Mali inakuwa ya umma pale umma unapomiliki hisa

Labda kabla ya kuijadili mada hii tupate tafsiri ya Mali ni nini.kinachoonekana hapa tafsiri ya Mali ni makampuni.je barabara,maziwa,shule,vyuo,mbuga za wanyama,ardhi nk ni nini.tupate tafsiri ili kuwe na mjadala mpana ktk mada hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…