Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
unachekesha sanaMtoto wa kike akikosa malezi ya baba hawezi kuwa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unachekesha sanaMtoto wa kike akikosa malezi ya baba hawezi kuwa sawa
Wengine hata mtoto akiwa mwaka mmoja tukimtazama anajua hapa nimeboa anaanza kuliaAisee yaani umeandika nilichokuwa naenda kukiandika. Sijui kwa nini kila kitu wanatupiwa kina mama
Meeyah is right sie yametukumba kwa kuwa mbali na mabinti zetuunachekesha sana
Nakazia yna2Ulezi ni jukumu letu sote
Wazazi wetu hawakuwa na madigriii wala ma-phd lakini walikuwa ni walezi wazuri sana, pamoja na wao kutokuwa na ufahamu mkubwa wa mambo mbali mbali yanaihusu dunia hii lakini waliweza kulea watoto wao katika misingi thabiti ya kinidhamu na uwajibikaji ambayo imewajenga Leo hii tunaona matunda yake.Daaah! Inasikitisha sana na yote hayo vyanzo ni sisi wazazi wa kidigitali kwani tunawalea watoto kimadekezo kuliko kawaida.
Na ndio sababu mtoto anaweza mkosea mzazi akachapwa na ikitokea mtoto kakasirika basi mzazi atakwenda kumbembeleza yaishe wakati zamani hayakuwepo haya.
unachekesha sana
Huyo anayebisha sidhani hata Kama anaye mtoto. Nimejionea mengi. Uwepo wa baba ni muhimu kwa watoto wote. Mtoto wa kiume hata kama baba hayupo basi awepo mwanaume kwenye hiyo nyumba. Ila mtoto wa kike anahitaji babaMeeyah is right sie yametukumba kwa kuwa mbali na mabinti zetu
Kwenye jumuiya[emoji3][emoji3][emoji3] kuna siku nilinusurika kumwagiwa mchanga na mtoto ..umenikumbusha mbali aisee yule mtoto alikua anaharibu kila kitu , sisi kipindi tuko wadogo aje tu mgeni uchelewe kumuamkia au umuamkie afu ukosee baba mdogo umwite mjomba unaambiwa kajikatie fimbo.. mkong'oto utakaoupata hutasahau tenaDuu! mleta uzi umenigusa.
Kwanza niseme uwazi mimi ni muumini wa kanisa katoliki. tuna utaratibu wa kusali jumuiya. kwa maana ya kusali nyumba kwa nyumba za wakatoliki kulingana na utaratibu wa kanisa.
Kuna siku tulienda kusali kwa dada mmoja ni Dr. wa hospitali ya BMC, uwiiiiii jamani wale watoto walinikera!!
Yaani sala zinaendelea mara wanakwenda pale mbele kwenye "altare" wanaanza kuvuta vitambaa, mishumaa, bibilia n.k" mara vinaanza kuimba nyimbo za shuleni, mara vinatuambia tunyanyuke kwenye viti vya nyumbani kwao, mama yao sasa ambaye ni Dr. yuko tu "yuuu, yuuuu plisi, plisi...)
Nimeapa siku nyingine wakipanga kusali jumuiya kwa Dr. siendi maana nitawafinya wale watoto wake
😡😡😡😡😡😡😡
kwamba uwepo wa baba kwa mtoto mdogo ambae ndio anaanza kukua ni muhimu kuliko hata uwepo wa mama..!! nashawishika kuamini haya maneno yanatoka kwa mwanamke mvivua anayejua kuzaa tu na sio kulea.Huyo anayebisha sidhani hata Kama anaye mtoto. Nimejionea mengi. Uwepo wa baba ni muhimu kwa watoto wote. Mtoto wa kiume hata kama baba hayupo basi awepo mwanaume kwenye hiyo nyumba. Ila mtoto wa kike anahitaji baba
Wewe mama una uzoefu! Achana na mitoto inayobalehe hapaJF. Huwezi amini sasa najuta kukuza binti bara tofauti. Ila hakuna kulala mwanaume lazima upambane ili ubadili upepoHuyo anayebisha sidhani hata Kama anaye mtoto. Nimejionea mengi. Uwepo wa baba ni muhimu kwa watoto wote. Mtoto wa kiume hata kama baba hayupo basi awepo mwanaume kwenye hiyo nyumba. Ila mtoto wa kike anahitaji baba
Fimbo siyo kipigousimnyime mtoto kipigo
Umeshazaa mtoto akafika umri wa zaidi ya 25?kwamba uwepo wa baba kwa mtoto mdogo ambae ndio anaanza kukua ni muhimu kuliko hata uwepo wa mama..!! nashawishika kuamini haya maneno yanatoka kwa mwanamke mvivua anayejua kuzaa tu na sio kulea.
Unajua ni nini hapo? Hayo ni matunda ya mpasuko kati ya mama na baba. Kama sikosei katoto hako ni kasichanaIla huu uzi umenikumbusha katoto ka Dada angu ..kale katoto kamelelewa ovyo kabisa..lilitokea tukio kama ilo la msiba tuko msibani katoto kanamwambia mama ake waondoke..mama ake anakaambia subiri tuzike tutaondoka mtoto acha acharuke anamvuta mama ake nguo yani ili mradi amkere wanyanyuke waondoke..yule dada baada ya kuona kero zimezidi akampiga kale katoto kofi .
Kakaanza kujiliza kanabembelezwa kanazidisha sauti mama ake akawa kama anamnon'goneza katoto si kakaropoka "toka hapa ndio maana baba anakupigaga"
Aibu niliona mimi