Malezi Duni na Utandawazi ndio Chanzo cha ongezeko la mijadala ya kupinga na kukosoa ndoa na maisha ya ndoa

Kaka Mshana Jr ulichoongea ni sahihi lakini angalia asilimia kubwa ya wanawake wa sasa ni pasua kichwa yaani ni wale wa haki sawa ukikohoa naye anakohoa!
Wanawake wamefikia mahala anakupangia zamu ya kufua, kupika, kupewa mbususu tena ukute hawa wasomi halafu awe na kiajira ndo utaisoma namba maana atakwambia yuko busy na majukumu ya kiserikali hana muda wa kumjali mmewe ukiomba mbususu unasukumwa kule eti amechoka!
Mwanamke wa siku hizi anaweza kumfokea mumewe mbele ya watoto na ukimjibu anafungulia bomba la maneno ya shombo mpaka utajuta!
Zamani hakukuwa na kesi za mme kumzaba makofi mkewe ila leo hii hata ukimsema tu mkeo anaenda kushtaki na unakuja kukamatwa.
Mbaya zaidi siku hizi wake za watu ndo wanaongoza kwa kuuza mbususu bila hata uoga iwe maofisini, hawa mama wa nyumbani ndo usiseme kabisa!
Maisha yenyewe stress halafu mke naye akupe stress utakimbilia wapi?
Mimi binafsi nimeoa(japo sio kivile sana)
Lakini simshauri kijana kuoa tena kama hajawa na maisha ya kueleweka (kipato)
Maana kwa maisha ya sasa faida na raha ya ndoa ni kidogo sana ukilinganisha na hasara za kuoa!
Huo ni mtazamo wangu acha nilog off nikafungue banda langu la majeneza nisubiri wateja maana hizi tarehe mambo si haba.
 
Ww dada fikiri vzur unajua maana ya ndoa au unaropoka tu? Kwan ili uzaliane lazima uwe na ndoa nikiimaanisha cheti kilichosainiwa kisheria?
Naropoka haya kajambe.

Nyie ndo mnatengeneza watoto wa mitaani watoto wanaokosa malezi ya baba na mama. Unadhani malezi ya mtoto ni kumwaga tu mbegu na kwenda labor.
Watoto wa kiume wanazaliwa na kukosa malezi ya baba unajua madhara yake au una bwabwaja tu.

Kuoa ama kuolewa sio lazima, lakini kufanya kampeni ili kubadilisha mind ya kila mtu haikubaliki.
Unachoona hakikufai mwenzio kinamfaa.

Kaa hapo usioe, ukazae huko na uwaambie watoto wako wasije kuoa ama kuolewa.
 
Kelele za usawa zimeondoa maana ya ndoa, ndoa imekuwa jukwaa la kushindana na kuonyeshaNA umwamba
hiyo ndo sababu watu wanaona bora wakae single.

Baba ukirudi tu nyumbani unaombwa kukaguliwa simu. tumepoteza nafasi ya utawala.

Baba lazima uhofiwe
@Mtukutu wa Nyaigela umejibu kwa hoja sana mkuu japokuwa pia Mimi nipo kinyume cha hawa wakapinga ndoa ila ni kweli kelele za usawa pia zimekuwa sababu kwa baadhi ya watu kuona ndoa ni changamoto kwa zama hizi.....

Tena usipopata aliekulia mazingira ya kuambiwa Mke ni nani na mume ni nani ndio changamoto zaidi

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
@denooJ ndugu yangu tatizo wengi tunahisi zama zetu ni bora kuliko zama zilizopita....ndio tupo mazingira tofauti na zama zilizotutangulia lakini kiuhalisia zama zile ni bora zaidi kuliko zama zetu na kwetu zile zama zitabaki kama maktaba tutaendelea kujifunza sana kutokamana na zama kama zile ndio maana zama zile zilitabiri mambo mengi ya uharibifu yatakayofanywa na zama zetu.....

Na mambo mengi sana yanatuharibikia sana zama zetu kwasababu kuna vitu vingi za zama zilizotangulia kwasasa zinaonekana kama ushamba na hatuzifati kamwe! Mfano ndoa, we umelelewa na baba na mama, Leo unakuwa unasema ndoa ni ujinga,stress na mradi hivyo bora uzae mtoto then ulee mwanao, tayari mtoto anakuwa bila mzazi mmoja pasi na bahati mbaya Bali something planned

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Mimi naona Maisha ya Mtu kukaa single bila Attachment na Mwanamke ni mazuri Sana

Kula vizuri
Lala vizuri
Sali Sana
Kataa ndoa
Tafuta pesa kwa ajili yako na wazazi na wasiojiweza huu mradi wa Ndoa unawafaidisha wanawake tu.
Mbona wewe ulizaliwa??? Bila ndoa ya mama yako na baba yako, ungezaliwa????
Huo ni uoga wa maisha
 
Kukataa kuoa mwanamke anaenipendea pesa, ni mimi kukwepa majukumu? Demi
 
Nature is neutral
Tunaiharibu wenyewe tu
Vijana mnapenda mapenzi kinyume na maumbile
Mnathamini vitu kuliko utu
Mnafikiria Leo hii Sana kuliko ya kesho kutwa
Hatimae hamtaki kuoa.....!
Uzee ni upweke.
Naombea wote washtuke wafanye maamuzi sahihi
NDOA NDIO MSINGI BORA WA KIZAZI KILICHOSTAHARABIKA NA CHENYE STAHA...
Naunga mkono hoja#mshana jr.
 
Huu uzi ni wa muhimu sana. Tunakoelekea watu watakaokuwa kwenye ndoa wataonekana Primitive sana yaani na kuna mambo yatakuja kutokea kama mahusiano ya mkataba n.k. Ndoa zitakuwa za kutafutwa kwa tochi.
 
Na weng inaelekea ni watoto waliozaliwa nje ya ndoa hawajui umuhimu wa familia na ndoa jazia nyamanyama kwenye kukosa malezi hapo
Wanawake wengi mnapenda ndoa sababu mkiingia mnajua kuna uwezekano mkubwa wa kupewa pesa bure, kulishwa, na kuvishwa bure kwa maisha yenu yote, Kinachowafanya Wadada muingie ndoani mara nyingi sio upendo, na hamumchukulii mume kama mwenza wa maisha Bali atm..

Nlisikiaa mdada mmoja Aliwaambia wenzake akisema anatafuta kuolewa ili ahudumiwe kipesa, amechoka kujigharamia, i was like what the f*CK Demi sophy27 ntazana ntazana
 
Sasa ulitaka mwanamke ndo akuhudumie wewe? Na majukumu ya kubeba mimba utabeba wewe sio? Ovyo kabisa ndomana mnaolewa na wanaume wenzenu sababu ya kupenda mseleleko pole kwa mama yako ya baba yako.
 
Sasa ulitaka mwanamke ndo akuhudumie wewe? Na majukumu ya kubeba mimba utabeba wewe sio? Ovyo kabisa ndomana mnaolewa na wanaume wenzenu sababu ya kupenda mseleleko pole kwa mama yako ya baba yako.
 
Sasa ulitaka mwanamke ndo akuhudumie wewe? Na majukumu ya kubeba mimba utabeba wewe sio? Ovyo kabisa ndomana mnaolewa na wanaume wenzenu sababu ya kupenda mseleleko pole kwa mama yako ya baba yako.
Umenijibu kwa hasira bila kunielewa, ni jukumu langu kumuhudumia mke Wangu kipesa, na ninapenda kufanya hivyo, ila tu sitaki kuoa mwanamke ambaye hajavutiwa na mimi kimapenzi, na yupo kwangu sababu tu ninampa hela ntazana ntazana
 
Huu uzi ni wa muhimu sana. Tunakoelekea watu watakaokuwa kwenye ndoa wataonekana Primitive sana yaani na kuna mambo yatakuja kutokea kama mahusiano ya mkataba n.k. Ndoa zitakuwa za kutafutwa kwa tochi.
Your browser is not able to display this video.
 
Ila kwakweli ndugu yenu mimi nimeoa na nina watoto wawili[emoji23]
 
Haya matatizo ya sasa wameyatafuta wanawake kwa kuendekeza ubinafsi katika Ndoa wakati ndoa haitaki kabisa watu wabinafsi.
 
Hii ni hoja ya msingi sana.
 
Umenijibu kwa hasira bila kunielewa, ni jukumu langu kumuhudumia mke Wangu kipesa, na ninapenda kufanya hivyo, ila tu sitaki kuoa mwanamke ambaye hajavutiwa na mimi kimapenzi, na yupo kwangu sababu tu ninampa hela ntazana ntazana
Nimekujibu kwa hasira au ukweli unauma? Unajipinga tena wakati mwanamke kuhudumiwa na mume wake unaona anafaidi?vijana msipobadirika mtaolewa sana tu,sikushangai vijana kama wewe mmejaa tele amtaki kufanya kazi kutimiza majukumu mnataka mseleleko tu.
 
Mmmmmmhmn nadhani hiki ndicho kinawaponza vijana wengi kuchukua mwanamke ambaye ana ufananio wa tabia na mama yake.

Nadhani cha kutazama ni namna gani baba yako aliishi na mama yako. Ili usije fanya makosa tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…