Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

nakumbuka kuna mama mmoja alinipa mtoto wake nimpakate yeye akawa amesimama mbele yetu mtoto akaanza kumshika kalio mi nikamtoa mkono wake haraka kakaniangalia kwa hasira akarudisha mkono pale huku anapapasa kabisa yule mama akageuka akamuangalia mtoto wake halafu akageuka mbele huku mtoto akiendelea kuchezea tako la mama yake mmama wa pembeni yangu ndo akaanza kujibizana na yule mmama ikawa gumzo kwenye gari watu wote kimya kusikiliza ugomvi
Mi nikamuweka mtoto kwenye siti niliyokaa nikashuka tu kituo kilichofuata
 
Wazazi wa siku hizi walilelewa na nyinyi wazee wa siku hizi. Hence matatizo yao yanatokana na malezi mabaya/mazuri mliyowapatia.
 
Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.
Unalazimisha mambo.

Thibitisha kwa hoja zilizojengeka katika uthabiti wa kimantiki kwamba yule mtu anayejiita Kipepe hapa JF, kwa kutumia kibonzo cha Kipepe, kwa kujiita hivyo Kipepe anakuwa Kipepe wa gazeti la SANI kweli.

Your ridiculous notions are only exceeded in foolhardy dispoaition by your lack of a coherent reasoning.
 
Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.
Unalazimisha mambo.

Thibitisha kwa hoja zilizojengeka katika uthabiti wa kimantiki kwamba yule mtu anayejiita Kipepe hapa JF, kwa kutumia kibonzo cha Kipepe, kwa kujiita hivyo Kipepe anakuwa Kipepe wa gazeti la SANI kweli.

Your ridiculous notions are only exceeded in foolhardy disposition by your lack of a coherent reasoning.
 
Ukiijiita ivyo sijui mke wa mkuyenge gamba. Ni ndio utakuwepo kweli na utakuwa ni wewe hapo uliyejiita.
Unalazimisha mambo.

Thibitisha kwa hoja zilizojengeka katika uthabiti wa kimantiki kwamba yule mtu anayejiita Kipepe hapa JF, kwa kutumia kibonzo cha Kipepe, kwa kujiita hivyo Kipepe anakuwa Kipepe wa gazeti la SANI kweli.

Your ridiculous notions are only exceeded in foolhardy disposition by your lack of a coherent reasoning.
 
Wazazi wa kiume wanakuwa wapi katika malezi?
Ina maana haujui siku hizi watoto wa kike wanakauli mbiu yao kuwa anasoma anatafuta kazi halafu anatafuta mtu wa kuzaa nae tu then maisha ya kudanga yanaendelea..... Au haujui?!

Haya ndio matokeo tunakuwa na watoto wenye matatizo..... Picha ndio kwanza linaanza kuna mengi sana mtakuja yaona huko mbeleni.
 
Wazungu au wahindi wa wapi hao unawasemea samahani
 
Ungemwambia kama hautamkanya mtoto wako basi jamii itamkanya kwa niaba yako na haitakuwa kwa namna yako jamii ndio itaamua namna itafanya....
 
Kweli kabisa
 
Zimeshaanza kwani haujasikia ustawi wa jamii na wizara ya elimu wametoa tamko kuwa hairuhusiwi kumtandika mwanafunzi
 
Tumeiga mila za kimagharibi, mimi watoto wangu hata nikiweka pipi mezani naikuta watasema tu ya baba na hakuna wa kuichukua, hata simu wanachezea za mama yao za kwangu hawazishiki labda iite ndo ataniletea. Tatizo ukimsikiliza sana Mwanamke utaharibu watoto, na wanawake wa sikuhizi maboya sana katika malezi wanazani kumdekeza mtoto ndo upendo.
 
Nimeshawahi kuona mwanamke anahaha kumuomba radhi mwanae mdogo kisa mtoto kakasirika baada ya yeye mwenyewe mama mtu kumsema aache kuwatolea lugha chafu watu wazima!

Na hata hizo guts za kumsema ilikua ni kwa sababu watu waliotolewa lugha chafu na mwanae ni viongozi wa dini katika kanisa analosali huyo mama!
 
Bilashaka huyo mtoto hakua mtoto mchanga. Na huyo mama anaechezewa kalio anaona kawaida tu! Pengine kamzowesha hivyo siku nyingi sasa mama mtu haoni aibu kuchezewa kalio hadharani

Nakubali maneno ya yule mzee kwenye msiba kwamba vizazi vinavyokuja huko baadae yawezekana mtoto "akaonjeshwa" ili apajue alipo tokea eti ikiwa ni ishara ya mapenzi ya mama kwa mtoto! Dunia inakwenda kasi sana
 
Ungemwambia kama hautamkanya mtoto wako basi jamii itamkanya kwa niaba yako na haitakuwa kwa namna yako jamii ndio itaamua namna itafanya....
Ukitoa maneno hayo utaambiwa unamuonea kijicho au unamchuria mtoto wa mwenzio, usipopewa tusi kubwa basi utaambiwa zaa wa kwako halafu ndio umwambie hayo unayoyasema
 
Zimeshaanza kwani haujasikia ustawi wa jamii na wizara ya elimu wametoa tamko kuwa hairuhusiwi kumtandika mwanafunzi
Dah! Kweli mkuu yameshaanza kupenyezwa kwenye mifumo yetu rasmi ya kulea watoto kama huko mashuleni

Tatizo ni kwamba athari zake zinakuja kidogokidogo na by the time tunagundua kua tulifanya makosa itakua tumechelewa sana maana products za mifumo tunayowalelea watoto wetu itakua ishatuzalishia jamii isiyojitambua kimaadili ikiwemo kutuletea hadi mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…