Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

Safii watoto wawe hivyo sio mitoto utadhani imeokotwa balaa tupu hayajui mkubwa wala mdogo.... Hasa watoto wa ukanda wa pwani eeeeeeh hehehehehehhe ni vurugu balaa timbwili wamama Wana matusi si kitoto.... Mtoto nae anakopi kwa mama... Yani katoto kadogo kanatukana matusi mtu mzima huyawezi
 
Hahahahaha mama zetu walijua kutulea jamani..kipindi Niko mtoto nilikua naona ni uonevu but now namshukuru kwa malezi Yale ..naweza ishi popote pasipo kulalama
Kabisa ukiwa unafanywa vile unaona anakuonea

... Kuna tabia maza alikuwa nayo ukimuaga unaenda sehemu ukachelewa kurudi anasubiri saa moja usiku Ile anakufukuza nyumbani na lazima uondoke.... Basi nilikuwa nakaa na dadangu wa ma mkubwa... Alikuwa anatutimua saa moja usiku tunaanza safari ya kwenda kwa Bibi yetu hapo ni mwendo wa lisaa... Njiani napita nalia tu mpaka nafika yaani kama nakaa na mama wa kambo vile kumbe mama mzazi.... Tukifika kwa Bibi tunakaa siku mbili baba anatufuata tunarudi nyumbani
 
Hahahahahahaha safiii ndo dawa yao wenyewe si wanamchekea toto gani lina domo chafu kama choo cha stendi
Hahahahahahaaa choo cha stand haswa.

Na baba ake ndie chanzo cha tabia chafu za kale katoto..mama ake amepigwa marufuku kumuadhibu akosapo..mama ake hana kauli kwa kale katoto

Mburaaaa nikuzae mwenyewe na bado unipande kichwani..haitakuja tokea
 
Uwiii tena ukanda wa pwani ndio usiseme ..ukipiga mtoto wake utamwagiwa mvua ya matusi hadi ujute..utaambiwa zaa wako huujui uchungu wake..nakamata nafinya napiga kuzaa hata chura anazaa..siwezi ona mtoto anafanya ujinga nikakaa kimya
 
Haahahahaha bimkubwa alikua hatari kufukuzwa tena nyumbani!! ..bimkubwa wangu ilikua ukifanya ivyo anakua kimya kama hakuna kilichotokea..anaacha unaoga unakula unajuaa soo limeisha..unataka kulala sasa pale ndipo mahojiano na kipigo kinapoanza chumbani mtu mbili tu..baba anaambiwa naomba ukae pembeni sitaki kuingiliwa ninapoadhibu mwanangu..utapewa kipigo na ole wako siku inayofuata unune au ususe kula..ole wako
 
Mimi nilishawaambia kama utaona mwanao namnyanyasa...kaa nae milele mpaka...kaa nae mwenyewe...sitaki toto lisilo na adabu...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aonje alipotokea ila jamani eeeh haya tukisema tutaambiwa sababu hatujazaa hatujui uchungu
Hayo maneno ndo nawajibu...kwan ndo umezaa wewe wa kwanza dunia hii wengine wameokotwa...?
 
Hii mada tam sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] matoto hayasikii mi kuna mmoja niliwah mkataza kitu akanijibu unanikataza kwani lazima af yuko na vitoto vyenzake nika kaa kimya maana niliudhika sana aisee wazazi wa kike wanaharibu sana watoto
 
Alafu kuna kuku mmoja anasema malezi ni ya baba pia...
 
Uwiii tena ukanda wa pwani ndio usiseme ..ukipiga mtoto wake utamwagiwa mvua ya matusi hadi ujute..utaambiwa zaa wako huujui uchungu wake..nakamata nafinya napiga kuzaa hata chura anazaa..siwezi ona mtoto anafanya ujinga nikakaa kimya
Watoto wa siku hizi kama linadekezwa na wazazi wake usiliguse wewe rekebisha mwanao...ili anaposifiwa mwanao mbele yao wapate funzo...

Usije ukapata kesi bure...mimi nimekoma kwakwel...
 
Hahahaahhahaahahahah aiseeee heshima kwao wamama wakuda wote
 
Uwiii tena ukanda wa pwani ndio usiseme ..ukipiga mtoto wake utamwagiwa mvua ya matusi hadi ujute..utaambiwa zaa wako huujui uchungu wake..nakamata nafinya napiga kuzaa hata chura anazaa..siwezi ona mtoto anafanya ujinga nikakaa kimya
Hahahaha mie vitoto vya pwani naviheshimu mnooo tena ukute mama zao ni wale washinda baharini wale weeeeeeeeee
 
Hahahahahahaaa choo cha stand haswa.

Na baba ake ndie chanzo cha tabia chafu za kale katoto..mama ake amepigwa marufuku kumuadhibu akosapo..mama ake hana kauli kwa kale katoto

Mburaaaa nikuzae mwenyewe na bado unipande kichwani..haitakuja tokea
Eeeh huyo baba ana matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…