Tetesi: Malikia Afariki: Sasa Nchi za Commonwealth Kusambaratika??

Umeongea neno kubwa sana KATIBA.

Uwepo wetu kwenye huu umoja wa kimaslahi unapaswa kuzingafia utashi wetu na hasa kwenye Katiba.

Unadhani viongozi hawakuelewi? Shida wana ugumu kwenye kuukubali ukweli
...angalia Statue of Wesminster 1931
...pamoja na Edinburgh Declaration.
Kuna vitu Serikali zetu-nasema Seriikali za Kiafrika-wanavificha. Ikiwa pamoja na Ugumu wa kubadilisha KATIBA zetu kwasababu tu tumo ndani ya Jumuiya hii.
 
Australia,Northern Ireland,Scotland wote hawataki
Scotland hawawezi chomoka. Malkia ameweka mizizi pale na amefia pale na hata Sasa mwili wake bado umelala pale. Niliona wascoch wamekuwa wekunduu Kwa uchungu wa kutokwa na bibi huyu.
 
Nakumbushia tyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…