Malengo yangu nitakayoyatimiza nikifikisha miaka 40

Malengo yangu nitakayoyatimiza nikifikisha miaka 40

Ndoa stable kabisa ambayo iliyopitia magomvi kadhaa lakini haijawahi kuwa na tishio lolote la kuachana.

Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume.

Nyumba yangu iliyozungukwa na eneo lenye ukubwa wa hekari 1 na humo ndani nitakuwa nifanya maendeleo kama yafuatayo..

  • Mihogo ambayo. ni dawa ya kansa na inapunguza risk ya tezi dum
  • Mibaazi kwani ni dawa moja mujarrabu ya kifua.
  • Matembele yanayoongeza damu.
  • Mbuzi wenye kuleta maziwa safi
  • Migomba yenye ndizi ambazo huomgeza nguvu za misuli ya miwli.
-Mipapai ya kutosha inayosaidia kujenga miwli.
  • Minazi ambayo tutakula nazi na madafu.
  • Miembe yenye kuzaliana sana.
  • Miparachichi isiyopungua mitano.
  • Kuku wengi saana wasiopungua 100 hao ni kwa ajili ya nyama na mayai.
  • Kilimo cha nyanya na mchicha bustani.

Kisha nitakuwa na gari yangu ya usafiri kwa ajili ya safari za mjini na kurudi.

Majirani wema ambao tutaishi nao kama ndugu,huku tukibadilishana mawazo.

Eneo hili litakuwa maeneo ya shamba kidogo ambako ni mbali na mji Kwa KM kadhaa.

Haya maisha tunahitaji mambo machache sana ili tuyafurahi na sio mambo makubwa ambayo tunalishana katika zama zetu.
Mwanangu kaza. Utafika
 
Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..

Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...

Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
Akili imekukaa sawa sasa,
 
Ndoa stable kabisa ambayo iliyopitia magomvi kadhaa lakini haijawahi kuwa na tishio lolote la kuachana.

Watoto wa 4 huku wa kwanza wao akiwa na miaka 18,yaani wawili wa kike na wawili wa kiume.

Nyumba yangu iliyozungukwa na eneo lenye ukubwa wa hekari 1 na humo ndani nitakuwa nifanya maendeleo kama yafuatayo..

  • Mihogo ambayo. ni dawa ya kansa na inapunguza risk ya tezi dum
  • Mibaazi kwani ni dawa moja mujarrabu ya kifua.
  • Matembele yanayoongeza damu.
  • Mbuzi wenye kuleta maziwa safi
  • Migomba yenye ndizi ambazo huomgeza nguvu za misuli ya miwli.
-Mipapai ya kutosha inayosaidia kujenga miwli.
  • Minazi ambayo tutakula nazi na madafu.
  • Miembe yenye kuzaliana sana.
  • Miparachichi isiyopungua mitano.
  • Kuku wengi saana wasiopungua 100 hao ni kwa ajili ya nyama na mayai.
  • Kilimo cha nyanya na mchicha bustani.

Kisha nitakuwa na gari yangu ya usafiri kwa ajili ya safari za mjini na kurudi.

Majirani wema ambao tutaishi nao kama ndugu,huku tukibadilishana mawazo.

Eneo hili litakuwa maeneo ya shamba kidogo ambako ni mbali na mji Kwa KM kadhaa.

Haya maisha tunahitaji mambo machache sana ili tuyafurahi na sio mambo makubwa ambayo tunalishana katika zama zetu.
Hongera Sana kwa maono boss,kwa Sasa una miaka mingapi?
Na jee umeshaanza kujipata?
 
Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..

Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...

Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kijana kama unahitaji mwenza huijui jf chit chat??
Jf nzima hii umekosa pisi kwelii??

Unaniangusha sana ndgu yangu.
 
Ukiwa umeajiriwa au mfanyabiashara, utarudi umechoka hata kusimamia mifugo na bustani hutoweza. Majukumu ni mengi muda mchache
Atatafuta shamba boy na kwa sababu ya uchovu uliousema hatotomizi Majukumu yake ya msingi ya ndoa..na
Hapo lile alilosema la ndoa imara litakuwa ndoto ya mchana.
 
Mkuu naomba na mimi niombee sio badae nataka uniombee now h
kama una mda..

Mimi nataka nipate mwenza ambaye atakua anaendana na hali yangu ya upambanaji ili tufike malengo...

Asiwe wa kunizidi umri awe wa kawaida ila awe ametoka sehemu ambayo sio hali ya chini kama mimi kwa maana kipofu hawezi mwendesha kipofu mwenzake
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nilikutongoza ukakataa kumbe shida ni umaskini wangu
 
Back
Top Bottom