Mahakama imetoa talaka kwa wazazi wangu, baadae ikaidhinisha Mali zigawanwe! Mali zilizotakiwa kugawanwa ni;
1. Tractor
2, Mashamba
3. Fedha ya kustaafu
Swali: Rufaa ya kupinga kugawana inawezekana? Je, ni sahihi kugawana pesa ya kustaafu iloyoko bank!? Njia gani inatumika kuwagawanyisha pesa na hivyo vitu vingine!?
1. Tractor
2, Mashamba
3. Fedha ya kustaafu
Swali: Rufaa ya kupinga kugawana inawezekana? Je, ni sahihi kugawana pesa ya kustaafu iloyoko bank!? Njia gani inatumika kuwagawanyisha pesa na hivyo vitu vingine!?