Malia Obama to attend Havard in 2017

Aiseee 13 + 27 = 40..!!!!

Mh, heshima yako dada yangu, unasifa zote za kuitwa mama

BACK TANGANYIKA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu tulia basi usome kwa umakini, labda uwe unatania.
BTW, uzee ni baraka... Asante.
 
Ee Mungu asante kwa kuwa unaniskiliza. Naomba maombi yangu ya scolarship huko yakubali nisome naye na nimpe mimba hatimaye nimuoe
 
Unashindwa kuelewa vipi mkuu?
Yule mzee yuko smart bwana, hata deals zake anazipiga in a smart way...
Usiongelee michango yake iliyotukuka kuhusiana na sheria bungeni.

Mnhhh Elimu ya Harvard imemsaidia kupiga deal in a smart way
Obama Elimu ya Harvard imemsaidia kuitoa nchi yake kwenye mgogoro wa kiuchumi na kuipeleka sehemu nafuu zaidi...
huoni tofauti?
 
Mnhhh Elimu ya Harvard imemsaidia kupiga deal in a smart way
Obama Elimu ya Harvard imemsaidia kuitoa nchi yake kwenye mgogoro wa kiuchumi na kuipeleka sehemu nafuu zaidi...
huoni tofauti?
Lakini kwanini tumfananishe Rais wa Taifa kubwa ulimwenguni na mtu ambaye hajawahi hata kuongoza Taifa letu hili masikini?
Fairness ni kwamba kila mtu kaitumia elimu yake kwa manufaa tofauti.
Sitetei ufisadi wa Chenge, lah! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Lakini kwanini tumfananishe Rais wa Taifa kubwa ulimwenguni na mtu ambaye hajawahi hata kuongoza Taifa letu hili masikini?
Fairness ni kwamba kila mtu kaitumia elimu yake kwa manufaa tofauti.
Sitetei ufisadi wa Chenge, lah! [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi point yangu ni kuwa wewe ukipelekwa JKT mfano
utajikuta unafanana fanana na askari wengine wa JKT hata kitabia kidogo..

Hutegemei mtu mwanaume kapitia JKT umkute katinda nyusi mfano...

Sasa kama Harvard inawapa watu elimu ya kutambua nafasi zao hapa duniani
na nafasi zao katika kuongoza wengine na kujitolea na kutojifikiria wao tu
inakuaje huyu wa kwetu apite huko aje kupiga dili zake tu....hilo ndo nashindwa kulitafsiri
 
Sasa huyu mtoto naye anahangaika kusoma ili iweje? Ana shida gani? Au misifa tu.
 
Obama nae anapiga kama za huyu wa kwetu aliyepeleka "k.i.l.a.z.a" wake UDOM?

'Nasikia' humu ndani kutaja jina la huyo mtoto wa rais ni marufuku!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Unamiss kitu The Boss.
Kumbuka kupiga deal huko ni wizi, na mwizi hata apewe elimu gani bado hatoacha wizi wake.
Hivyo Obama elimu kaitumia kivingine na mzee wetu wa Harvard katumia elimu yake kivyake.
Hushangai kuna watu wamesoma elimu ya dini sana na bado ni mafiraun wa kutupwa?
 
Mkuu mimi ni mrefu ila nina dogo langu lefu kinoma.
Hadi namuonea wivu maana she is on her thirteen ila mimi niliyeko katika 20's zangu nasubiri!
Hizo mambo za urefu sana ni kilema zishapitwa na wakati.
mmh 20' s....!? wadada wengi mnagandia hapo hamkui?
 
Huyo ni mtoto wa Rais wa Marekani...vipi kuhusu mtoto wa Rais wa Tanganyika + Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…