Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

Watoto wa siku hizi kama linadekezwa na wazazi wake usiliguse wewe rekebisha mwanao...ili anaposifiwa mwanao mbele yao wapate funzo...

Usije ukapata kesi bure...mimi nimekoma kwakwel...
Mimi wakwangu wamwenzangu wakifanya kosa wote wanapata wanachokistahili

Juzi nimepata kesi ya kuvitandika vitoto vilikua vinabakana..naona tukio ilo niliache kisa sio vitoto vyangu.?!! Hakuna kitu kama icho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aonje alipotokea ila jamani eeeh haya tukisema tutaambiwa sababu hatujazaa hatujui uchungu
Hata ukija kujaaliwa kuzaa usiwadekeze watoto kupita kiasi wakatoka nje ya maadili. Saa zingine hata ushoga kwa vijana huzalishwa na malezi ya aina hii
 
Hii mada tam sana
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
matoto hayasikii mi kuna mmoja niliwah mkataza kitu akanijibu unanikataza kwani lazima af yuko na vitoto vyenzake nika kaa kimya maana niliudhika sana aisee wazazi wa kike wanaharibu sana watoto
Maisha yanakwenda kasi sana na jamii inabadilika kwa speed sana, Mungu At
Mungu aniepushie mbali.... Wanangu watalelewa kwa maadili inshaallah
Kila la heri na Mungu Akutangulie
 
Hata ukija kujaaliwa kuzaa usiwadekeze watoto kupita kiasi wakatoka nje ya maadili. Saa zingine hata ushoga kwa vijana huzalishwa na malezi ya aina hii
Kuna dogo mmoja Tangibovu alikuwa anadekezwa na baba yake, jamaa ukimzingua mwanae anakuja na panga kumuadabisha mpiga mwanae. Dogo kakua, mama na baba hawana maelewano mazuri, mwisho wa siku yule dogo kakua kawa choko. Anataka starehe pesa ya starehe hana mwishowe anafukunyuliwa
 
Kuna dogo mmoja Tangibovu alikuwa anadekezwa na baba yake, jamaa ukimzingua mwanae anakuja na panga kumuadabisha mpiga mwanae. Dogo kakua, mama na baba hawana maelewano mazuri, mwisho wa siku yule dogo kakua kawa choko. Anataka starehe pesa ya starehe hana mwishowe anafukunyuliwa
Ndio matokeo yake hayo sasa! Mwisho wa siku yanabaki majuto kwa wazazi wakati imeshakua too late
 
Nikufundishe, mtoto akiwa less than 5 years mama ni muhimu sana ila baba unatakiwa kuanza kukaonesha kuwa huna utani hasa kakikosea. Baada ya hapo hasa katika kuvunja ungo uwepo wako ni muhimu. Maana anamuona mama kama mwanamke mwenzie na anataka kuwa na opposite sex. Hapo ndipo mibaba mipuuzi inaweza kutenda upuuzi. Na mtoto wakike kama hajaanza kujamiiana utamuona alivyo free na baba ila akipata boyfriend anakuwa mita 500 na baba. Uzoefu muhimu
wewe kwa hii comment unaonekana tayari huko manipulated na huyo mwanamke uliyenaye. Jukumu lake kuu amekukabidhi wewe na umelipokea kwa mikono miwili.
 
Wanawake hawa wanapenda sana kukimbia kuwajibika kwa mambo ambayo ni wazi kabisa ni juu yao...

Huyo dada umuulize...sawa malezi ni kwa baba...tuzae alafu nimchukue mwanangu akiwa mdogo nikamlee mwenyewe...utajisikiaje...?
Hawajui waliwazalo naona wanapayuka tu.
 
asante sana kwa kumpa darasa huyo jamaa. Anasema eti ananifundisha sasa sijui ananifundisha na Mimi nianze kuplay roles za ubaba-mama kama ambavyo yeye anafanya baada ya kuwa manipulated na mkewe.
Boss ni mzazi mwenyewe tu sisi tumelelewa na mzee pamoja na maza tena home mzee Alikuwa hajui kupiga wala kugombeza mtoto na haongeagi tu.... Ila maza alitunyoosha kweli kweli tena mnoo akikutuma umekataa stiki, umesusa kula fimbo, ukiomba kitu kwa mtu akijua tu kipigo, umetumwa sehemu umechelewa kurudi fimbo,yaani kama vitani vile dingi hana huo Muda maza anakalisha watoto wa kiume jikoni mzee anawaka kwa nini!, maza anamwambia mimi ndiye niliyezaa we subiri tu nifundishe watoto, aseee yaani maza katuburuza kweli kweli hakuna mtoto mtukutu kati yetu.... Yaani ni adabu mwanzo mwisho.... Mimi nasema mama ndiye zaidi kwenye malezi sababu nimeyaona sijahadithiwa...
 
asante sana kwa kumpa darasa huyo jamaa. Anasema eti ananifundisha sasa sijui ananifundisha na Mimi nianze kuplay roles za ubaba-mama kama ambavyo yeye anafanya baada ya kuwa manipulated na mkewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Msamehe bure amesahau Ile kauli ya "asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu"
 
Back
Top Bottom