EUfundedtroll
Member
- Oct 30, 2014
- 14
- 13
Hivi kwa mfano nimenunua shares za kampuni kama Apple au Microsoft au GE, Leo jumatatu, na nimespend dola 10,000
Kisha baada ya mwezi thamani zimepanda sana na value yake ni dola 100,000
Je naweza ku cash out au haya makampuni yanalipa shares kila baada ya miezi 6 etc
Je kwa Tanzania utaratibu ukoje?
Kisha baada ya mwezi thamani zimepanda sana na value yake ni dola 100,000
Je naweza ku cash out au haya makampuni yanalipa shares kila baada ya miezi 6 etc
Je kwa Tanzania utaratibu ukoje?