Malezi ya wazazi wa siku hizi na dosari zake!

Malezi ya kwenye tv...kujifanya wenyewe ndio wana uchungu zaidi kuliko mama zao. ..
 
so you actually believe it's dady that have to play the bigger role in co-parenting?
Nikufundishe, mtoto akiwa less than 5 years mama ni muhimu sana ila baba unatakiwa kuanza kukaonesha kuwa huna utani hasa kakikosea. Baada ya hapo hasa katika kuvunja ungo uwepo wako ni muhimu. Maana anamuona mama kama mwanamke mwenzie na anataka kuwa na opposite sex. Hapo ndipo mibaba mipuuzi inaweza kutenda upuuzi. Na mtoto wakike kama hajaanza kujamiiana utamuona alivyo free na baba ila akipata boyfriend anakuwa mita 500 na baba. Uzoefu muhimu
 
Utasema uzazi ulianza kwao...wengine hatukuzaliwa tuliokotwa..
 
Umenena kweli...
 
HAPA JIRANI ZANGU...KUNA WADADA WAWILI MTU NA DADA YAKE...MMOJA KAOLEWA NA ANA WATOTO WAWILI...MDOGO MTU HAJAOLEWA NI SINGLE MOTHER...SASA KILA MMOJA ANADEKEZA TOTO LAKE...

HUYU ANAMUONA MWENZAKE ANADEKEZA...UKIGUSA WA MWENZAKO ANAKWAMBIA MGUSE WAKO...KWAHIYO WANAANGALIANA TU...

KATOTO KAMOJA KALINISONYA NIKAKAFINYAAA...NIKAONA NIMENYANG'ANYWA MTOTO KWA HASIRA...NIKAAPA SIGUSI TOTO LA MTU...

HATA AKISEMA NINI NALIANGALIA TU...
 
Umenena mazito aisee...
 
Sasa hivi mlezi wa kwanza ni day care
 
mara nyingi hiyo ni kawaida ya kina mama mfano mdogo ni kwenye kula unakuta mtoto akilishwa na mama yake ataruka ruka na kumwaga chakula wanacheka cheka naye ila mzee akipewa amlishe anakula kama kawaida
HILO LIPO KWA MWANANGU MDOGO...AKIWA ANALISHWA NA MAMA YAKE ANASUMBUA KWELI...OOOH MARA HATAKI KULA NIKAWAAMBIA HUO UJINGA SITAKI KUUSIKIA...LETA BAKULI YA UJI LETA...TUNAKABANA NA VIBAO JUU...KULA ANAKULA NA KUSAZA...
 
Wanawake hawa wanapenda sana kukimbia kuwajibika kwa mambo ambayo ni wazi kabisa ni juu yao...

Huyo dada umuulize...sawa malezi ni kwa baba...tuzae alafu nimchukue mwanangu akiwa mdogo nikamlee mwenyewe...utajisikiaje...?
 
Asilimia kubwa ya akina baba hatupendi ujinga ndio maana utakuta mtoto akifanya kosa mama anamwambia ngoja baba aje mtoto anaogopa
Na hili ni kosa kubwa sana wanalolifanya wakina mama kwa sababu linajenga Chuki baina ya Mtoto na Baba!
 
Tumezitupa mkono chekechea zetu...
 
kwamba uwepo wa baba kwa mtoto mdogo ambae ndio anaanza kukua ni muhimu kuliko hata uwepo wa mama..!! nashawishika kuamini haya maneno yanatoka kwa mwanamke mvivua anayejua kuzaa tu na sio kulea.
Umeonaeeeh...haka kabibie hakana mtoto wala hakajaolewa...hebu katupishe kwnz...haka ndo katakuja kutuletea akina bob junior
 
Hahahaha hahahahahahahah kwenye kukafinya sasa jamani wewe...... Ila mtoto mwenye matusi jamani hapendezi lol..... Mtoto anamwambia mamake "pumbavu" mama mtu anakenua meno tu aiseeee... Yaani hapo namzibua domo lake na kofi moja hilo lazima aumwe homa...... Mimi huwa hawaniachii watoto kabisaaaaaaa sababu ni mwendo wa makofi tu hakuna kipya
 
MWISHO WA SIKU LAZIMA HIYO ADHABU IKURUDIE WEWE...UKOSEFU WA KUMJENGA MTOTO KIMAADILI ADHABU LAZIMA IKURUDIE MWENYEWE...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…