Mali za jide zazua kizaa zaa

Hivi nyie wanawake aliyewalaani ni nani hasa?? Kila siku mnapiga kelele usawa usawa. 50 by 50.

Nyie hapo mnashabikia angekuwa jide mungeanza kelele.

Ebu jitbueni acheni unafiki.
We nae unaongea nini hata hueleweki,mara 50 by 50 mara laana, ungeazisha post yako kama umeguswa sana,ntoleee unafiki wako hapaa
 
Hehehehehehehehhe mashabiki wa diamond mpo? ukitaka mwanaume kuolewa tii sharia za kuolewa na mwanamke au yatakukuta yalio kuta Gadina, wapo weng +++++++ Uganda oyeeeeeeeeeee mumeowa kaka yetu kesi Uganda heheheheheheheheeheheh
 
Kwani kuzaa na mtu ni kumuoa? Hata hivyo mbona alipomuoa jide alikuwa hana kitu.
 
hivi miaka yote 9 Gardner tuseme hakuwahi kutoa idea yeyote hata ushauri wowote wa kimaendeleo kwa jide?
Yaani ni jambo la ajabu sana mimi nashindwa kuelewa hizi sheria za ndoa, hua zinafanya kazi kwa mwanaume tu? Maana najua angekua mwanaume ndiyo mwenye pesa tungeona kasheshe yake.
 
Hahahaa, alieanza kumquote mwingine nanii, unantishia paka mimi na choko umezianza mwenyewe, kwendraaa....
Nimekukwote kwa shari??? Zembwera mkubwa ebu nikaushie nakutishia nyau..! Toa kichwaa nikuponde.
 
hawa ndugu ndio wabaya wake hasa huyo jide,kama anakaa nao anatakiwa awafukuzilie mbali.
Hawa wana kinyongo na mafanikio yake na wanamchimba kumkomoa

Tena mkuu sio kinyongo cha mafanikio yake Jide tu nasema mbali ya kuwatimua kwake wala wanachopika kuanzia chai na chochote asile. Awe na sehemu tofauti ya kula wanaweza kumtoa hata roho au kuunguza jengo au lolote baya.Timua kabisa hawa tena wasivyo na chembe ya aibu wanampangia na asilimia ya kumpa Gardner. Wangekuwa wao wangetoa hata senti?
 
Hili suala liwe fundisho kubwa kwa vijana mliooa na mnaotarajia kuoa kwa kumilikisha kila kitu mwanamke kisa mnapendana. Mwanamke SIO NDUGU ni RAFIKI. Leo mpaka mzeeke. Ukimpa mpe. Usitegemee akupe mkigombana. Jifunzeni hilo.
 
kama kweli gardner alikuwa busy kuponda mali akipata mshahara hawekezi hata kidogo basi avune alichopanda .

ila kama alikuwa anachangia anachopata Jide hajafanya haki alikuwa mme wake endapo wamefanya wote hayo maendeleo asimwache mwenzie akaanze uoya jaman hiyo mijumba yote akimpa 1&gari 1 atapungukiwa nini? hana hata hofu ya mungu akajihisi dhulumati aiseee dahhh, labda kama gardner akipata kidogo kilikuwa kinaishia club dahh hadi huruma
 
Nimekukwote kwa shari??? Zembwera mkubwa ebu nikaushie nakutishia nyau..! Toa kichwaa nikuponde.
Kumbe sio kwa shari mbona povu linakutoka kama una degedege,nipishee.. Hebu kiponde tuone,mxeeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…