Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

Halafu tunaambiwa kuwa tafsiri ya COMMONWEALTH kwa kiswahili ni JUMUIYA YA MADOLA

Huu uongo huu hata viongozi wetu hawajaustukia
Msanii,
Kuna hili la Katiba yetu na sijui ni kwa kiasi gani uwepo wetu ndani ya Commonwealth unatutatiza na kuwa na KATIBA inayotutosheleza.

Nafikiri utakuwa wakati Muafaka kuelezwa Mategemeo ya Nchi yetu kuwemo humo, kuelezwa ni mafanikio gani haswa ya kubakia humo...

Viongozi wana kazi kuhusu hili
 
Eleza unavyonyonywa kama sio ujeinga unakusumbua
Ujinga ndio ulitufanya tuwemo humo.

Ww Glenn unajua ni kiasi gani tunatoa kuendesha Familia ya Kifalme Uingereza? Fanya ujinga uelewe hili.

Ati COMMONWEALTH!
What do we have in common with Europeans?
 
Msanii,
Kuna hili la Katiba yetu na sijui ni kwa kiasi gani uwepo wetu ndani ya Commonwealth unatutatiza na kuwa na KATIBA inayotutosheleza.

Nafikiri utakuwa wakati Muafaka kuelezwa Mategemeo ya Nchi yetu kuwemo humo, kuelezwa ni mafanikio gani haswa ya kubakia humo...

Viongozi wana kazi kuhusu hili
Umeongea neno kubwa sana KATIBA.

Uwepo wetu kwenye huu umoja wa kimaslahi unapaswa kuzingafia utashi wetu na hasa kwenye Katiba.

Unadhani viongozi hawakuelewi? Shida wana ugumu kwenye kuukubali ukweli
 
Naona Kenya imefaidi sana Ma blue band bmafuta ya kimbo , chocleti, mpaka wamepata katiba bora
 
Nitangulize pole zangu kwa Familia ya Elizabeth na Waingereza wote kwa msiba.

...vilevile nimpongeze Mfalme wa Waingereza.

....kwa taarifa zinazotiririka kuhusu kifo cha Malikia, kumekuwa na gumzo la Nchi zilizomo kwenye mfumo wa Commonwealth, sasa zitaanza ku"Brexit".

Binafsi sioni umuhimu wa kuwemo kwenye Commonwealth that is not 'Common' na tunapishana sana na hiyo 'Wealth' pamoja na kunyonywa maliasili zetu.

Tung'oke tu.
Lidikteta kuu liuaji limekufa ila limeacha mavibaraka yake kwenye muunganiko wa kipumbavu wa common wealth wacha vibaraka wake waendelee kulishujudia hilo li familia lililo jaa damu za ndugu zao.

# MATESO NA MAKOVU YA UKOLONI MLIYO TUACHIA HAYA SAHAULIKI YATA DUMU VIZAZI NA VIZAZI . Wacha lidikteta liuaji liende likakutane na mauaji menzake huko liendako.
Rainha-Elizabeth.jpg
 
Kwanini inaitwa jumuia ya madola wakati dola ni pesa ya marekani.

Ingeitwa jumuia ya mapaundi maana paundi ndio pesa ya UK.
 
Ujinga ndio ulitufanya tuwemo humo.

Ww Glenn unajua ni kiasi gani tunatoa kuendesha Familia ya Kifalme Uingereza? Fanya ujinga uelewe hili.

Ati COMMONWEALTH!
What do we have in common with Europeans?
Nimekupa nafasi ueleze
 
Lidikteta kuu liuaji limekufa ila limeacha mavibaraka yake kwenye muunganiko wa kipumbavu wa common wealth wacha vibaraka wake waendelee kulishujudia hilo li familia lililo jaa damu za ndugu zao.

# MATESO NA MAKOVU YA UKOLONI MLIYO TUACHIA HAYA SAHAULIKI YATA DUMU VIZAZI NA VIZAZI . Wacha lidikteta liuaji liende likakutane na mauaji menzake huko liendako.View attachment 2351698
Sikujua Bibi wa watu alikuwa Dick-tator.
Mwanae yupo mubashara sasa hivi.
Umesikika
 
Wazungu wa Quebec ni vichaa wale
Bado msuguano wa miaka ya nyuma kati ya ya wafaransa na waingereza inashamiri.
Ni vichaa walioweza kuweka sawa Ufalme wa Waingereza

Pontiac's Revolt
 
Nimekupa nafasi ueleze
Nafasi ya kueleza nini?
Kama unajua na umeacha nafasi kueleza yanayokusumbua nikueleze nini?

Tanzania should exit the not so COMMONWEALTH. Tung'oke.
 
Ndio Malikia alikuwa 'Raisi' wetu. Aliweza kutuunganisha. Mfalme ataweza hayo?
Alishindwa kujiunganisha na Diana,sisi ndo ataweza ?Kwanza hakutakiwa kuwa king.King Edouard alitolewa uking kisa alioa mwanamke aliedivorce. Ndo sasa king George baba wa malikia Lilibet akawa king .Sasa huyu Charles ni divorcee na akaowa divorcee. Sema nini Malkia Elizabeth alilegeza sheria.
 
Bado msuguano wa miaka ya nyuma kati ya ya wafaransa na waingereza inashamiri.
Ni vichaa walioweza kuweka sawa Ufalme wa Waingereza

Pontiac's Revolt
Sio waingereza tu hata wadosi Quebec wamechemka hawana nguvu kama Ontario
 
Back
Top Bottom