safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Ndoa stable kabisa ambayo iliyopitia magomvi kadhaa lakini haijawahi kuwa na tishio lolote la kuachana.
Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume.
Nyumba yangu iliyozungukwa na eneo lenye ukubwa wa hekari 1 na humo ndani nitakuwa nifanya maendeleo kama yafuatayo..
Kisha nitakuwa na gari yangu ya usafiri kwa ajili ya safari za mjini na kurudi.
Majirani wema ambao tutaishi nao kama ndugu,huku tukibadilishana mawazo.
Eneo hili litakuwa maeneo ya shamba kidogo ambako ni mbali na mji Kwa KM kadhaa.
Haya maisha tunahitaji mambo machache sana ili tuyafurahi na sio mambo makubwa ambayo tunalishana katika zama zetu.
Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume.
Nyumba yangu iliyozungukwa na eneo lenye ukubwa wa hekari 1 na humo ndani nitakuwa nifanya maendeleo kama yafuatayo..
- Mihogo ambayo. ni dawa ya kansa na inapunguza risk ya tezi dum
- Mibaazi kwani ni dawa moja mujarrabu ya kifua.
- Matembele yanayoongeza damu.
- Mbuzi wenye kuleta maziwa safi
- Migomba yenye ndizi ambazo huomgeza nguvu za misuli ya miwli.
- Minazi ambayo tutakula nazi na madafu.
- Miembe yenye kuzaliana sana.
- Miparachichi isiyopungua mitano.
- Kuku wengi saana wasiopungua 100 hao ni kwa ajili ya nyama na mayai.
- Kilimo cha nyanya na mchicha bustani.
Kisha nitakuwa na gari yangu ya usafiri kwa ajili ya safari za mjini na kurudi.
Majirani wema ambao tutaishi nao kama ndugu,huku tukibadilishana mawazo.
Eneo hili litakuwa maeneo ya shamba kidogo ambako ni mbali na mji Kwa KM kadhaa.
Haya maisha tunahitaji mambo machache sana ili tuyafurahi na sio mambo makubwa ambayo tunalishana katika zama zetu.