Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa


Acha kupangia watu maisha,wacha watu waishi wapendavyo.
 

Wanao kataa ndoa wana hoja zao za msingi wasikilizwe,halafu tangu lini binadamu wote tukawa sawa.
 
Your browser is not able to display this video.


Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 

Hapa kwenye Mama kutafuta mchumba kuna point ingawa vijana wa kike na kiume wanaweza wasielewe kirahisi
 
mshana umelaumu sana upande mmoja bila kutuwekea sababu zao, ingependeza utuwekee sababu zao tuzipime, ili tujue, vipi hao unaotaka waolewe, wao wanajitambua? wana malezi bora toka kwa wazazi wao? wana akili? wana hekima? wana upendo, upeo, na maono?

Mimi nadhani anashauri wale wanaojitambua kwa pande zote mbili, waoaji na waolewaji…..

Faida za kuoa alizotoa ni muda mrefu na faida za kutokuoa nyingi unaona zinaishia ujanani, anyway kila munu na lwake
 
Ukiona mwanamke anachepuka kisababishi kwa asilimia 90 ni mwanaume nina mifano ya kutosha
Mshana Jr hii ni Feminine Ideology. kama Mwanaume hutakiwi kuzungumza kauli ya namna hio unapowashauri Vijana. Weka Mzani sawa ili kila mtu ajue wajibu wake anapoingia huko kwenye NDOA.

Kuchepuka 99% ni tabia na maamuzi ya Mtu, hakuna Bahati mbaya wala kusababishiwa. hizo ni Excuse tu. Uchepukaji ni Maamuzi ya mtu husika. Kisababishi ni yeye mwenyewe.

Kwenye hiyo Mifano yako ya kutosha naomba hata Mitatu utuonyeshe namna Mwanaume anasababisha Mwanamke kuchepuka. May be definition ya kuchepuka tunatofautiana.
 
Kizazi kilichokengeuka, wanaume vichwa vipo race kama gari ya langalanga wanawake nao madishi yameyumba kama yamepigwa na cyclone.

Hiyo ndoa hata ikifungwa ndani ya miezi kadhaa walishaachana.

Ndio maana wanaona haina haja ya kuoa.
Kweli kabisa kwanini vichaa wawili waoane? Wataishia kuuana, tuwaache waishi hivyo hivyo. Ila tuwaombe kwa msisitizo mkubwa sana wajitahidi kulea vizuri watoto wanaowapata huko kwenye uzinzi, Jamii inaharibika zaidi panapokua na malezi ambayo hayana utaratibu maalumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…