Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa

Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa

Hali za ndoa ni hatari....tusubiri report mpya za divorce ndio utaelewa why watu wanazipinga ndoa...Mungu alianzisha taasisi hii Kwa Nia njema lakini jamii zetu zimevurugwa ...uvumilivu hamna Tena kwenye ndoa .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hali za ndoa ni hatari, tusubiri report mpya za divorce ndio utaelewa why watu wanazipinga ndoa...Mungu alianzisha taasisi hii Kwa Nia njema lakini jamii zetu zimevurugwa .uvumilivu hamna Tena kwenye ndoa .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi kuna kundi la wanawake ambao wanaforce ndoa yaani hajali kuhusu wewe muoaji yeye anataka umuoe kumtimizia ndoto ya yeye kuwa mke wa furani ukijichanganya hapa utakoma kmmk hamna rangi hutoona hawa mara nyingi baada ya ndoa yenyewe huwa hawajali chochote kuhusu mwenzi wake na hapo ndipo tatzo lilipo na mara nyingi ni wale eged kuanzia miaka 27 kuendelea wana kuwa na influence ya familia na marafiki
 
Wazazi wangu wamenilea na kunikuza kwa upendo bila ndoa na ninaishi na familia yangu vizuri tu. Neno ndoa nalisikiaga kwenye mialiko ya harusi na michango sijawahi kulielewa.
 
Wazazi wangu wamenilea na kunikuza kwa upendo bila ndoa na ninaishi na familia yangu vizuri tu. Neno ndoa nalisikiaga kwenye mialiko ya harusi na michango sijawahi kulielewa.
Ndio ndoa yenyewe hiyo
 
Siku hizi kuna kundi la wanawake ambao wanaforce ndoa yaani hajali kuhusu wewe muoaji yeye anataka umuoe kumtimizia ndoto ya yeye kuwa mke wa furani ukijichanganya hapa utakoma kmmk hamna rangi hutoona hawa mara nyingi baada ya ndoa yenyewe huwa hawajali chochote kuhusu mwenzi wake na hapo ndipo tatzo lilipo na mara nyingi ni wale eged kuanzia miaka 27 kuendelea wana kuwa na influence ya familia na marafiki
JamiiForums-335028096.jpg
 
Mkuu mshana tunakataaa ndoa ile ya pingu ya maisha hawa viswaswadu wa sasa ukifunga hyo umekwisha legend , serikal na bunge letu wanatakiwa kutuletea ile ya mkataba kma wanataka hii taasisi yao iliyoptwa na wakati iendelee...
Tatizo liko hapa
Kukimbilia kuoa
Kuoa kwasababu ya umbo, sura
Kuoa bila kuvhukua muda wa kujiridhirisha kama anakufaa ama la na kama unamfaa
Kuoa bila kujua, kupeleleza background yake, marafiki zake ndugu zake ukoo wake na hata kabila sometimes

Kuna baadhi ya tabia zitajifunua huko mbeleni baada ya ndoa hapo sasa ndio itabidi kutumia akili uzoefu ukomavu na hekima
Binti unayemchumbia atakuwa si chini ya miaka 20, imagine kapitia mangapi mpaka mnaonana?
 
Wife material.. Beba hii uone utakavyoichukia ndoa
20230208_215052.jpg
 
SISIMIZI WANAONEKANA PALIPO NA SUKARI TU, IKIISHA WANAONDOKA.!!!
THAMANI YA MWANAUME NI PALE UNAPO TUNZA FAMILIA, KUSOMESHA, KULIISHA, KUVALISHA NA MAKAZI.
UKIKOSA UWEZO HUO , HUNA SIFA TENA YA KUITWA MWANAUME KICHWA CHA FAMILIA.
Kwa maneno mengine umesema thamani ya mwanaume ni kutumika tu na si vinginevyo.

Miaka ya nyuma enzi za utumwa kulikuwa na watumwa wanaotumikishwa na kufanya kazi nyingi kisha wanasifiwa na kujiskia vizuri ila zile jitihada zao hazikuwa na msaada kwao bali kwa wale waliowatumikisha na kuwanyonya bila wao kuelewa.

Same applies kwa mwanaume. Hiyo unayoita thamani ya mwanaume inakuja kumsaidia vipi miaka 50 baadae tokea amezaliwa na kutumia muda wake wote kupambana na maisha na kujijenga. Nadhani hapa kuna upotoshaji usio na maana yoyote.
 
Hoja yako ni ipi mzee maana naona unazunguka tu, mimi nimekuambia mwanamke kupata madhara kwenye uzinzi haihalalishi uzinzi kwa mwanaume ukizingatia tendo lenyewe ni la kutegemeana baina ya mwanamke na mwanaume, ila wewe naona unaniletea theories za sijui kulala na watu 1000 mara 3000 na blah blah nyingi

Achenzi uzinzi mkuu ndugu yangu hizo hadithi zenu za mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hakuna mwanamke anayejielewa atazinunua

Kidini na kimaadili mwanaume/mwanamke anayechepuka hastahili kuheshimiwa na mke/mume wake NO MATTER WHAT na Siyo tu na mke/mume wake bali hastahili kuheshimiwa na jamii kwa ujumla
Umeenda wapi ukiskia mwanaume ambaye ana mke zaidi ya m'moja ikaonekana jambo la ajabu. Sasa nenda kaolewe kaishi kinyumba na wanaume wawili halafu uone jamii itakuonaje.

Me nadhani unachofanya hapa ni kulazimisha kuwa mwanaume na mwanamke ni sawa na wanamahitaji sawa, jambo ambalo si kweli, halijawahi kuwa kweli na halitakuja kuwa kweli labda Dunia ifutwe na kuumbwa upya kwa toleo jingine la wanadamu.

Hata ukisoma vitabu vya kiimani unaambiwa kuna mwanamke aliumbwa kabla ya Eva ili aishi na Adamu, na MUNGU alimuumba kwa vigezo hivi mnavyoviongelea vya usawa na 50/50 ila unaambiwa kiburi chake hata MUNGU kikamkera akamtoa na kumtupa kizani huko na kumuumba Eva na kumpa sifa ya kutii na kuheshimu mwanaume wake.

Ndio nyie wasasa mnavutwa na yule ili mpotee kama yeye maana anawaonea gere uzao wa Eva mnaishi na wanaume yeye hakuweza na ni mpweke hadi akipita mimea na mazingira yanayomzunguka yananyauka sababu ya sumu ya nguvu ya upweke aliyojawa nayo.
 
Wewe umeamua tu kutoka nje ya hoja, hayo ni majukumu tu ambayo kwa africa yameshaonekana ni ya mwanamke tangu enzi za mababu, kama tu ambavyo kutafuta chakula lilionekana jukumu la mwanaume

Lakini leo hii tunavyoongea dunia imebadilika hakuna kazi za kike wala za kiume, ila wanaume wa kiafrika ndio bado mmeng'ang'ania hizo kazi za nyumbani ziwe majukumu ya mwanamke, ilihali kwenye suala la kutafuta pesa ndio mnajifanya kukubali kwamba dunia imebadilika ati mwanamke naye anatakiwa atafute pesa

Majukumu ya asili ya mwanamke ambayo mwanaume hawezi kufanya ni kubeba mimba, kuzaa, kunyonyesha na kulea watoto, hayo majukumu mengine ni gender roles tu ambazo zinaweza badilika kulingana na wakati sababu hazihitaji jinsia bali yeyote mwenyewe viungo vilivyokamilika aweza kuzifanya, sema wanaume wengi mmeamua kujiendekeza kuwa hamuwezi kufanya hizo kazi za nyumbani ati ni jukumu la mwanamke wakati siku hizi wanawake nao wanasaidia majukumu yenu ya kutafuta pesa
Wewe unaonekana umesoma au kushiriki sana makongamano ya mafeminists na ndio yanachangia sana kuwapotosha akili watoto wa kike wa sasa.

Sasa unasemaje hakuna gender roles wakati kiuhalisia hizo zipo tokea miaka na miaka. Gender roles si jambo la mtu kuamua bali ni matokeo ya mazingira. Nitakupa mifano.

Mfano jeshini popote duniani kuna mabomu au mizinga ambayo ikibutuka mwanamke anaweza pata hedhi hapo hapo, kama haujui hili tafuta askari wa kikosi cha mizinga atakuelekeza. Majeshi ya marekani kipindi wamekwenda misheni zao huko iraq, wale viongozi wa makundi walikiri kuwa askari wa kike walikuwa wakiwarudisha nyuma sana sababu wapo emotional eneo la vita na kuna milipuko au mashambulizi na matukio yaliwafanya waanze kuomba poo na kukataa kuendelea.

Mahoteli makubwa 90% wanakuwa na wapishi wanaume ingawa mwanamke ndie ina aminika ni mpishi mzuri. Sababu ikaja kuonekana kuwa mwanamke hawezi kuhandle mishe za majiko makubwa, kufokea wapishi na kuwapanga ma kukimbizana na order za wateja wakati akisimamia ubora wa chakula.

Maofisini huko mataifa ya magharibi ambayo ndio yanaongoza kwa kupigia chapuo la mwanamke na mwanaume ni sawa, makampuni ya wenzetu wanatumia technology kustudy uwezo na ufanisi wa employees, graph [emoji409] za waajiriwa wa kike huwa zinaanza vizuri sana siku za kwanza ila muda unavyokwenda huwa zinaanza kushuka kwa kasi na chache hurudi tena pale zilipokuwa but nyingi hufeli kurudi juu. Kilichokuja kugundulika ni kuwa mwanamke hawezi kudeal consistently na corporate stress sababu ya vitu kama maswala ya hedhi yanayoathiri ufanisi wake, wanawake wanapokuwa challeged kidogo wanatafuta utetezi badala ya kupambana wenyewe kama wenyewe, na hata wakijilazimisha hii inawagharimu upande wa akili kufocus maana mood zao huwa zipo harsh kwa staff wengine. Hii ukiingia mtandaoni utaona hizi tafiti, na ndio imepelekea kuna wage gap kati ya employees wa kiume na wakike na tafiti zimewabana feminists kutetea wanawake kwenye hili wanataka kulipwa sawa na wanaume wakati wana delivery mbovu ya matokeo.

Tazama kazi za ndani tu wewe ni shahidi hapo. Ukiwa unatafuta msaidizi wa kazi za ndani kukusaidia unapokwenda kazini asubuhi na kurejea jioni, ukiletewa binti wa miaka 22 na kijana wa miaka 22 na wote wapo vema utachagua house girl au house boy?!

Kama gender roles hazipo then kwann inapotokea hatari unategemea mwanaume akuprotect kwann wewe usichukue panga ukapambane na majambazi mwanaume akae ndani umlinde?

Kama hakuna gender roles, kwann kuna kazi huwezi kuta wanawake wanagombania na uwezekano wa kuingia ni mkubwa sana kuliko mwanaume?

Mwanamke pesa yake 9/10 times huwa haina faida kwa mwanaume so its pointless kuamini mwanamke anapambana kama team mate bali yeye huwa anatafuta kusolve matizo yake personally yaani saloon, kununua nguo za bei, kula vizuri, amnunulie mtoto zawadi(sio mahitaji ya mtoto yote),atoke out, alipe michango ya vikoba, etc.


Kimsingi, hayo uliyosema ni mawazo ya kimagharibi ambayo mabinti wengi mnayaokoteza huko mitandaoni but mnashindwa kuapply logic kuelewa kuwa si kila jambo linawezekana sababu umeliperceive kuwa linawezekana. Unaweza ukasema unataka kuja kuwa milionea kabla ya umri wa miaka 30 ila mazingira ndio yataamua. Unaweza uwe milionea ila katika mazingira yako hakunaga mamilioni so upo bound kurudi tena kuwa mtu wa kawaida sababu forces za mazingira yako zitakurudisha chini kwa nguvu. Ila ukawa kapuku ukaenda mfano japan ambapo wastani wa vijana 10 basi 8 wapo vema kiuchumi so ukienda hapo na ukajipa maono ya kuwa milionea then its very possible utakuwa milionea na hautatumia nguvu nyingi kubaki kuwa milionea.

So hizi idea zako na nyingine nyingi ambazo huwa naona watoto wa kike mnazibeba huwa nawaonea tu huruma maana in reality hazipo na unakuta mnatumia exceptions kudefine reality jambo ambalo ni ignorance of nature na mnalitumia kama bliss ya existence katika maisha hadi pale reality inapowatokea na kuwazidi nguvu.
 
Hali za ndoa ni hatari....tusubiri report mpya za divorce ndio utaelewa why watu wanazipinga ndoa...Mungu alianzisha taasisi hii Kwa Nia njema lakini jamii zetu zimevurugwa ...uvumilivu hamna Tena kwenye ndoa .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shida ilianza na mwanamke kumnyima amani mwanaume katika nyumba yake ndipo mwanaume akakumbuka kuwa kama aliondoka kwao na kuambatana na mwanamke wake ili aishi vizuri then anakutana na vituko its better aende kutafuta furaha mahala pengine.
 
Siku hizi kuna kundi la wanawake ambao wanaforce ndoa yaani hajali kuhusu wewe muoaji yeye anataka umuoe kumtimizia ndoto ya yeye kuwa mke wa furani ukijichanganya hapa utakoma kmmk hamna rangi hutoona hawa mara nyingi baada ya ndoa yenyewe huwa hawajali chochote kuhusu mwenzi wake na hapo ndipo tatzo lilipo na mara nyingi ni wale eged kuanzia miaka 27 kuendelea wana kuwa na influence ya familia na marafiki
Very true. Unakuta mwanamke anaishi kwenye nyumba ila ni kama muhuni anaempumzika kwa muda akisubiria msimu wa uhuni uanze arejee kwenye arena.

Watakuja kuvuna mavuno ya hizi jitihada zao miaka si mingi.
 
Wewe unaonekana umesoma au kushiriki sana makongamano ya mafeminists na ndio yanachangia sana kuwapotosha akili watoto wa kike wa sasa.

Sasa unasemaje hakuna gender roles wakati kiuhalisia hizo zipo tokea miaka na miaka. Gender roles si jambo la mtu kuamua bali ni matokeo ya mazingira. Nitakupa mifano.

Mfano jeshini popote duniani kuna mabomu au mizinga ambayo ikibutuka mwanamke anaweza pata hedhi hapo hapo, kama haujui hili tafuta askari wa kikosi cha mizinga atakuelekeza. Majeshi ya marekani kipindi wamekwenda misheni zao huko iraq, wale viongozi wa makundi walikiri kuwa askari wa kike walikuwa wakiwarudisha nyuma sana sababu wapo emotional eneo la vita na kuna milipuko au mashambulizi na matukio yaliwafanya waanze kuomba poo na kukataa kuendelea.

Mahoteli makubwa 90% wanakuwa na wapishi wanaume ingawa mwanamke ndie ina aminika ni mpishi mzuri. Sababu ikaja kuonekana kuwa mwanamke hawezi kuhandle mishe za majiko makubwa, kufokea wapishi na kuwapanga ma kukimbizana na order za wateja wakati akisimamia ubora wa chakula.

Maofisini huko mataifa ya magharibi ambayo ndio yanaongoza kwa kupigia chapuo la mwanamke na mwanaume ni sawa, makampuni ya wenzetu wanatumia technology kustudy uwezo na ufanisi wa employees, graph [emoji409] za waajiriwa wa kike huwa zinaanza vizuri sana siku za kwanza ila muda unavyokwenda huwa zinaanza kushuka kwa kasi na chache hurudi tena pale zilipokuwa but nyingi hufeli kurudi juu. Kilichokuja kugundulika ni kuwa mwanamke hawezi kudeal consistently na corporate stress sababu ya vitu kama maswala ya hedhi yanayoathiri ufanisi wake, wanawake wanapokuwa challeged kidogo wanatafuta utetezi badala ya kupambana wenyewe kama wenyewe, na hata wakijilazimisha hii inawagharimu upande wa akili kufocus maana mood zao huwa zipo harsh kwa staff wengine. Hii ukiingia mtandaoni utaona hizi tafiti, na ndio imepelekea kuna wage gap kati ya employees wa kiume na wakike na tafiti zimewabana feminists kutetea wanawake kwenye hili wanataka kulipwa sawa na wanaume wakati wana delivery mbovu ya matokeo.

Tazama kazi za ndani tu wewe ni shahidi hapo. Ukiwa unatafuta msaidizi wa kazi za ndani kukusaidia unapokwenda kazini asubuhi na kurejea jioni, ukiletewa binti wa miaka 22 na kijana wa miaka 22 na wote wapo vema utachagua house girl au house boy?!

Kama gender roles hazipo then kwann inapotokea hatari unategemea mwanaume akuprotect kwann wewe usichukue panga ukapambane na majambazi mwanaume akae ndani umlinde?

Kama hakuna gender roles, kwann kuna kazi huwezi kuta wanawake wanagombania na uwezekano wa kuingia ni mkubwa sana kuliko mwanaume?

Mwanamke pesa yake 9/10 times huwa haina faida kwa mwanaume so its pointless kuamini mwanamke anapambana kama team mate bali yeye huwa anatafuta kusolve matizo yake personally yaani saloon, kununua nguo za bei, kula vizuri, amnunulie mtoto zawadi(sio mahitaji ya mtoto yote),atoke out, alipe michango ya vikoba, etc.


Kimsingi, hayo uliyosema ni mawazo ya kimagharibi ambayo mabinti wengi mnayaokoteza huko mitandaoni but mnashindwa kuapply logic kuelewa kuwa si kila jambo linawezekana sababu umeliperceive kuwa linawezekana. Unaweza ukasema unataka kuja kuwa milionea kabla ya umri wa miaka 30 ila mazingira ndio yataamua. Unaweza uwe milionea ila katika mazingira yako hakunaga mamilioni so upo bound kurudi tena kuwa mtu wa kawaida sababu forces za mazingira yako zitakurudisha chini kwa nguvu. Ila ukawa kapuku ukaenda mfano japan ambapo wastani wa vijana 10 basi 8 wapo vema kiuchumi so ukienda hapo na ukajipa maono ya kuwa milionea then its very possible utakuwa milionea na hautatumia nguvu nyingi kubaki kuwa milionea.

So hizi idea zako na nyingine nyingi ambazo huwa naona watoto wa kike mnazibeba huwa nawaonea tu huruma maana in reality hazipo na unakuta mnatumia exceptions kudefine reality jambo ambalo ni ignorance of nature na mnalitumia kama bliss ya existence katika maisha hadi pale reality inapowatokea na kuwazidi nguvu.
Unajaribu kutumia logic kwa mtu anayetumia hisia..

Kaka hapo utateseka sana toka lini mwanamke akawa na uwezo wa ku reasoning mambo...

We unadhani Babu zako walipokuwa wanafanya vikao wanakutana wanaume tupu halafu wake zao wanapikisha chakula jikoni walikuwa wajinga???Wazee wako walijua hamna wazo la maana litatoka kwa mwanamke na likitoka kabahatisha au anashinda sana na wanaume ameanza na yeye kutumia logic sio hisia...

Umeongea vitu vya msingi sana ila umesahau unabishana na mwanamke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Hapo sana sana ataku gaslighting au kuku manipulate kwamba unamtazamo wa ajabu ila kujibu hoja ndo hilo halipo.

Pole endelea anaweza kukuelewa japo ht asimilia 20%

Tuwavumilie ni madhaifu ya kijinsia hayo...
 
Wazazi wangu wamenilea na kunikuza kwa upendo bila ndoa na ninaishi na familia yangu vizuri tu. Neno ndoa nalisikiaga kwenye mialiko ya harusi na michango sijawahi kulielewa.
Wazazi wako wamekuleaje sasa bila ndoa wakikulea pamoja ndio ndoa yenyewe hiyo.

Kwann vijana mnamtazamo kuwa Ndoa ni mapenzi ya mume na mke tu. Ndoa ni taasisi ya malezi na makuzi ya mtoto na ndio lengo lake kuu. Mapenzi ni kisehemu chenu nyie wawili ila msingi wa ndoa ni malezi na makuzi ya watoto.

Ndoa za sasa zinafeli sababu mwanamke hakai ndani yupo nje kutafuta ndio maana maadili yanaharibika , watoto wanakuwa hovyo na wanaume wanasaliti maana wanajua mke kama hayupo ndani atakuwa nje na mtu mwingine na ndio ukweli wanawake wachache sana wapo serious na maisha ila wake za watu wanaliwa sana huku nje.
 
Back
Top Bottom