Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzazi mamboleo huyoKuna mtu humu alimpiga kakofi mwanae akaanza kulia yeye na akaapa kamwe hatokuja kurudia ukatili huu akapandisha na bandiko la masikitiko
Wazazi wa siku za mwishoMzazi mamboleo huyo
Akuuuu pm Kuna vita ni vitaaaNaomba ruhsa tafadhali nije pm...
HahahahhahahahahaKuna mtu humu alimpiga kakofi mwanae akaanza kulia yeye na akaapa kamwe hatokuja kurudia ukatili huu akapandisha na bandiko la masikitiko
Kweli kabisa mkuuWazazi wa siku za mwisho
NDIO NAOMBA RUHSA YA KUINGIA UWANJA WA VITA...UTAPENDEZWA NA UPAMBANAJI WANGU...Akuuuu pm Kuna vita ni vitaaa
Ahahhahaahah umenifanya nicheke kwanguvuNDIO NAOMBA RUHSA YA KUINGIA UWANJA WA VITA...UTAPENDEZWA NA UPAMBANAJI WANGU...
Malezi yamekuwa ni tatizo kubwa sana kwa sasa. Dunia inashangaza sana.
Nna bro wangu ana watoto watatu, wakike wawili na kiume mmoja ambaye ndio wa mwisho. Kiumri wa kwanza ana miaka 22 kwa sasa, wa pili 20, na huyu wa mwisho ambaye ni wa kiume ana 17.
Sasa juzi umeme ulikuwa umekatika ile usiku. Toto la kiume linaogopa kulala pekeake na hilo giza, bila aibu likaenda kulala chumbani kwa dada zake, na wao bila aibu wakalikaribisha.
Hivi hawa kesho wakiwa akina mama watakuwa ni mama wa aina gani ? Na huyu jamaa atakuja kuwa baba wa aina gani kama kwa umri wa miaka 17 haweze kulala pekeake umeme ukikatika.
Unajiita shetani wakati unasema hayupo mbona unatuchanganya mkuu tuelewe kipi?Mtoto akijifanya mtundu anapewa onyo moja tu kwamba "Kiranga Napoleon Shetani anakuja".
Asiposikia atajistukia kapigwa kibao hata kilipotoka hajui
Hivi ukimlea kama yai na ikitokea haupo mdogo wako hawezi kuendeleza malezi kama yako[emoji2][emoji2][emoji2]?
Maisha mafupi sanaSema mama
Kicheko hiki kinamaanisha nimeruhusiwa...ahsante...pokea ugeni wangu hivi punde tafadhali...Ahahhahaahah umenifanya nicheke kwanguvu
Nakumbuka miaka ya nyuma ikitokea msiba na marehemu akawa ameacha watoto basi ndugu watafanya hima kugawana kwa ajili ya kuwalea watoto wa marehemuSio kwa ndugu wa sasa!Atamleq wq kwake sio wa kwako!
KaribuKicheko hiki kinamaanisha nimeruhusiwa...ahsante...pokea ugeni wangu hivi punde tafadhali...
Kwani nikijiita "Kiranga Jasusi Willy Gamba" maana yake Jasusi Willy Gamba yupo kweli?Unajiita shetani wakati unasema hayupo mbona unatuchanganya mkuu tuelewe kipi?
Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.Kwani nikijiita "Kiranga Jasusi Willy Gamba" maana yake Jasusi Willy Gamba yupo kweli?
Nikisema "Le Mutu Lodi Lofa" maana yake Lodi Lofa wa SANI yupo kweli?
Your logic has a non sequitur reasoning.