Malinzi na kamati nzima ya TFF naomba usiku huu mtuage rasmi

Malinzi na kamati nzima ya TFF naomba usiku huu mtuage rasmi

Basi Waziri husika afanye yake kwa kuwafukuza kazi wahusika wote bila kuchelewa.

Mkuu jamaa wale wanalindwa sana na FIFA,haguswi mtu na mkono wa serikali
 
  • Thanks
Reactions: BAK
habari nilizozipata toka chanzo cha karibu na rais huyo wa tff, amesema kuwa malinzi amechoshwa na tuhuma na kashfa lukuki anazotupiwa yeye kutokana na kumkumbatia kocha aliyetimuliwa nooij, pia madai ya kuendekeza ukabila na visasi. stay tuned.


kama Jamal Malinzi akiachia ngazi kesho, Nitatembea kwa Mguu feri mpaka Zenji
 
Last edited by a moderator:
Malinzi hiiyo ni laaana ya kubadilisha langi ya jezi za timu ya taifa sasa itamtafuna sana anaekataaa na akatae
 
Hakustahili kuwa raisi wa TFF nahili ndio tatizo letu Watanganyika wakati wa kuchagua viongozi tunachagua kwa ushabiki baadae tunalaumu wale tuliowachagua wenye kuona mbali walimkata mliobaki mkapiga kelele na mkamchagua na bado tuna uchaguzi mkuu na haya yatajirudia tusubiri kelele

matokeo ya rushwa kwenye chaguzi ndo hayo,inapotembea rushwa msitegemee kupata uongozi imara na mathubuti.
 
Hapa FIFA waliboronga, kama waliochaguliwa wanavurunda kiasi hiki basi wangekaa pembeni ili Waziri husika katika nchi husika afanye yake. Hili limeshakuwa janga tena si dogo.

Acha ukabila wewe,Mtanzania anayo haki ya kuishi popote hapa nchini!
 
Ubaguzi wa kikabila mkuu bado upo sana. Ukitaka kuujua nenda kagombee udiwani au Ubunge katika majimbo ya uchaguzi Vijijini ambayo wakazi wake siyo wa kabila lako uone kama utashinda uchaguzi!

Ubaguzi bado upo kwenye mawazo ya watanzania kweli?
 
wahaya ni wapuuzi tu

Mkuu jifunze kupita njia kuu (ie kuwa kwenye hoja) Michepuko wakati mwingine noma! Kushindwa kwa malinzi kuongoza vizuri TFF hakuna uhusiano na kabila lake, full stop.
 
Wahaya ni wabaguzi over! Tizama taasisi zinazoongozwa na wahaya
 
Mkuu jifunze kupita njia kuu (ie kuwa kwenye hoja) Michepuko wakati mwingine noma! Kushindwa kwa malinzi kuongoza vizuri TFF hakuna uhusiano na kabila lake, full stop.

hakuna lolote mifano iko mingi angalia sehemu zote zinazoongozwa na hawa majamaa huwa na ukabila na kuwekana kwa kijinga jinga tu na kipuuzi puuzi tu...ukinipa sababu kwanini alimtimua Kim na kumleta huyu babu labda nitakuelewa ila kinyume na hapo Wahaya ni Wapuuzi tu
 
Back
Top Bottom