Mali aliyoikuta mwanamke inaweza kugawanywa sawa endapo mmeachana?

Mali aliyoikuta mwanamke inaweza kugawanywa sawa endapo mmeachana?

Iko hivi. Hilo la kugawana Nusu kwa Nusu ni kama wamelipotezea ili kuondoa Ndoa kuuvunjwa kisa mali.

Mwanamke atatakiwa athibitishe mchango wake na ushahidi...
Sina uhakika kama wamelipotezea mkuu. Maana mke yupo kwao na alienda kwa kisingizio cha kufata nguo zake. Lakini nilimsikia baba yake akisema hawezi kurudi mpaka nimfuate mimi.

Na mimi nimesema siendi kumfuata maana sijamfukuza. So wanaweza kutumia hicho kigezo kwa kusubili muda mrefu na nisiende wakamshawishi binti yao kuja kudai talaka kwa nguvu.
 
Mtagawana Ambapo Unaweza Kumfidia Kwa Cash Ama
 
Kwa watu wa kusini bwana (mwela ndonde na makonde) pasu kwa pasu ndio sheria yao, no matter what no matter how

Mpaka imekuwa kama fashion sasa mabinti wakiolewa wanangoja mambo yakianza kuwa kwenye mstari (ufuta, viwanja nyumba/mashamba na assets) tayari hakutaki anataka talaka
Duuuu

Jr[emoji769]
 
Nilioa mkuu tena na mahali yote ililipwa bila chenga. Kumpiga ni kweli nilimpiga japo ilokuwa hasira na kwa nia ya kurekebishana

Sasa ulimpiga ukataka asitafute haki yake?

Ulitaka tu akuchekee

Kweli kurekebishana mpaka upige?


Msamehe mkeo, samehe wakwe muendelee na maisha na uache tabia ya kupiga.

Hakuna my perfect...unaweza kuta utayemuoa tena akawa mwiba kuliko huyo.

Kwenye ndoa Kuna ups and downs nyingi sana.
 
Sina uhakika kama wamelipotezea mkuu. Maana mke yupo kwao na alienda kwa kisingizio cha kufata nguo zake. Lakini nilimsikia baba yake akisema hawezi kurudi mpaka nimfuate mimi.

Na mimi nimesema siendi kumfuata maana sijamfukuza. So wanaweza kutumia hicho kigezo kwa kusubili muda mrefu na nisiende wakamshawishi binti yao kuja kudai talaka kwa nguvu.

Ila inaonekana wee huna adabu na mbabe na hujui maana ya mke na ndoa.

Kwa mila zetu tumezoea mume kumfata mke kwao hata Kama katoroka, utawekwa kitimoto kama mke wa kurudi basi atarudi kama si wa kurudi hupewi.


Kwa jinsi ulivyo....mpe tu talaka....hakika kapata mume kichomi.

Kama kweli Mali alizikuta basi ni zako , ila atapata asilimia ndogo hata 10 hivi, hatotoka bure.
 
Kwa namna alivyonitenda tena kwa kushirikiana na wazazi wake, moyo wangu hauko tayari kabisa kumsamehe. Aende tu mtupu. Mwanangu nitalea

Wewe ulivompiga huoni kama umemkosea??

Yawezekana hadi ulimuumiza ndio maana akaenda polisi.
 
Ila inaonekana wee huna adabu na mbabe na hujui maana ya mke na ndoa.

Kwa mila zetu tumezoea mume kumfata mke kwao hata Kama katoroka, utawekwa kitimoto kama mke wa kurudi basi atarudi kama si wa kurudi hupewi.


Kwa jinsi ulivyo....mpe tu talaka....hakika kapata mume kichomi.

Kama kweli Mali alizikuta basi ni zako , ila atapata asilimia ndogo hata 10 hivi, hatotoka bure.

Yaani ww kwa komenti zako hizi unazidi kunitia hasira na kichefuchefu. Et kwa mila zetu, unajua maana ya mila ww au umekurupuka tu kwa kuwa ni mwanamke mwenzio. Nina mashaka pia na unavyoishi na mmeo kama umeolewa.

Ukiongelea mila ni wapi mila zetu zinasema mke akigombana na mmewe breki iwe kwao badala ya kukimbilia kwa wakwe zake? Inatakiwa uende kwa wazazi wangu ikishindikana ndo uende kwenu.

Sasa unagombana na mwanaume alafu unakimbilia kwenu wazazi wako wanakupokea unawajaza uzwazwa bila kujua chanzo cha ugomvi wanakupeleka polisi ukamfungulie mmeo kesi ya jinai hata bila mmeo kujua wala kuitwa kwenu angalau kuyasuruhisha.

Mmeo anawekwa mahabusu, mnafikishana mpaka mahakamani lakini mbaya zaidi baba yako anamdai mmeo gharama za kuja kusuruhisha ugomvi tena kwa lazima utafikiri mmeo ndo amemuita tena kwa vitisho kuwa usipomlipa hafuti kesi, pumbavu kabisa!!!!

Baba mkwe unaondoka bila kufika kwangu wakati ni maeneo hayo hayo tu ulifikia tena gest kuendelea na shauri la binti yako ili umfunge mkweo, kweli!!!!?

Leo hii eti nitangulize tumbo langu kumfuata mwanamke ambae kwa kushirikiana na wazazi wake amenidharirisha vya kutosha!! hicho kitu hakipo, labda aje awaombe msamaha ndugu zangu, wazee wa mahakama alikoenda kunidharirisha alafu aje amalizie na mm ndo naweza kumfikiria lakini sio kumsamehe moja kwa moja.

Na hata mm nikienda kumuona mwanagu sifikii kwake. Ntafikia kwa mjumbe ambako ataitwa aje nimuone mwanangu then achukue mahitaji ya mtoto baadae kila mtu hamsini zake.

Mapenzi ni kubembelezana lakini huwezi kubembeleza kisicho bembelezeka.
 
Nina tatizo zaidi na wakwe zako. Naomba nimwite babamkwe wako mpuuzi. Ukiona mzazi kwenye ndoa ya mwanae (wa kiume au wa kike) anaegemea upande mmoja jua hilo ni janga.
Kweli kabisa mkuu ndoa yangu kwa 99% imevunjwa na wakwe zangu na hio 1% ndo mchango wa mke wangu kwao ili kufanikisha kuivuruga ndoa yake. Wacha wamuoe wao sasa.
 
Sasa ulimpiga ukataka asitafute haki yake?

Ulitaka tu akuchekee

Kweli kurekebishana mpaka upige?


Msamehe mkeo, samehe wakwe muendelee na maisha na uache tabia ya kupiga.

Hakuna my perfect...unaweza kuta utayemuoa tena akawa mwiba kuliko huyo.

Kwenye ndoa Kuna ups and downs nyingi sana.
Nani alikwambia haki ya ndoa inapatikana polisi au mahakamani. Ingekuwa hivo kusingekuwa na ndoa hata moja ya kuvunjika. Yaani ukimbilie polisi kabla ya kupata hata suluhu ya wazazi? Et unaenda kutafutasijui haki ya ndoa. Kwa mawazo yako haya ww ni takataka
 
Nani alikwambia haki ya ndoa inapatikana polisi au mahakamani. Ingekuwa hivo kusingekuwa na ndoa hata moja ya kuvunjika. Yaani ukimbilie polisi kabla ya kupata hata suluhu ya wazazi???? Et unaenda kutafutasijui haki ya ndoa. Kwa mawazo yako haya ww ni takataka

Hakwenda kutafuta haki ya ndoa

Alikwenda kutafuta haki ya kuheshimiwa.....kupiga ni kosa la jinai wala si haki ya ndoa.

Wewe kwa jinsi nilivyokusoma ndio takataka....unaona mwenzako katenda kosa lakini wee huoni kosa lako.

Na utavunja utaacha wake wengine tu si huyu labda ubadili tabia.
 
Hakwenda kutafuta haki ya ndoa

Alikwenda kutafuta haki ya kuheshimiwa.....kupiga ni kosa la jinai wala si haki ya ndoa.

Wewe kwa jinsi nilivyokusoma ndio takataka....unaona mwenzako katenda kosa lakini wee huoni kosa lako.

Na utavunja utaacha wake wengine tu si huyu labda ubadili tabia.
Mm kweli nimetenda kosa sikatai ila ndo suluhu kwnda polisi? Ina maana hamna namna nyengine kabisa ya kumaliza matatizo zaidi ya kwenda huko?

Pumba kabisa haya mambo ya magharibi mnayoyaleta huku ndo yamefikisha hpa ndoa nyingi kama si zote. Kitu kidogo tu polisi, mahakamani, sijui ustawi ujinga mtupu. Basi kama ndo hivo kuna haja ya kuolewa ba hao polisi maana inaonekana wanajua kuhandle kuliko waume zenu
 
Mm kweli nimetenda kosa sikatai ila ndo suluhu kwnda polisi? Ina maana hamna namna nyengine kabisa ya kumaliza matatizo zaidi ya kwenda huko?

Pumba kabisa haya mambo ya magharibi mnayoyaleta huku ndo yamefikisha hpa ndoa nyingi kama si zote. Kitu kidogo tu polisi, mahakamani, sijui ustawi ujinga mtupu. Basi kama ndo hivo kuna haja ya kuolewa ba hao polisi maana inaonekana wanajua kuhandle kuliko waume zenu

Ha ha ha ha ha

Nawewe uache tu kuoa basi.
 
WAJAMENI, MIE KUNADADA NILIMPENDA NIKAMGAHRIMIA KUSOME CERTIFICATE NA DIPLOMA AKIWA KWAO ILA AKINITAMBULISHA KAMA MCHUMBA HADI TUKAZAA MTOMTO.UCHUMBA HUO UMEDUMU MIAKA 7 NA MTOTO JUU.SIJAWAHI KUAMBIWA MAHALI KWANI MWANAMKE ANASHIDASINA HSDI MAMA MZAZI WAKE NA BAADHI YA NDUGU ZAKE WANAMUOGOKA.MWAKAHUU NIMEJRENGA KAJUMBA DAR NANIKATAKa aje tukae sasa,amekuja na kukaa na mtoto wangu na watooto za dunguze wadogo wawili.

sasa nilisafiri nikawa nimemuacha mdogo wangu, na sheji yake sasa mwanamke akaanza mauzauza ya kutomsalimia mdogo wangu mara anasema mdogo wangu asimuguse mtoto wangu/wamke,,mdogo wangu akamuuliza kilichomnunisa, shemiji akamrushia kikombe kimejaa chai, na mdogo wangu ambaye ndo yuko chuo akaondoka kuja kijijini..

Najiuluiza hivi nikimfukuza atanidai chochote wakati alikuta ninakiwanja na mshahara wangu ndi nilitumia kujengea nyumba wakati akiwa kwao licha yakujulikana mie ni mchumba wake/mke?

Siwezi kuacha wala kuchukia kuoa tena et sababu ya pimbi mmoja aliekosa malezi bora ya wazazi wake
 
WAJAMENI, MIE KUNADADA NILIMPENDA NIKAMGAHRIMIA KUSOME CERTIFICATE NA DIPLOMA AKIWA KWAO ILA AKINITAMBULISHA KAMA MCHUMBA HADI TUKAZAA MTOMTO.UCHUMBA HUO UMEDUMU MIAKA 7 NA MTOTO JUU.SIJAWAHI KUAMBIWA MAHALI KWANI MWANAMKE ANASHIDASINA HSDI MAMA MZAZI WAKE NA BAADHI YA NDUGU ZAKE WANAMUOGOKA.MWAKAHUU NIMEJRENGA KAJUMBA DAR NANIKATAKa aje tukae sasa,amekuja na kukaa na mtoto wangu na watooto za dunguze wadogo wawili.sasa nilisafiri nikawa nimemuacha mdogo wangu, na sheji yake sasa mwanamke akaanza mauzauza ya kutomsalimia mdogo wangu mara anasema mdogo wangu asimuguse mtoto wangu/wamke,,mdogo wangu akamuuliza kilichomnunisa, shemiji akamrushia kikombe kimejaa chai, na mdogo wangu ambaye ndo yuko chuo akaondoka kuja kijijini..Najiuluiza hivi nikimfukuza atanidai chochote wakati alikuta ninakiwanja na mshahara wangu ndi nilitumia kujengea nyumba wakati akiwa kwao licha yakujulikana mie ni mchumba wake/mke?
Mi nafikiri nyie bado mpo hatua ya mwanzo kabisa ambayo ni uchumba. Tofauti ma mm ambae alikuwa ni mke halali kabisa. So kitakacho kugharimu sanasana hapo ni matunzo ya mtoto tu otherwise kama nyaraka za nyumba ulimuandikisha yeye
 
Siwezi kuacha wala kuchukia kuoa tena et sababu ya pimbi mmoja aliekosa malezi bora ya wazazi wake

Nimeona ulivyohukumu wanawake wote....kumbe bado unatutaka....teh

Ohooo oleweni basi na polisi.....kwi kwi kwiii...huwezi kutukimbia wewe
 
Back
Top Bottom