Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Huko Kuna majoka makubwa makubwa bossTukuje kwa inbox tuyajengee...tutengeneze kizazi bora kabisaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Kuna majoka makubwa makubwa bossTukuje kwa inbox tuyajengee...tutengeneze kizazi bora kabisaa..
Mimi wakwangu wamwenzangu wakifanya kosa wote wanapata wanachokistahiliWatoto wa siku hizi kama linadekezwa na wazazi wake usiliguse wewe rekebisha mwanao...ili anaposifiwa mwanao mbele yao wapate funzo...
Usije ukapata kesi bure...mimi nimekoma kwakwel...
Namuonaga kuna nati zimeloose kwa kichwa chakeEeeh huyo baba ana matatizo
Hahahahah waogooa kupindishwa mdomo..heheheeheHahahaha mie vitoto vya pwani naviheshimu mnooo tena ukute mama zao ni wale washinda baharini wale weeeeeeeeee
Twende tukayaangalie chap nakuachia namba tunahamia whatsapp kwa usalama zaidi...nitakulinda...Huko Kuna majoka makubwa makubwa boss
Hata ukija kujaaliwa kuzaa usiwadekeze watoto kupita kiasi wakatoka nje ya maadili. Saa zingine hata ushoga kwa vijana huzalishwa na malezi ya aina hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aonje alipotokea ila jamani eeeh haya tukisema tutaambiwa sababu hatujazaa hatujui uchungu
Hata ukija kujaaliwa kuzaa usiwadekeze watoto kupita kiasi wakatoka nje ya maadili. Saa zingine hata ushoga kwa vijana huzalishwa na malezi ya aina hii
Twende tukayaangalie chap nakuachia namba tunahamia whatsapp kwa usalama zaidi...nitakulinda...
Hahahahah waogooa kupindishwa mdomo..heheheehe
Maisha yanakwenda kasi sana na jamii inabadilika kwa speed sana, Mungu AtHii mada tam sana![]()
![]()
![]()
matoto hayasikii mi kuna mmoja niliwah mkataza kitu akanijibu unanikataza kwani lazima af yuko na vitoto vyenzake nika kaa kimya maana niliudhika sana aisee wazazi wa kike wanaharibu sana watoto![]()
Kila la heri na Mungu AkutangulieMungu aniepushie mbali.... Wanangu watalelewa kwa maadili inshaallah
Kuna dogo mmoja Tangibovu alikuwa anadekezwa na baba yake, jamaa ukimzingua mwanae anakuja na panga kumuadabisha mpiga mwanae. Dogo kakua, mama na baba hawana maelewano mazuri, mwisho wa siku yule dogo kakua kawa choko. Anataka starehe pesa ya starehe hana mwishowe anafukunyuliwaHata ukija kujaaliwa kuzaa usiwadekeze watoto kupita kiasi wakatoka nje ya maadili. Saa zingine hata ushoga kwa vijana huzalishwa na malezi ya aina hii
Ndio matokeo yake hayo sasa! Mwisho wa siku yanabaki majuto kwa wazazi wakati imeshakua too lateKuna dogo mmoja Tangibovu alikuwa anadekezwa na baba yake, jamaa ukimzingua mwanae anakuja na panga kumuadabisha mpiga mwanae. Dogo kakua, mama na baba hawana maelewano mazuri, mwisho wa siku yule dogo kakua kawa choko. Anataka starehe pesa ya starehe hana mwishowe anafukunyuliwa
kanaonekana kanajua kuzaa tu.Umeonaeeeh...haka kabibie hakana mtoto wala hakajaolewa...hebu katupishe kwnz...haka ndo katakuja kutuletea akina bob junior
wewe kwa hii comment unaonekana tayari huko manipulated na huyo mwanamke uliyenaye. Jukumu lake kuu amekukabidhi wewe na umelipokea kwa mikono miwili.Nikufundishe, mtoto akiwa less than 5 years mama ni muhimu sana ila baba unatakiwa kuanza kukaonesha kuwa huna utani hasa kakikosea. Baada ya hapo hasa katika kuvunja ungo uwepo wako ni muhimu. Maana anamuona mama kama mwanamke mwenzie na anataka kuwa na opposite sex. Hapo ndipo mibaba mipuuzi inaweza kutenda upuuzi. Na mtoto wakike kama hajaanza kujamiiana utamuona alivyo free na baba ila akipata boyfriend anakuwa mita 500 na baba. Uzoefu muhimu
Hawajui waliwazalo naona wanapayuka tu.Wanawake hawa wanapenda sana kukimbia kuwajibika kwa mambo ambayo ni wazi kabisa ni juu yao...
Huyo dada umuulize...sawa malezi ni kwa baba...tuzae alafu nimchukue mwanangu akiwa mdogo nikamlee mwenyewe...utajisikiaje...?
Usicheke mimi nipo siriaz atiii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usicheke mimi nipo siriaz atiii...
Boss ni mzazi mwenyewe tu sisi tumelelewa na mzee pamoja na maza tena home mzee Alikuwa hajui kupiga wala kugombeza mtoto na haongeagi tu.... Ila maza alitunyoosha kweli kweli tena mnoo akikutuma umekataa stiki, umesusa kula fimbo, ukiomba kitu kwa mtu akijua tu kipigo, umetumwa sehemu umechelewa kurudi fimbo,yaani kama vitani vile dingi hana huo Muda maza anakalisha watoto wa kiume jikoni mzee anawaka kwa nini!, maza anamwambia mimi ndiye niliyezaa we subiri tu nifundishe watoto, aseee yaani maza katuburuza kweli kweli hakuna mtoto mtukutu kati yetu.... Yaani ni adabu mwanzo mwisho.... Mimi nasema mama ndiye zaidi kwenye malezi sababu nimeyaona sijahadithiwa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Msamehe bure amesahau Ile kauli ya "asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu"asante sana kwa kumpa darasa huyo jamaa. Anasema eti ananifundisha sasa sijui ananifundisha na Mimi nianze kuplay roles za ubaba-mama kama ambavyo yeye anafanya baada ya kuwa manipulated na mkewe.