Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

SYLLOGIST!

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2007
Posts
8,189
Reaction score
7,853
Nitangulize pole zangu kwa Familia ya Elizabeth na Waingereza wote kwa msiba.

...vilevile nimpongeze Mfalme wa Waingereza.

....kwa taarifa zinazotiririka kuhusu kifo cha Malikia, kumekuwa na gumzo la Nchi zilizomo kwenye mfumo wa Commonwealth, sasa zitaanza ku"Brexit".

Binafsi sioni umuhimu wa kuwemo kwenye Commonwealth that is not 'Common' na tunapishana sana na hiyo 'Wealth' pamoja na kunyonywa maliasili zetu.

Tung'oke tu.
 
Canada,Australia,New Zealand wao mfalme ndo chief of their states. Sisi tupo kwenye common wealth sawa ila wale nchi 15 wao mfalme ni mkuu wao kabisa.
Ndio Malikia alikuwa 'Raisi' wetu. Aliweza kutuunganisha. Mfalme ataweza hayo?
 
Nitangulize pole zangu kwa Familia ya Elizabeth na Waingereza wote kwa msiba.

...vilevile nimpongeze Mfalme wa Waingereza.

....kwa taarifa zinazotiririka kuhusu kifo cha Malikia, kumekuwa na gumzo la Nchi zilizomo kwenye mfumo wa Commonwealth, sasa zitaanza ku"Brexit".

Binafsi sioni umuhimu wa kuwemo kwenye Commonwealth that is not 'Common' na tunapishana sana na hiyo 'Wealth' pamoja na kunyonywa maliasili zetu.

Tung'oke tu.
kwani jumuiya ya madola unategemea uwepo wa malkia yeye binafsi au taasisi? unaposema bora Tung'oke tu. kwani tupo pale kilazima? hakuna nchi inayolazimika kuwepo pale mkuu, malka pia ndio mkuu wa nchi km australia na canada lakin iko hivyo kwakuwa nchi hizo hazioni shida ila ziko free kuchomoka zikijisikia kufanya hivyo
 
Australia hawataki,Canada hasa kule Québec hawataki. Majority hawataki. Ngonja msiba uishe itajulikana. Charles kazi anayo.
lkn hakuna anaezizuia australia na canada kuwa republics, nadhani kuna baadhi ya nchi zimeshachomoka tayari
 
kwani jumuiya ya madola unategemea uwepo wa malkia yeye binafsi au taasisi? unaposema bora Tung'oke tu. kwani tupo pale kilazima? hakuna nchi inayolazimika kuwepo pale mkuu, malka pia ndio mkuu wa nchi km australia na canada lakin iko hivyo kwakuwa nchi hizo hazioni shida ila ziko free kuchomoka zikijisikia kufanya hivyo
Nakumene,
Naweza kusema ndio tupo kwa lazima.
Hizo nchi ulizozitaja ni za kwao...yaani za watu wa Ulaya na zilipatikana kwa mkono na baraka za Familia ya Kifalme.
Hawachomoki kirahisi hivyo kama sisi Waafrika na wengine tunavyoweza kungo'ka
 
Nitangulize pole zangu kwa Familia ya Elizabeth na Waingereza wote kwa msiba.

...vilevile nimpongeze Mfalme wa Waingereza.

....kwa taarifa zinazotiririka kuhusu kifo cha Malikia, kumekuwa na gumzo la Nchi zilizomo kwenye mfumo wa Commonwealth, sasa zitaanza ku"Brexit".

Binafsi sioni umuhimu wa kuwemo kwenye Commonwealth that is not 'Common' na tunapishana sana na hiyo 'Wealth' pamoja na kunyonywa maliasili zetu.

Tung'oke tu.
Halafu tunaambiwa kuwa tafsiri ya COMMONWEALTH kwa kiswahili ni JUMUIYA YA MADOLA

Huu uongo huu hata viongozi wetu hawajaustukia
 
Nitangulize pole zangu kwa Familia ya Elizabeth na Waingereza wote kwa msiba.

...vilevile nimpongeze Mfalme wa Waingereza.

....kwa taarifa zinazotiririka kuhusu kifo cha Malikia, kumekuwa na gumzo la Nchi zilizomo kwenye mfumo wa Commonwealth, sasa zitaanza ku"Brexit".

Binafsi sioni umuhimu wa kuwemo kwenye Commonwealth that is not 'Common' na tunapishana sana na hiyo 'Wealth' pamoja na kunyonywa maliasili zetu.

Tung'oke tu.
Eleza unavyonyonywa kama sio ujeinga unakusumbua
 
Back
Top Bottom