Mali za Serikali Kukamatwa

Mali za Serikali Kukamatwa

Deni linatisha, maana mfano bajeti ya wizara OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE 2023 / 2024

MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA OFISI YA WAZIRI MKUU NA
OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2023/2024

193. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2023/2024, Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizo chini yake inaliomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya shilingi 173,733,110,000; kati ya fedha hizo, shilingi 121,364,753,320 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na shilingi 52,368,356,680 ni kwa ajili ya Matumizi ya Maendeleo.

194. Mheshimiwa Spika, Vilevile naliomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi 165,627,897,000 kwa ajili ya Mfuko wa Bunge. Kati ya fedha hizo, Shilingi 160,458,877,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 5,169,020,000 ni kwa
ajili ya Matumizi ya Maendeleo.

195. Mheshimiwa Spika, naomba

Source : Parliament of Tanzania
 
Kwani haya madeni si walisemaga yanalipika sjui ni madeni himilivu na porojo nyingi😂😂😂😂 haya mali zinakamatwa na soon raisi anakopa tena na tena hivi hamuoni wamama wanavyoteseka na vikoba na hawakomi ndio raisi wetu anakopa kama yuko vikoba ni asili yao simlaumu kabisa
 
Mali za Jamhiri au za uchumi wa bluu?
 
Kwani haya madeni si walisemaga yanalipika sjui ni madeni himilivu na porojo nyingi😂😂😂😂 haya mali zinakamatwa na soon raisi anakopa tena na tena hivi hamuoni wamama wanavyoteseka na vikoba na hawakomi ndio raisi wetu anakopa kama yuko vikoba ni asili yao simlaumu kabisa
Mbaya zaidi anakopa kupeleka Zanzibar
 
Madeni ya mchele ulioagizwa tangu miaka 37 iliyopita yaani tarehe 23 July 1985, na kesi kunguruma hadi mwezi November 2022 ktk Mahakama ya juu kabisa ya Rufaa Tanzania na kutolewa uamuzi kuwa dola za kimarekani USD 69, 044, 651.24 pamoja na juu yake riba ya asilimia 25 tangu January 1997 ilipwe kwa mdai :

COURT RESOLVES CONTROVERSY OVER 158BN/- PAYMENTS​

11-11-2022

Court_hammer22-11-11.jpg

Court_of_appeal_building22-11-11.jpg

By FAUSTINE KAPAMA-Judiciary

THE Government of Zanzibar is to pay over 158bn/-, which includes principal sum and interests to a Company, Laemthong Rice Co. Ltd, being worth of 39,900 tonnes of rice supplied about 37 years ago.

This follows a decision of the Court of Appeal to allow an appeal under which the Company, the appellant, had lodged to oppose the decision of Registrar of the High Court of Zanzibar to certify the entitled payments at USD 5,700,000 instead of USD 69,044,651.24.

“We allow this appeal. Consequently, we quash the Registrar's ruling as well as (that) of the High Court, (which rejected the application for reference on such decretal sum),” Justices Stella Mugasha, Ignas Kitusi and Sam Rumanyika declared in their judgment delivered recently.

They set aside the certification of USD 5,700,000 and stood by the Court judgment dated 18 December, 2000, stating that the ruling by the Registrar given in favour of Principal Secretary in the Ministry of Finance Zanzibar, the respondent, was wrong whatever arguments that had been put forward.

The justices pointed out that the Court's finding on such point in its earlier decision was very clear that the rice was duly delivered in three shipments between 1986 and 1988 and there was part payment of the agreed price.

They recalled to have states that the balance and the accumulated interest amounted to USD 69, 044, 651.24 as of January 1997 and the efforts to secure settlement of the debt proved fruitless although the respondent did not deny the debt, but actually acknowledged it on 15 July, 1996.

“The above has remained to be the position. The Registrar had no powers to alter the ex- parte judgment and decree of the High Court, nor the previous order of this Court in this case,” the justices said.

Similarly, they said, in dismissing the application for reference lodged by the appellant to challenge the decision of the Registrar, the High Court abdicated its duty to correct the Registrar's manifest error.

“What was stated by the Court in (the case of) Victoria Real Estate Development Limited, on the duty of the parties and even the courts to respect court orders, was recently restated in (the case of) Karori Chogoro vs Waitihache Merengo, Civil Appeal No. 164 of 2018 (unreported),” they said.

On 23 July 1985, which is 37 years ago, at the request of the Government of Zanzibar, the appellant supplied it with 39,900 tonnes of rice worth USD 12,935,685, with compounded interest of 25 percent per annum.

No full payment for the rice has ever been made by the respondent in fulfilment of its contractual obligation. The appellant instituted proceedings in the High Court claiming the said USD 69, 044, 651.24 together with interest thereon at 25 percent per annum from January 1997 until full payment.

The respondent, though duly represented by the Attorney General's Chambers in Zanzibar, failed to file any defence due to his lack of co-operation with the Chambers. This led to the Chambers withdrawing in frustration. The court entered an ex-parte judgment after receiving evidence of the appellant.

Reason behind the matter pending in Court for all such long is for determination of the amount that should be paid by the respondent and how execution should be carried out.
However, on 18 December, 2000, the Court pronounced itself on that issue. Even after the Court's clear position, execution of the decree proved to be a nightmare and the issue of the amount to be paid was resurrected.

After the enactment of the Government Proceedings Act No. 3 of 2010 that barred such execution, the matter was taken to the Registrar of the High Court of Zanzibar to issue a certificate for the decretal amount.

The Registrar issued a certificate for the amount of USD 5,700,000. The appellant challenged the Registrar's ruling on such certification by way of reference to the High Court. However, the High Court dismissed the reference. It was at that point in time when the matter went back to the Court of Appeal : Source : https://www.judiciary.go.tz/web/index.php?r=posts/webview&id=1718

tanzlii.org
https://tanzlii.org › judgment › cour...
Laemthong Rice Co. Ltd vs Pricipal Secretary Ministry of Finance ...

Laemthong Rice Co. Ltd vs Pricipal Secretary Ministry of Finance Zanzibar (Civil Appeal 259 of 2019) [2022] TZCA 697 (09 November 2022);.
1985 nna govi langu bado hapo..kitambo sana
 
Mali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zipo hatarini kukamatwa na Kampuni ya M/s Laemthong Rice Company Ltd inayoidai Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kiasi cha Dola za Marekani 41,522,475,277.12 (Tsh. Trilioni 97.366).

CAG anaripoti...

View attachment 2593763
Mwandish wa hki kipeperushi anaijua kweli trillion 97....??
 
Deni linatisha, maana mfano bajeti ya wizara OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE 2023 / 2024

MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA OFISI YA WAZIRI MKUU NA
OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2023/2024

193. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2023/2024, Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizo chini yake inaliomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya shilingi 173,733,110,000; kati ya fedha hizo, shilingi 121,364,753,320 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na shilingi 52,368,356,680 ni kwa ajili ya Matumizi ya Maendeleo.

194. Mheshimiwa Spika, Vilevile naliomba Bunge lako Tukufu liidhinishe jumla ya Shilingi 165,627,897,000 kwa ajili ya Mfuko wa Bunge. Kati ya fedha hizo, Shilingi 160,458,877,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 5,169,020,000 ni kwa
ajili ya Matumizi ya Maendeleo.

195. Mheshimiwa Spika, naomba

Source : Parliament of Tanzania
Achana na mwandish haijui 97 trillion..hyo hta billion 100 haifiki
 
....kiasi cha Dola za Marekani 41,522,475,277.12 (Tsh. Trilioni 97.366).
Mkiambiwa sisi ni donor country mnabisha!!! Hizi hela tunalipa deni la nchi lote. Tunahitaji ufafanuzi hizo hela zipo wapi tukalipe madeni.
 
Wanadaiwa wapemba tunalipa watanganyika
Nyie endeleeni tu kushabikia mambo ya simba na yanga, habari za udaku za kina Diamond na kuwaandaa watoto wenu kua mashoga kwa ushamba wenu mfano Irene uwoya na mwanae krish anavomuandaa kuwa shoga huku mkaacha kufuatilia mambo ya maana yanayohusu maisha yenu
 
hii trilioni 97 mbona inaweza kuwa bei ya kisiwa chenyewe cha Zanzibar sasa, kama vipi wachukue tu hiko kisiwa na watu wake.

madeni sidhani kama issue ya muungano.
 
hii trilioni 97 mbona inaweza kuwa bei ya kisiwa chenyewe cha Zanzibar sasa, kama vipi wachukue tu hiko kisiwa na watu wake.

madeni sidhani kama issue ya muungano.
Angalieni figure vizur mwandishi amepotoshaaass.. lkn Kwa kutojua Kwan wengi wa wahariri wetu bado ni ngumbalu taarifa kama hii unaiandika front page halfu totally unapotoshaaa...hya nndo makosa yakufungia hivi vipeperushii... Trillion 97, wwkati bajeyi ya tz mwaka huu nadhani ni 40trillion....
 
Back
Top Bottom