Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Mkataba wa kazi gani sasa?!Mkuu mshana tunakataaa ndoa ile ya pingu ya maisha hawa viswaswadu wa sasa ukifunga hyo umekwisha legend , serikal na bunge letu wanatakiwa kutuletea ile ya mkataba kma wanataka hii taasisi yao iliyoptwa na wakati iendelee...