TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐
Mwanangu kaza. UtafikaNdoa stable kabisa ambayo iliyopitia magomvi kadhaa lakini haijawahi kuwa na tishio lolote la kuachana.
Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume.
Nyumba yangu iliyozungukwa na eneo lenye ukubwa wa hekari 1 na humo ndani nitakuwa nifanya maendeleo kama yafuatayo..
-Mipapai ya kutosha inayosaidia kujenga miwli.
- Mihogo ambayo. ni dawa ya kansa na inapunguza risk ya tezi dum
- Mibaazi kwani ni dawa moja mujarrabu ya kifua.
- Matembele yanayoongeza damu.
- Mbuzi wenye kuleta maziwa safi
- Migomba yenye ndizi ambazo huomgeza nguvu za misuli ya miwli.
- Minazi ambayo tutakula nazi na madafu.
- Miembe yenye kuzaliana sana.
- Miparachichi isiyopungua mitano.
- Kuku wengi saana wasiopungua 100 hao ni kwa ajili ya nyama na mayai.
- Kilimo cha nyanya na mchicha bustani.
Kisha nitakuwa na gari yangu ya usafiri kwa ajili ya safari za mjini na kurudi.
Majirani wema ambao tutaishi nao kama ndugu,huku tukibadilishana mawazo.
Eneo hili litakuwa maeneo ya shamba kidogo ambako ni mbali na mji Kwa KM kadhaa.
Haya maisha tunahitaji mambo machache sana ili tuyafurahi na sio mambo makubwa ambayo tunalishana katika zama zetu.
Ndoa, mashangazi hamziwezi!KASORO KIMOJA
Basi unyama sana.Miaka mi3 ni mingi sana,kuna watu wanatoboa within a year.
Wengine within 6months.
Kwa ufupi plan za michongo ya hela zinaanzia miezi 12 mpaka miezi 24 hivi.
So miaka mi3 bado ni ndani ya muda
Akili imekukaa sawa sasa,Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..
Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...
Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
Hongera Sana kwa maono boss,kwa Sasa una miaka mingapi?Ndoa stable kabisa ambayo iliyopitia magomvi kadhaa lakini haijawahi kuwa na tishio lolote la kuachana.
Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume.
Nyumba yangu iliyozungukwa na eneo lenye ukubwa wa hekari 1 na humo ndani nitakuwa nifanya maendeleo kama yafuatayo..
-Mipapai ya kutosha inayosaidia kujenga miwli.
- Mihogo ambayo. ni dawa ya kansa na inapunguza risk ya tezi dum
- Mibaazi kwani ni dawa moja mujarrabu ya kifua.
- Matembele yanayoongeza damu.
- Mbuzi wenye kuleta maziwa safi
- Migomba yenye ndizi ambazo huomgeza nguvu za misuli ya miwli.
- Minazi ambayo tutakula nazi na madafu.
- Miembe yenye kuzaliana sana.
- Miparachichi isiyopungua mitano.
- Kuku wengi saana wasiopungua 100 hao ni kwa ajili ya nyama na mayai.
- Kilimo cha nyanya na mchicha bustani.
Kisha nitakuwa na gari yangu ya usafiri kwa ajili ya safari za mjini na kurudi.
Majirani wema ambao tutaishi nao kama ndugu,huku tukibadilishana mawazo.
Eneo hili litakuwa maeneo ya shamba kidogo ambako ni mbali na mji Kwa KM kadhaa.
Haya maisha tunahitaji mambo machache sana ili tuyafurahi na sio mambo makubwa ambayo tunalishana katika zama zetu.
๐๐๐ Kijana kama unahitaji mwenza huijui jf chit chat??Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..
Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...
Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
Atatafuta shamba boy na kwa sababu ya uchovu uliousema hatotomizi Majukumu yake ya msingi ya ndoa..naUkiwa umeajiriwa au mfanyabiashara, utarudi umechoka hata kusimamia mifugo na bustani hutoweza. Majukumu ni mengi muda mchache
Kwanini unasema hvo mkuu..Akili imekukaa sawa sasa,
Sio nimekosa humu nakutana mishangazi...๐๐๐ Kijana kama unahitaji mwenza huijui jf chit chat??
Jf nzima hii umekosa pisi kwelii??
Unaniangusha sana ndgu yangu.
Ulimpanga vipi mpaka adhani wewe ni faza??Sio nimekosa humu nakutana mishangazi...
Kuna mmoja mpaka leo hatuongei kisa hakutegemea kuniona alijua mi ni faza wa 45+ hukoo
๐๐Nilikutongoza ukakataa kumbe shida ni umaskini wanguMkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..
Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...
Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
Mambo mambo tuu mkuu mana nilivokutana nae nikawa naona anajificha ficha kumbe kaniona mi too young sijui vipi an hata sikumwelewa mpaka leo yule madamUlimpanga vipi mpaka adhani wewe ni faza??
Ungejibebea mshangazi jombaaMambo mambo tuu mkuu mana nilivokutana nae nikawa naona anajificha ficha kumbe kaniona mi too young sijui vipi an hata sikumwelewa mpaka leo yule madam
Ahahaha naskia raha sana ujue...๐๐Nilikutongoza ukakataa kumbe shida ni umaskini wangu