Mali zinazopatikana kwa elimu zisigawanywe kwenye talaka, Juhudi za chekechea mpaka chuo haziwezi kupigwa pasu kwa pasu , Tuwaige wenzetu wakenya

Mali zinazopatikana kwa elimu zisigawanywe kwenye talaka, Juhudi za chekechea mpaka chuo haziwezi kupigwa pasu kwa pasu , Tuwaige wenzetu wakenya

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Chekechea - miaka 2
Msingi - miaka 7
Olevel - miaka 4
Form 5 / Dip - miaka 2
Degree - Miaka 4
kujitolea kupata ujuzi - miaka 3

Mtu kasota miaka kibao kajiwekeza then kapata ajira yake au kajiajiri kwa taaluma aliyosomea, kaanza kufaidi matunda yake ya uwekezaji alioufanya tangu chekechea hadi degree / masters, anapata mwenzake na kuingia rasmi kwenye ndoa, ajabu ikitokea talaka mahakamani eti mali za jasho la mtu chekechea hadi degree zipigwe pasu kwa pasu kisa mwanamke alikuwa anampashia maji, is this fair ?

Ni vingi sana watanzania hupitia mpaka mtu anahitimu chuo, Huyo anaetaka pasu kwa pasu alitoa msaada gani wakati mwenzake anasota kwa hayo mateso ?
  • kukesha usiku kusoma
  • kuamka alfajiri kuoga maji yabaridi
  • kutembea umbali mrefu
  • kurudi nyumbani hoi
  • manyanyaso ya daladala
  • viboko visivyohesabika na adhabu kibao
  • kurudia / ku resit
  • mihangaiko ya kutafuta ada
  • madawati mabovu na hata kukaa chini
  • wazazi wamejibana sana ili mtoto asome
  • n.k.

Hatuna budi kuwaiga wakenya kwenye sheria ya ndoa mkiachana kila mtu anaondoka na vitu alivyochangia kifedha, hakuna mambo ya kupashiana maji, hilo ni jukumu la mwanamke kama ilivyo mwanaume kuwa mlinzi wa nyumba, mbaya zaidi majukumu yanayotetewa na mahakama kwa wanawake wa sasa ni ngumu kuyafanya wanampa house girl, mashine za kufua, n.k.
 
Kwa mtazamo wangu, Ndoa au husiano wa kimapenzi, unampa Faida zaidi mwanamke, mwanaume hakuna Faida anayopata ktk mapenzi zaidi ya Ku sex. Na hiyo sex pia mwanamke analalamikia kua haliridhishwi yaani kiujumla Maisha ya mwanaume ni magumu kia angel yaani Mali zako ni za mwanamke, Sheria inambeba zaidi Mwanamke, ndomana baadhi ya watu huwa awaoi kuhofia kupoteza Mali zao.
Kuna watu anapesa ktk Nchi hii ila hawajaoa maana wanaofia kupoteza Mali.
 
Hapoo pagumu.

na huyoo mwanamke katunzwa kàsomeshwa kama ulivyoõanisha kwa mwanaume, na mahari umetoa lakisaba. Mpaka mzee wake anabaki anacheka na matunzo yote nakukopa kote na ulinzi wote napewa genji laka saba yenyewe unatoa kwa mafungu.


Cha msingi mali zako andika jina la mama kama agenda ya mkutano mkuu ulivyosema.
 
Chekechea - miaka 2
Msingi - miaka 7
Olevel - miaka 4
Form 5 / Dip - miaka 2
Degree - Miaka 4
kujitolea kupata ujuzi - miaka 3

Mtu kasota miaka kibao kajiwekeza then kapata ajira yake au kajiajiri kwa taaluma aliyosomea, kaanza kufaidi matunda yake ya uwekezaji alioufanya tangu chekechea hadi degree / masters, anapata mwenzake na kuingia rasmi kwenye ndoa, ajabu ikitokea talaka mahakamani eti mali za jasho la mtu chekechea hadi degree zipigwe pasu kwa pasu kisa mwanamke alikuwa anampashia maji, is this fair ?

Ni vingi sana watanzania hupitia mpaka mtu anahitimu chuo, Huyo anaetaka pasu kwa pasu alitoa msaada gani wakati mwenzake anasota kwa hayo mateso ?
  • kukesha usiku kusoma
  • kuamka alfajiri kuoga maji yabaridi
  • kutembea umbali mrefu
  • kurudi nyumbani hoi
  • manyanyaso ya daladala
  • viboko visivyohesabika na adhabu kibao
  • kurudia / ku resit
  • mihangaiko ya kutafuta ada
  • madawati mabovu na hata kukaa chini
  • wazazi wamejibana sana ili mtoto asome
  • n.k.

Hatuna budi kuwaiga wakenya kwenye sheria ya ndoa mkiachana kila mtu anaondoka na vitu alivyochangia kifedha, hakuna mambo ya kupashiana maji, hilo ni jukumu la mwanamke kama ilivyo mwanaume kuwa mlinzi wa nyumba, mbaya zaidi majukumu yanayotetewa na mahakama kwa wanawake wa sasa ni ngumu kuyafanya wanampa house girl, mashine za kufua, n.k.
Degree zingine mfano udaktari, jumla ni miaka sita, kama alipita diploma yake, ni miaka mitatu. Sheria inasema mali mlizokusanya kuanzia tarehe ya ndoa, ndo mnagawana, ulizoanza nazo maisha tangu zamani zitaendelea kuwa zako.
 
Hapoo pagumu.

na huyoo mwanamke katunzwa kàsomeshwa kama ulivyoõanisha kwa mwanaume, na mahari umetoa lakisaba. Mpaka mzee wake anabaki anacheka na matunzo yote nakukopa kote na ulinzi wote napewa genji laka saba yenyewe unatoa kwa mafungu.


Cha msingi mali zako andika jina la mama kama agenda ya mkutano mkuu ulivyosema.
Wanawake wengi hawajasoma sana, na matunzo ya mzazi ni jukumu la mzazi so usilalamike.
 
Nalo la kuzidiwa akili na mwanamke ni kukosa akili. Kila kitu kina dalili. Ukishaanza kuona dalili za haya mambo.

Tengeneza mambo yako mapema, hakikisha plan B iko solid and strong.
 
Huu ni upumbavu ambao sheria zetu na Majaji na Mahakimu bado wanaulea.

Hii kitu nilifanyia research yangu undergraduate tittled "Education certificate acquired under wedlock as Matrimonial asset at divorce" na nikatoa recommendations nzuri kabisa ila ndo hvo system yetu n mbovu na Majaji/Hakimu wengi hawajiongezi

Research yangu unaweza isoma kupitia EDUCATION CERTIFICATES ACQUIRED UNDER WEDLOCK AS MATRIMONIAL ASSET AT DIVORCE

Au

View: https://www.scribd.com/document/613680386/Education-Certificates-acquired-under-wedlock-as-Matrimonial-assets-at-divorce

Hii system ya kugawana mali ni uhuni mtupu na kumuumiza mwanaume.


All in all KIJANA KATAA NDOA
 
Back
Top Bottom