Malipo ya Bima kwa wote itaunganisha watanzania kuanzisha vita kali dhidi ya CCM

Malipo ya Bima kwa wote itaunganisha watanzania kuanzisha vita kali dhidi ya CCM

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Umoja ni nguvu na changamoto na shida ni chachu ya kuleta umoja wenye nguvu.

Maisha magumu sana sana na mpango huu wa bima kwa wote ndio ccm na serikali yao ya kidhalimu itajua haiju dadadeki kudadedeki acha vita ije haraka.

Wakati wa kuukataa upumbavu ushafika.

Tusubiri yajayo yana heri

Wadiz
 
Bima kwa Wote sio jambo baya....

Kukatana Mapesa kwa lazima na kupewa huduma sub-standard ndio tatio...., Waje na Sera za watu kupata ajira zenye ujira wengi wata-afford healthcare wala sio kusubiri hisani (Kwa sasa majority ni wabangaizaji wasiofahamu kesho yao ipoje)
 
Back
Top Bottom