Malinyi, Morogoro: Joanfaith Kataraia atunukiwa ngao ya Ushindi kwa Kuongoza katika Ufaulu PSLE. Nini kipo nyuma ya mafanikio ya DED huyu?

Malinyi hakumfai huyu binti kwani ni porini Sana, huyu apewe kazi mjini kwanini kumtesa binti wa watu huko maporini?

#Huyu Dada anastahili pongezi kwa hisani ya UVCCM

Naungana na wewe kwenye mstari wa mwisho
 
Fact, This bint deserves better,namfahamu

Kuna binti mmoja pia pale Malinyi DC

Anaitwa Rehema anachapa kazi balaa

Vyombo vya uteuzi fuatilieni huyo mtu alisaidie taifa siku moja

Twendeni Malinyi
😍😍
 
Malinyi hakumfai huyu binti kwani ni porini Sana, huyu apewe kazi mjini kwanini kumtesa binti wa watu huko maporini?

#Huyu Dada anastahili pongezi kwa hisani ya UVCCM
Hilo tumwachie Mama
 
" Halmashauri yangu ya Malinyi imekuwa ikiongeza kiasi cha ufaulu kwenye mitihani yote ya kuhitimu Elimu ya Msingi (PSLE) kwa miaka mitatu mfululizo tangu 2019|2020 hadi 2021|22 kwa mchanganuo ufatao "


UNASTAHILI PONGEZI DADA MKUBWA
 
Mkuu wa Mkoa hawezi kutoa tuzo yenye Heading ya Halmashauri.

Tumia akili


Hii sura nzuri ya Joanfaith,

Hiki cheo kuzuri cha Joanfaith

Hii elimu nzuri ya Joanfaith

Hili umbo zuri la Joanfaith

Hii gari nzuri ya Joanfaith

#HAYA YOTE UNGEPEWA WEWE TUNGESHAKUZIKA KITAMBO
 
Joan apelekwe juu tu hakuna namna
 
Hii sura nzuri ya Joanfaith,

Hiki cheo kuzuri cha Joanfaith

Hii elimu nzuri ya Joanfaith

Hili umbo zuri la Joanfaith

Hii gari nzuri ya Joanfaith

#HAYA YOTE UNGEPEWA WEWE TUNGESHAKUZIKA KITAMBO
Kuna Mtu Kupata Cheo na, Cheo Kupata Mtu. 😀😀
 
We ni nani yake?
 
Joanfaith,

1. Sura nzuri ✔️

2. Elimu nzuri ✔️

3. Matokeo mazuri PSLE ✔️

4. Mchamungu mzuri ✔️

5. Mtu wa watu ✔️

Huyu anapashwa kupewa nafasi ya juu kwa maslahi ya Watanzania
Ana mme au bf? Ebu nipeni taarifa nijue la kufanya 😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…