nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 479
- 671
Unalazimisha mambo.Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.
Unalazimisha mambo.Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.
Unalazimisha mambo.Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.
Ina maana haujui siku hizi watoto wa kike wanakauli mbiu yao kuwa anasoma anatafuta kazi halafu anatafuta mtu wa kuzaa nae tu then maisha ya kudanga yanaendelea..... Au haujui?!Wazazi wa kiume wanakuwa wapi katika malezi?
Wazungu au wahindi wa wapi hao unawasemea samahaniKuna community zingine kama wahindi na hata wazungu huwa hawawapigi watoto lakini the way wanavyokwenda nao mtoto anafata vile mzazi anavyotaka kutokana na culture yao, watoto wa kizungu tunavyo waona mienendo yao ni kutokana na utamaduni wa jamii nzima, tatizo ni sisi waswahili tunaotaka kuiga, na mchanganyiko wa uzungu na uswahili unatoa tabia ya ajabu
Ungemwambia kama hautamkanya mtoto wako basi jamii itamkanya kwa niaba yako na haitakuwa kwa namna yako jamii ndio itaamua namna itafanya....Nakazia hapa..... Kuna jirani yangu ana mtoto hapa wa miaka kama mitano hivi toto halielewi lile jamani anamtukana mama yake mama nae anacheka tu, akimtuma kitu hataki yaani anamjibu mamake atakavyo.... Ukiona mtoto huyo anachapwa basi na babake sio mamake
Nilimuuliza siku moja ( mama nonino) malezi gani haya unampa mtoto? Anajichekesha tu hana cha kujibu... Kwakweli wamama ndio wanaoweza kunyoosha watoto au kulemaza watoto sababu Muda mwingi wanashinda nao wao....
Kweli kabisaHii ndio sababu moja wapo iliyo changia 'Jamii kuwa na watu kama kina amber rutty. Mariam birian. Juma okelo. Na vijana wengine wanaoshinda mitandaoni na kutukana watu matusi mazito mazito na kashfa juu Wema sepetu akiwa ni moja ya product ya malezi ya aina hiyo "
Jamii inapokuwa na majority kubwa ya watu wenye Tabia hizo. ..Taifa linaingia kwenye dosari kubwa na hatimae Lita onekana kuwa ni Taifa la watu wa hovyo ..wasiojua mantiki ya ustaarabu
Zimeshaanza kwani haujasikia ustawi wa jamii na wizara ya elimu wametoa tamko kuwa hairuhusiwi kumtandika mwanafunziBahati mbaya sana wanaopigania maadili kwa watoto wanaonekana wamepitwa na wakati kwa hiyo kama ni jahazi la maadili limeachwa tu lifuate upepo utapolipeleka
Miaka kadhaa ijayo zitakuja sheria kama za nchi za magharibi, kwamba mtoto akiadhibiwa na mzazi anaenda kushtaki ustawi wa jamii na mzazi anaadhibiwa[emoji2]
Tumeiga mila za kimagharibi, mimi watoto wangu hata nikiweka pipi mezani naikuta watasema tu ya baba na hakuna wa kuichukua, hata simu wanachezea za mama yao za kwangu hawazishiki labda iite ndo ataniletea. Tatizo ukimsikiliza sana Mwanamke utaharibu watoto, na wanawake wa sikuhizi maboya sana katika malezi wanazani kumdekeza mtoto ndo upendo.Jumapili iliyopita nilihudhuria kwenye msiba wa ndugu wa rafiki yangu, Miongoni mwa waombolezaji alikua dada mmoja mwenye miaka kama 26-30, alikuwa na mwanae wa kama miaka minne hivi
Sijui ilikuaje lakini mara yule dogo akaanza kulia na kisha kumvurumishia ngumi na mateke mama yake. Mama mtu akabakia kusema tu " Brian stooop banaa". Mpaka mama mmoja alipokuja akamwambia hiyo ni aibu mwanao hata kama ni mdogo unamuachia akupige hivyo hebu ingieni kule chumbani mkabembelezane
Watoto wote wadogo sio ajabu kuwa na utundu lakini utundu mwingine nahisi kama ni wa kukosa adabu na unaendekezwa na wazazi hasa wakike.
Nimewahi kushuhudia mtoto wa chini ya miaka mitano akiipasua simu ya mama yake kwa makusudi kwa kuibamiza chini na mama mtu anasema "mmmh leo sijui kakasirika nini huyu!" halafu akaanza kumbembeleza!
Kuna mtoto wa shangazi yangu aliwahi kumtupia usoni mfuko wa chips mama yake baada ya kugundua alicholetewa sio alichomuagiza wakati anaenda kazini!
Hapo kwenye msiba baada ya tukio la huyo mama na mtoto watu walisema mengi sana kuhusu dosari za kimalezi za wazazi wa kike wa siku hizi. Kuna mzee mmoja akawa anasema dunia inavokwenda huko baadae hayo mapenzi ya mama na mwana yanaweza kufikia hatua ya aibu zaidi hata mama "kumuonjesha" mwanae atakapo balehe
Sina hakika kama haya mambo ya kudekeza watoto kiasi hiki yalikuwepo zamani ila nahisi mengine ni kuwapotosha watoto kwa kuwapa malezi yasiyofaa.
Nimeshawahi kuona mwanamke anahaha kumuomba radhi mwanae mdogo kisa mtoto kakasirika baada ya yeye mwenyewe mama mtu kumsema aache kuwatolea lugha chafu watu wazima!Tumeiga mila za kimagharibi, mimi watoto wangu hata nikiweka pipi mezani naikuta watasema tu ya baba na hakuna wa kuichukua, hata simu wanachezea za mama yao za kwangu hawazishiki labda iite ndo ataniletea. Tatizo ukimsikiliza sana Mwanamke utaharibu watoto, na wanawake wa sikuhizi maboya sana katika malezi wanazani kumdekeza mtoto ndo upendo.
Bilashaka huyo mtoto hakua mtoto mchanga. Na huyo mama anaechezewa kalio anaona kawaida tu! Pengine kamzowesha hivyo siku nyingi sasa mama mtu haoni aibu kuchezewa kalio hadharaninakumbuka kuna mama mmoja alinipa mtoto wake nimpakate yeye akawa amesimama mbele yetu mtoto akaanza kumshika kalio mi nikamtoa mkono wake haraka kakaniangalia kwa hasira akarudisha mkono pale huku anapapasa kabisa yule mama akageuka akamuangalia mtoto wake halafu akageuka mbele huku mtoto akiendelea kuchezea tako la mama yake mmama wa pembeni yangu ndo akaanza kujibizana na yule mmama ikawa gumzo kwenye gari watu wote kimya kusikiliza ugomvi
Mi nikamuweka mtoto kwenye siti niliyokaa nikashuka tu kituo kilichofuata
Ukitoa maneno hayo utaambiwa unamuonea kijicho au unamchuria mtoto wa mwenzio, usipopewa tusi kubwa basi utaambiwa zaa wa kwako halafu ndio umwambie hayo unayoyasemaUngemwambia kama hautamkanya mtoto wako basi jamii itamkanya kwa niaba yako na haitakuwa kwa namna yako jamii ndio itaamua namna itafanya....
Dah! Kweli mkuu yameshaanza kupenyezwa kwenye mifumo yetu rasmi ya kulea watoto kama huko mashuleniZimeshaanza kwani haujasikia ustawi wa jamii na wizara ya elimu wametoa tamko kuwa hairuhusiwi kumtandika mwanafunzi
Wanao wamepata mama haswaa hongera DianaBila kiboko toto linakuwa nunda
Nimeambiwa...you may not start conversation with this recipient ZeshChriss.Karibu
Nimeambiwa...you may not start conversation with this recipient ZeshChriss.