Malia Obama to attend Havard in 2017

Malia Obama to attend Havard in 2017

hahahaaaaaa
kinachokutisha hapo ni hilo jina na fame,ila kusema mtoto mkali,mi naona kawaida mkuu..ni mzuri ndio lkn sio kwa level unazotaka kusifia...kuna series inaitwa "into the badlands",kuna mtoto mkali mule kaigiza kama daktari,itafute ukiiona ndio utajua kuwa kumbe huyo malia ni wa kawaida tu.
 
kinachokutisha hapo ni hilo jina na fame,ila kusema mtoto mkali,mi naona kawaida mkuu..ni mzuri ndio lkn sio kwa level unazotaka kusifia...kuna series inaitwa "into the badlands",kuna mtoto mkali mule kaigiza kama daktari,itafute ukiiona ndio utajua kuwa kumbe huyo malia ni wa kawaida tu.
poa itaitafuta mkuu
 
Hapana mkuu yule jamaa alikuwa anamtaka mjaluo mwenzie tena alijipanga kipindi kile Obama alivyoenda Kenya amkabidhi mahari ya mang'ombe
Kama sikosei ni kipindi mama Hillary alipozuru Kenya jamaa alijitosa mpaka alitoa barua ya posa na mama Clinton alijibu kwa kusema atafikisha ujumbe ila binti yake ndiye mwenye kuamua
 
Ni kawaida hata Bongo inabidi utembelee kwanza UDSM, Mzumbe, UDOM, Zanzibar, IFM, CBE, Mkuranga, Bagamoyo, Buguruni, Ilala flats nk. Kabla ya kufanya maamuzi.
Kutembelea what do you mean? Unaona majengo au you go inside kuanalyse, walimu, facilities, academic performance records over the year........................ Nieleweshe
 
mtafute aisee mtoto anaitwa MADELEINE MANTOCK,mgoogle afu mfananishe na huyo malia,then rejesha hapa taarifa..
Daah nimemuona kaka, mtoto mkaree saana ana urefu 1.74m, mixtures of colored, Hispanics, and England, sema sasahivi demu kasema anataka kudate na mzungu pure, sio chotara, ningemtafuta nijiweke kaka
 
Kutembelea what do you mean? Unaona majengo au you go inside kuanalyse, walimu, facilities, academic performance records over the year........................ Nieleweshe


Inategemea unataka nini. Hata ukienda kufuata vidosho nani atakuzuia?
 
Back
Top Bottom