Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

Umeongea neno kubwa sana KATIBA.

Uwepo wetu kwenye huu umoja wa kimaslahi unapaswa kuzingafia utashi wetu na hasa kwenye Katiba.

Unadhani viongozi hawakuelewi? Shida wana ugumu kwenye kuukubali ukweli
...angalia Statue of Wesminster 1931
...pamoja na Edinburgh Declaration.
Kuna vitu Serikali zetu-nasema Seriikali za Kiafrika-wanavificha. Ikiwa pamoja na Ugumu wa kubadilisha KATIBA zetu kwasababu tu tumo ndani ya Jumuiya hii.
 
Australia,Northern Ireland,Scotland wote hawataki
Scotland hawawezi chomoka. Malkia ameweka mizizi pale na amefia pale na hata Sasa mwili wake bado umelala pale. Niliona wascoch wamekuwa wekunduu Kwa uchungu wa kutokwa na bibi huyu.
 
Msanii,
Kuna hili la Katiba yetu na sijui ni kwa kiasi gani uwepo wetu ndani ya Commonwealth unatutatiza na kuwa na KATIBA inayotutosheleza.

Nafikiri utakuwa wakati Muafaka kuelezwa Mategemeo ya Nchi yetu kuwemo humo, kuelezwa ni mafanikio gani haswa ya kubakia humo...

Viongozi wana kazi kuhusu hili
Nakumbushia tyu
 
Back
Top Bottom