ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
Rais Samia chukua vijana kama hawa wazalendo peleka TPA, TRA et utafanikiwa Sana,Sio wapiga dili hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za Magufuli walipewa nafasi na matokeo yake mliyaona.Rais Samia chukua vijana kama hawa wazalendo peleka TPA, TRA et utafanikiwa Sana,Sio wapiga dili hawa
Unataka matokeo gani zaidi ya hayaEnzi za Magufuli walipewa nafasi na matokeo yake mliyaona.
Wewe pia hii comment umetumwa?Kwahiyo ndio kakutuma
😍😀Ni pisi kali,kama hajaolewa napeleka posa kwa wazazi wake
Posa inaenda ikulu ohoooo
Huyu nasikia aliteuliwa Agosti 2021; lakini taarifa yake inasema ufaulu kwa Halmashauri ya Malinyi ni mzuri tangu 2019.Kuna wanafunzi kibao waliofaulu darasa la saba kwenda kidato cha kwanza ambao kusoma kiswahili tu ni shida halafu huyu DED anapongezwa, hii nchi sijui inakwenda wapi. Haya ndio madhara ya kufikiri kwamba UPINZANI ni uadui nchini, huu upuuzi unaoitwa kuupiga mwingi sishani kama ungekuwepo kama upinzani active ungekuwepo
Aliyempa hiyo tuzo hakulifahamu hili? Acha wivu pambana tu na wewe utaonekanaHuyu nasikia aliteuliwa Agosti 2021; lakini taarifa yake inasema ufaulu kwa Halmashauri ya Malinyi ni mzuri tangu 2019.
Hebu aache kujitafutia umaarufu wa kitoto. Hivi hapo hawapo viongozi iowakuta?
😂😂Mama atakuwa MshengaPosa inaenda ikulu ohoooo
Hiyo tuzo kaiweka hapo. Isome vizuri utajua kama kajipa au kapewa.Hiyo tuzo kajipa mwenyewe?
Mbona kama inasomeka Shigela kwa chini au sijaona vizuriHiyo tuzo kaiweka hapo. Isome vizuri utajua kama kajipa au kapewa.
Apewe sifa anayostahili, siyo kuwafanya Wakurugenzi wenzake hamnazo
UVCCM ilikukosea nini?Kwa hiyo huyu NI uvccm🤣🤣
Hapa Hamna kitu