Ndugu wapendwa,
Niligombana na mke wangu, kwa shinikizo la wazazi wake akanipeleka polisi na kufungua kesi ya jinai kuwa nimempiga so nikawekwa mahabusu na kutoka kwa dhamana.
Baada ya ushauri alihiari kufuta kesi lakini baba yake akadai nimrudishie gharama aliyoitumia kuja kutatua matatizo ya binti yake.maana alopokuja hakutaka kufikia kwangu ila alifikia guest. Nilikataa baadae akaomba kesi iendea mahakamani aendelee na jinai ya bintie.
Mahakamani tulishauliwa na wazee wa mahakama wife akafuta kesi lakini baba yake akaendelea kudai nimlipe gharama za usumbufu kwa ushauri wa wazee wa baraza ikabidi nimlipe pale pale ili mambo yaishe.
Sasa nimekaa na kutafakari kuwa huyu mwanamke hanifai japo tuna mtoto mmoja. Nafikiria kumpa taraka. Sasa shida inakuja kwa kuwa wazazibwake wamenionyesha kuwa ni wenye tamaa lazima watamshauri tugawane mali. Na hii mali kiwanja na nyumba alivikuta nimeandikisha majina yangu.
Sasa je, kuna uwezekano wa kugawana mali aliyoikuta?
Niligombana na mke wangu, kwa shinikizo la wazazi wake akanipeleka polisi na kufungua kesi ya jinai kuwa nimempiga so nikawekwa mahabusu na kutoka kwa dhamana.
Baada ya ushauri alihiari kufuta kesi lakini baba yake akadai nimrudishie gharama aliyoitumia kuja kutatua matatizo ya binti yake.maana alopokuja hakutaka kufikia kwangu ila alifikia guest. Nilikataa baadae akaomba kesi iendea mahakamani aendelee na jinai ya bintie.
Mahakamani tulishauliwa na wazee wa mahakama wife akafuta kesi lakini baba yake akaendelea kudai nimlipe gharama za usumbufu kwa ushauri wa wazee wa baraza ikabidi nimlipe pale pale ili mambo yaishe.
Sasa nimekaa na kutafakari kuwa huyu mwanamke hanifai japo tuna mtoto mmoja. Nafikiria kumpa taraka. Sasa shida inakuja kwa kuwa wazazibwake wamenionyesha kuwa ni wenye tamaa lazima watamshauri tugawane mali. Na hii mali kiwanja na nyumba alivikuta nimeandikisha majina yangu.
Sasa je, kuna uwezekano wa kugawana mali aliyoikuta?