Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa utaambiwa upelelezi bado, shame CCM.
NI JULY 31 MKUU....EDIT POST YAKOMALINZI AGONGA TENA MWAMBA KISUTU ,AREJESHWA RUMANDE MPAKA JULAI 30
![]()
Dar Es Salaam,Tanzania.
KESI inayomkabiri Rais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi,Katibu wake Celestine Mwesigwa na Mtunza Fedha,Nsiande Mwanga imesoma tena leo asubuhi kwenye mahakama ya Kisutu,Dar Es Salaam.
Imeamuliwa kuwa Malinzi pamoja na wenzake warejeshwe tena rumande kwa madai kuwa upelelezi wa kesi yao bado haujakamilika na watarejeshwa tena mahakamani hapo Julai 30 mwaka huu.
Malinzi anakabiriwa na mashitaka 28 ya kughushi nyaraka na kutakatisha fedha wakati Mwesigwa na Mwanga wanakabiriwa na mashitaka matatu kila mmoja.
Malinzi na wenzake walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu kwa mara ya kwanza Juni 29 kabla ya kupandishwa tena kizimbani Julai 3 mwaka huu.
alimkataahivi huyu mwanae si mtangazaji wa clouds kipindi cha ala za roho?
Kwani CCM ndo imeshitaki Malinzi?Malinzi kama atapigia tena kampeni CCM basi ana laana ya wazazi.
Hapa utaambiwa upelelezi bado, shame CCM.
Malinzi kama atapigia tena kampeni CCM basi ana laana ya wazazi.
kweli upelelezi bado au uchaguzi upite
hivi huyu mwanae si mtangazaji wa clouds kipindi cha ala za roho?
Kwani CCM ndo imeshitaki Malinzi?
Wapi nimesema akitoka atakuwa Rais TFFKwani nani kakuambia kuwa hata akitoka huko ' Segerea ' bado atakuwa tena ni Rais wa TFF? Tayari tumeshaanza kujiandaa kumshangilia Rais mpya wa TFF Ally Mayai na Makamu wake Mtemi Ramadhan na huyo Malinzi wako labda kampeleke akawe Rais wa Familia yako.
Tayari ' Mission Accomplished ' na alionywa mapema tu akajifanya Yeye ni ' Kiburi ' sasa yamemkuta na akifanya mzaha ' ataozea ' Segadansi hata maisha.
Wewe uliye makini unalihusisha na nini?Hapa CCM imeingiaje tena Mkuu? Kwani alipokuwa ' akiiba ' alikuwa akila na Watu wa CCM? Hivi kweli Mtu aliye ' makini ' kabisa anaweza kulihusisha hili suala la ' Upuuzi ' wa Malinzi na CCM?
Ni serikali ya CCMKwani CCM ndo imeshitaki Malinzi?
Kwani haki ya dhamana inatolewa kwa ridhaa ya washitaki au hoja za kisheria??Muda mchache uliopita Viongozi wa TFF Rais Jamal Emil Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamerudishwa tena Segerea hadi tarehe 31 mwezi huu ambapo Kesi yao itatajwa tena baada ya upande wa Washtaki kukataa ombi la Mawakili wa hawa Viongozi.
Nawasilisha.
CCM una akili(TWAWEZA)?Kabla hujajianika ulivyo mweupe kichwani na kila mtu kukuona mjinga Jaribu kujielimisha kwanza, kesi za money laundering (utakatishaji pesa) hazina dhamana.
Umejuaje kuwa ni kesi ya "money laundering" kungali hapana ushahidi?? Sheria zetu zina naksi.Kabla hujajianika ulivyo mweupe kichwani na kila mtu kukuona mjinga Jaribu kujielimisha kwanza, kesi za money laundering (utakatishaji pesa) hazina dhamana.