Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

Ukweli ni ukweli, na Nisiupindishe ukweli.

Single Mama wengi hawana malezi kabisa kwa watoto ..na sitoshangaa kama huyo mtoto ni wa single mama.


NI WACHACHE SANA SANA. NA HAWA WACHACHE NI LZIMA WAWE WENYE DINI KWA MAANA DINI INASTAHARISHA MTU.



Kwa ufupi.... Kama mama na baba HAWAMJUI MUNGU.....wala HAWAJAPANDIKIZA MBEGU YA MUNGU MOYONI MWA WATOTO WAO.



mtalalamika sana tu..na mtoto atabebwa nakila aina ya Dunia .


Baba Chapombe + kurudi home saa mbili au tano usiku+ kusali ni sifuri.

Mama kusali ni sifuri+ chapombe.


Nyie??? Mnafanya masihara kwa Dunia hii tuliyonayo??? Dunia ambayo Ukijichanganya kidogo tu imekula kwako???.
 
Qumamae ningerarua huyo mtoto kama kibaka. Kuna upuuzi unaendelezwa wazazi wanachukulia poa, wanadekeza watoto. Kwa namna mama alivyotulea na namna ninavyomuona anavyodeal na wajukuu zake....heshima kwake. Ukizingua anakushushia kipigo. Kesho utapata akili kuwa nikimzingua atanichapa.
 
Hahahahahaha hongera kwa maza ako

Nakumbuka bi mkubwa ilikuwa akipika kitu sikipendi nikisusa tu kosaaa nachezea kipigo nakalishwa kwenye sahani na lazima Nile,,,,, ila Nampa pongezi sababu mpaka sasa hakuna mwenye jeuri ya kuinua bakuli lake kumjibu bi mkubwa akiongea na tena tukimvuruga kama tupo karibu nae vibao tunachapwa
Qumamae ningerarua huyo mtoto kama kibaka. Kuna upuuzi unaendelezwa wazazi wanachukulia poa, wanadekeza watoto. Kwa namna mama alivyotulea na namna ninavyomuona anavyodeal na wajukuu zake....heshima kwake. Ukizingua anakushushia kipigo. Kesho utapata akili kuwa nikimzingua atanichapa.
 
Duu! mleta uzi umenigusa.
Kwanza niseme uwazi mimi ni muumini wa kanisa katoliki. tuna utaratibu wa kusali jumuiya. kwa maana ya kusali nyumba kwa nyumba za wakatoliki kulingana na utaratibu wa kanisa.
Kuna siku tulienda kusali kwa dada mmoja ni Dr. wa hospitali ya BMC, uwiiiiii jamani wale watoto walinikera!!
Yaani sala zinaendelea mara wanakwenda pale mbele kwenye "altare" wanaanza kuvuta vitambaa, mishumaa, bibilia n.k" mara vinaanza kuimba nyimbo za shuleni, mara vinatuambia tunyanyuke kwenye viti vya nyumbani kwao, mama yao sasa ambaye ni Dr. yuko tu "yuuu, yuuuu plisi, plisi...)
Nimeapa siku nyingine wakipanga kusali jumuiya kwa Dr. siendi maana nitawafinya wale watoto wake
😡😡😡😡😡😡😡
 
Wazazi wa kike wanachangia sana malezi mabovu kwa watoto. Tutamlaumu baba mtu ila kuna kipindi akiingilia kati ataambulia kauli "leba nilikua mwenyewe na manesi usinitesee mtoto" "haukunisaidia kupush" "huujui uchungu na maumivu ya kujifungua"

Akina mama wa siku hizi wanadekeza vibaya. Na zile kiss za mdomo uchafu mtupu
Umemaliza kila kitu Numbisa
 
Duu! mleta uzi umenigusa.
Kwanza niseme uwazi mimi ni muumini wa kanisa katoliki. tuna utaratibu wa kusali jumuiya. kwa maana ya kusali nyumba kwa nyumba za wakatoliki kulingana na utaratibu wa kanisa.
Kuna siku tulienda kusali kwa dada mmoja ni Dr. wa hospitali ya BMC, uwiiiiii jamani wale watoto walinikera!!
Yaani sala zinaendelea mara wanakwenda pale mbele kwenye "altare" wanaanza kuvuta vitambaa, mishumaa, bibilia n.k" mara vinaanza kuimba nyimbo za shuleni, mara vinatuambia tunyanyuke kwenye viti vya nyumbani kwao, mama yao sasa ambaye ni Dr. yuko tu "yuuu, yuuuu plisi, plisi...)
Nimeapa siku nyingine wakipanga kusali jumuiya kwa Dr. siendi maana nitawafinya wale watoto wake
😡😡😡😡😡😡😡
Wazazi wetu walikua very proud mtoto wao anaposifiwa kua na adabu na heshima mbele ya watu wengine ikiwemo wageni kama wametembelea nyumbani kwao. Siku hizi mtoto kua na adabu sio priority ya mzazi.. Hawaelewi kua mtoto aki behave ni sifa kubwa sana kwake mwenyewe na kwa mzazi pia
 
Duu! mleta uzi umenigusa.
Kwanza niseme uwazi mimi ni muumini wa kanisa katoliki. tuna utaratibu wa kusali jumuiya. kwa maana ya kusali nyumba kwa nyumba za wakatoliki kulingana na utaratibu wa kanisa.
Kuna siku tulienda kusali kwa dada mmoja ni Dr. wa hospitali ya BMC, uwiiiiii jamani wale watoto walinikera!!
Yaani sala zinaendelea mara wanakwenda pale mbele kwenye "altare" wanaanza kuvuta vitambaa, mishumaa, bibilia n.k" mara vinaanza kuimba nyimbo za shuleni, mara vinatuambia tunyanyuke kwenye viti vya nyumbani kwao, mama yao sasa ambaye ni Dr. yuko tu "yuuu, yuuuu plisi, plisi...)
Nimeapa siku nyingine wakipanga kusali jumuiya kwa Dr. siendi maana nitawafinya wale watoto wake
😡😡😡😡😡😡😡
Hahah hilo toto halichelewi kukuuliza hivi aunt unandoka kwetu lini?
 
Write your reply...
me naombaga tu mungu aniepushe nisije kuuwa toto la mtu.
mama yangu mkubwa watoto wake ni kisanga, toto linakwambiya "pisha sehemu yangu"
saivi nna kitoto kimoja bado kidogo ngoja nianze kukikunja mapema
 
Write your reply...
me naombaga tu mungu aniepushe nisije kuuwa toto la mtu.
mama yangu mkubwa watoto wake ni kisanga, toto linakwambiya "pisha sehemu yangu"
saivi nna kitoto kimoja bado kidogo ngoja nianze kukikunja mapema
Ukianza kumwelekeza mapema zuri na baya wala hutalazimika kutumia fimbo
 
Back
Top Bottom