Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ukweli ni ukweli, na Nisiupindishe ukweli.
Single Mama wengi hawana malezi kabisa kwa watoto ..na sitoshangaa kama huyo mtoto ni wa single mama.
NI WACHACHE SANA SANA. NA HAWA WACHACHE NI LZIMA WAWE WENYE DINI KWA MAANA DINI INASTAHARISHA MTU.
Kwa ufupi.... Kama mama na baba HAWAMJUI MUNGU.....wala HAWAJAPANDIKIZA MBEGU YA MUNGU MOYONI MWA WATOTO WAO.
mtalalamika sana tu..na mtoto atabebwa nakila aina ya Dunia .
Baba Chapombe + kurudi home saa mbili au tano usiku+ kusali ni sifuri.
Mama kusali ni sifuri+ chapombe.
Nyie??? Mnafanya masihara kwa Dunia hii tuliyonayo??? Dunia ambayo Ukijichanganya kidogo tu imekula kwako???.
Single Mama wengi hawana malezi kabisa kwa watoto ..na sitoshangaa kama huyo mtoto ni wa single mama.
NI WACHACHE SANA SANA. NA HAWA WACHACHE NI LZIMA WAWE WENYE DINI KWA MAANA DINI INASTAHARISHA MTU.
Kwa ufupi.... Kama mama na baba HAWAMJUI MUNGU.....wala HAWAJAPANDIKIZA MBEGU YA MUNGU MOYONI MWA WATOTO WAO.
mtalalamika sana tu..na mtoto atabebwa nakila aina ya Dunia .
Baba Chapombe + kurudi home saa mbili au tano usiku+ kusali ni sifuri.
Mama kusali ni sifuri+ chapombe.
Nyie??? Mnafanya masihara kwa Dunia hii tuliyonayo??? Dunia ambayo Ukijichanganya kidogo tu imekula kwako???.