majibu marthawa.
 
Takwimu zinaonyesha maazimio mengi ya mwaka mpya hua hayafiki mwezi Wa 3 (March),jitahidi kupambana mkuu.
 
Utawacha 1 na 3 hii 2 utapumzika Kwa muda na Kama huamini nenda ukamuulize Daudi mbinguni kilichao mfanya yeye kuchungulia wake za watu chooni wanapo oga. Bila Shaka atakupa majibu marthawa.
Naona unamwonea husda kibao tu mwenzio kanasuka wewe ungali kwenye shimo la tewa.
 
Utawacha 1 na 3 hii 2 utapumzika Kwa muda na Kama huamini nenda ukamuulize Daudi mbinguni kilichao mfanya yeye kuchungulia wake za watu chooni wanapo oga. Bila Shaka atakupa majibu marthawa.
Be a little bit serious Mkuu!.. Sasa niende mbinguni How?.. Come on be positive
 
Hutaweza lolote hapo maana huna nia ya kuacha dhambi bali ukosefu wa pesa ndo unakufanya ujilazimishe.
Ukipata pesa mbona nyuchi zitaimba hallelujah..
Aisee How can you be so sure!.. You are so mean Aisee!.. Any way Sina pesa ya kuitwa pesa ,,ila acc inamaliza mwaka na 1.2M, hebu fikiri hao ni malaya wangapi ni Heinken ngp?..Huwez kunitia moyo? na PENGINE kunipa mbinu itakayofanya NIFANIKIWE? Nimeanza hili taratibu kwa miezi 2 sasa!.. ENDELEA na u much know wako!.. ntatoa mrejesho baada ya miezi 6
 
Aisee How can you be so sure!.. You are so mean Aisee!.. Any way Sina pesa ya kuitwa pesa ,,ila acc inamaliza mwaka na 1.2M, hebu fikiri hao ni malaya wangapi ni Heinken ngp?..Huwez kunitia moyo? na PENGINE kunipa mbinu itakayofanya NIFANIKIWE? Nimeanza hili taratibu kwa miezi 2 sasa!.. ENDELEA na u much know wako!.. ntatoa mrejesho baada ya miezi 6
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasubiri mrejesho
 
Aisee How can you be so sure!.. You are so mean Aisee!.. Any way Sina pesa ya kuitwa pesa ,,ila acc inamaliza mwaka na 1.2M, hebu fikiri hao ni malaya wangapi ni Heinken ngp?..Huwez kunitia moyo? na PENGINE kunipa mbinu itakayofanya NIFANIKIWE? Nimeanza hili taratibu kwa miezi 2 sasa!.. ENDELEA na u much know wako!.. ntatoa mrejesho baada ya miezi 6
Ukisikiliza sana pessimists huwezi kuona japo chembe za mafanikio. Wao kila hatua imejaa makorongo, miamba, milima, vikwazo, maadui, na kila jaribu lisilopenyeka. But they've got one problem, though. Hawajui kwamba umeamua kuongozwa na Mungu asiyeshindwa kitu. Sasa maneno yao ya kushindwa yakupe ushindi; yaone kama viunzi na vichupio vya kurukia kukwea fanaka zako. Wanadamu wengi kama sio wote wanapenda sana mafanikio, ila tu yasiwe ya wengine!!!
 
Takwimu zinaonyesha maazimio mengi ya mwaka mpya hua hayafiki mwezi Wa 3 (March),jitahidi kupambana mkuu.
Takwimu zinaonesha kwamba maazimio mengi ya mwaka huwa hayafiki mwezi wa 3 (March) kwa watu wenye mioyo ya kushindwa. Jitahidi kuwa na positive mindset & mtegemee sana Mungu nawe utakuja kuanzishiwa uzi siku moja.
 
Hata mimi nimepanga kuacha baadhi ya ulivyo viandika na mbinu nitakayotumia ni hii.

Nachukua mkopo , bank , kikoba, kazini au popote alafu nafanyia jambo moja kubwa mfano kununua kiwanja, kujenga, kununua gari. Then mkopo huo nauwekea makato makubwa ili nimalize haraka. Pesa iyo itakatwa moja kwa moja kupitia standing order pale mshahara unapoingia tu. Pesa itakayonaki ni kidogo tu kwajili ya chakula na kodi ya nyumba.

Ukiwa huna pesa hutoweza kufanya ivyo vitu ilivyotaja. Ila angalizo ukichukua mkopo hakikisha moja kwa moja unaenda kwenye mradi husika lasivyo utaula wote .

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Ukisikiliza sana pessimists huwezi kuona japo chembe za mafanikio. Wao kila hatua imejaa makorongo, miamba, milima, vikwazo, maadui, na kila jaribu lisilopenyeka. But they've got one problem, though. Hawajui kwamba umeamua kuongozwa na Mungu asiyeshindwa kitu. Sasa maneno yao ya kushindwa yakupe ushindi; yaone kama viunzi na vichupio vya kurukia kukwea fanaka zako. Wanadamu wengi kama sio wote wanapenda sana mafanikio, ila tu yasiwe ya wengine!!!
Asante barikiwa
 
Hata mimi nimepanga kuacha baadhi ya ulivyo viandika na mbinu nitakayotumia ni hii.

Nachukua mkopo , bank , kikoba, kazini au popote alafu nafanyia jambo moja kubwa mfano kununua kiwanja, kujenga, kununua gari. Then mkopo huo nauwekea makato makubwa ili nimalize haraka. Pesa iyo itakatwa moja kwa moja kupitia standing order pale mshahara unapoingia tu. Pesa itakayonaki ni kidogo tu kwajili ya chakula na kodi ya nyumba.

Ukiwa huna pesa hutoweza kufanya ivyo vitu ilivyotaja. Ila angalizo ukichukua mkopo hakikisha moja kwa moja unaenda kwenye mradi husika lasivyo utaula wote .

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Njia nzuri but tatizo linabaki palepale --- mwanadamu kudhani anaweza kujiendesha mwenyewe kwa cerebrum, medulla na cerebellum bila kumhusisha Muumba wake kwenye mlinganyo wa maisha.
 
Wakuu salaam!

Mwaka 2020 Nimeamua na nimedhamiria kuacha mambo haya:

1. Pombe
2. Umalaya
3. Ku-bet

Hii combination inafanya natumia zaidi ya laki 6 kwa mwezi wakati kipato changu ni chini ya 500k, najikuta katika madeni ya kijinga kijinga.

Nimedhamiria kumrejea Muumba, yaani kwa dhambi nilizotenda na nilizonazo natamani hata nisali Dini zote!

MARRY X MASS & HAPPY NEW YEAR IN ADVANCE

NB: MNIWEKE KATIKA MAOMBI
No 2 inategemea na mazingira, Mimi nilikuwa naishi sinza jirani kabisa na kona bar kule nyuma kwenye zile guest.
Njia ya kurudi kwangu ndio mapaka wanajipanga usiku. Kawaida kabisa kuona mtu kashikishwa ukuta.
 
Umalaya unaweza kuacha kwasababu ukitatulia na mmoja na kudhamiria basi huwez zini na mwingine.

Kubet pia unaweza kukwepa na kuacha maana ukiwa busy na ukitafakari hasara ya kubet uliyoipata, utaacha tu ukidhamiria.

Sasa, kwenye Bia, utakunywa nini?,
Nani atakufariji pale ambapo hata ww mwenyewe hujielewi/siku haijaenda sawa?,
Nani atakupongeza pale ambapo umesotea na umepata hela?,

Jibu ni ww mwenyewe kujipongeza,
Sasa Kujipongeza bila kunywa tubia tuwili tutatu wewe hujazoea, kwahiyo bia utakunywa tu kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Na sio dhambi ukinywa kwa kiasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
You cannot solve problems by the same mindset you used to create them.~ Albert Einstein
 
Una mipango mizuri ambayo itakutoa hapo ulipo na kukupeleka hatua nyingi sana mbele.

Mimi nilishaweza kutoka hapo no2, ila nikarudi tena,nikatoka tena,halafu nikarudi tena tena. Ila baadaye nikaweza kutoka mazima. Ni jambo ambalo lazima nikiri halikuwa rahisi.ninachoweza kusema Mungu mwenyewe alinishindia baada ya kumuomba msaada wa Roho Mtakatifu through maombi ya nguvu na ya kufunga.

Nilichofanya nikapata muda mwafaka wa kutafakari kwa nini vitu vya kijinga kama hivyo vinifarakanishe na Mungu wangu.kwamba niukose uzima wa milele kwa vistarehe ambavyo hata hivyo vina ni-cost financially na psycologically.

Labda ni kwambie, ni hivi utakavyotangaza kuacha uzinzi na mambo hayo yote uliyodhamilia,umetangaza vita na ufalme wa giza, atakurudishia fursa nyingi kutenda uovu. utashangaa.yaani wale wasichana uliwahi watongoza zamani wakakutosa watakutafuta wenyewe,walio kuacha wemyewe ukiwa bado unawapenda utakuta wanarudi wenyewe kukuomba msamaha ili muendelee.Kama kuna mtu ulikuwa unapata vikwazo vya kumpata utashangaa vikwazo vinayeyuka vyenyewe.inakuwa easy kumpata.

Sasa ukishatangaza hiyo vita,ujue unahitaji usaidizi wa Mungu haraka,

Nenda sehemu unapodhani wanamwabudu Mungu wa kweli kajiungamanishe hapo( Ingawa hata hapo pia unaweza pata vishawishi vya kukurudisha nyuma)
2.Jisemee moyoni mwako na kinywani mwako kwa kumaanisha kwamba umeenda hapo kupata msadaa wa kufunguliwa ktk vifungo vya dhambi(maana hivyo ni vifungo)
3.Hudhuria Ibada na uwashuhudie hao wote ambao ni marafiki zako wa zamani kwamba wewe umekata shauri,umeamua kuacha dhambi
4.Tafuta marafiki wengine wapya wanaoamini (kuwa makini hapa pia,kwa sababu wapo wanaoonekana wanaamini,kumbe ni machoni tuu)

5.Hudhuria vipindi vya ibada katikati ya wiki,pata mafundisho sahihi ya kukujenga kiimani ,sima neno la Mungu kila wakati,usisubiri jumapili tuu,sababu utapoa
6.Badilisha utaratibu wa familia yako,kwa kumweka Mungu mbele.Anza kumuweka mkeo na watoto wako karibu zaidi(sababu watakutia moyo) jitahidi katika matembezi yako uwe na mkeo kama ikiwezekana.

7.Endelea kuichukia hiyo tabia mbaya,penda kulinda huo uaminifu utakaokuwa umesha utengeneza baada ya kuwambia washikaji zako na max wako kwamba wewe umeshaacha hayo mambo.

8.Fanya yote haya kwa kumaanisha,kama ni mkristo endelea kulitumania jina La YESU,sababu linayo nguvu ya ajabu sana



Lastly,maisha yako yatabadilika mpaka kila mtu atakushangaa.uchumi wako utaimarika sana,sababu utakuwa umebarikiwa

Narudia tena,kuacha mambo hayo na mengineyanayofanana na hayo si jambo rahisi Ila pia ni jambo linalowezekana,kata shauri kwa faida yako mwenyewe.
Barikiwa sana Mkuu.
 
Back
Top Bottom