SI KWELI Malipo ya kila mwezi ya LUKU yanataka kuondolewa

SI KWELI Malipo ya kila mwezi ya LUKU yanataka kuondolewa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wapo vijana wanaopita mitaani wanaodai wametumwa na serikali za mitaa, kwa lengo kuchukuwa namba za luku za kila mita na majina ya wamiliki, wakidai mapato hayo yanataka kuondolewa na kurudishwa katika halmashauri, je hili ni la kweli?

Ushauri wangu kama ni la kweli, je kwanini mapato hayo ambayo yanakusanywa na TANESCO kila mwisho wa mwezi yasihamishiwe moja kwa moja katika halmashauri, badala ya kutaka kuvuruga mfumo safi uliopo?


1741686138952.png
 
Tunachokijua
TANESCO ni shirika la umeme Tanzania lenye wajibu wa kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme kwa wananchi.

Madai

Mdau wa JamiiCheck.com amehitaji kupata ualisia iwapo ni kweli TANESCO wanakusanya namba za mita na majina ya wamiliki wakidai mapato hayo yanataka kuondolewa na kurudishwa katika halmashauri.

Uhalisia wa madai hayo

JamiiCheck imefuatilia madai hayo na kubaini kuwa si ya kweli. JamiiCheck imewasiliana na TANESCO kupitia kwa Mkurugenzi wa Uhusiano kwa Umma, Irene Stanley ambaye amekanusha kuhusu suala hilo na kuwataka wananchi kuwa makini kwa kutokutoa Taarifa.

"Hiyo taarifa haina ukweli wowote, ni uongo, Wananchi wawe makini wasitoe taarifa zozote za LUKU kwani TANESCO tunao mfumo unaomtambua mtumiaji moja kwa moja." - Irene Stanley
Wapo vijana wanaopita mitaani wanaodai wametumwa na serikali za mitaa, kwa lengo kuchukuwa namba za luku za kila mita na majina ya wamiliki, wakidai mapato hayo yanataka kuondolewa na kurudishwa katika halmashauri, je hili ni la kweli?

Ushauri wangu kama ni la kweli, je kwanini mapato hayo ambayo yanakusanywa na TANESCO kila mwisho wa mwezi yasihamishiwe moja kwa moja katika halmashauri, badala ya kutaka kuvuruga mfumo safi uliopo?
Wanatumwaje kuchukua namba za mita wakati TANESCO wana database kwenye mfumo kabisa?
 
Huna akili ww narudia tena akili jikuma la maccm ww yan hayo makato ya 1500 kila mwez yahamishiwe halmashauri wkt tyr yanaumiza watz ukzngatia ile ni kodi ya mita si jengo maana unakuta nyumba 1 ikishakuwa na mita zaid ya 1 mita zote mknunua umeme mnakatwa 1500 nchi ya ksenge iliyojaa washenz kama ww
 
Huna akili ww narudia tena akili jikuma la maccm ww yan hayo makato ya 1500 kila mwez yahamishiwe halmashauri wkt tyr yanaumiza watz ukzngatia ile ni kodi ya mita si jengo maana unakuta nyumba 1 ikishakuwa na mita zaid ya 1 mita zote mknunua umeme mnakatwa 1500 nchi ya ksenge iliyojaa washenz kama ww
Umevurugika kishenzi dah., pole ndugu.
Unatakiwa kutoa taarifa Tanesco kama jengo lako lina mita zaidi ya moja!
 
Hivi serikali unadhani inaweza fanya huo upuuzi??? wee tozo hiyo tamu sana ndo maana mwigu haguswi hela inayolipwa tanesco kuhamishiwa halamashauri mbona rahisi tu serikali moja.
 
Nashukuru kwa kunifahamisha sasa serekali za mitaa zinakubalije kujihusisha na utapeli huu, maana wana mabarua ya serekali za mitaa, yenye mihuri.
Hii nchi tUnalojua kidogo ni yanga na Simba napo tunavunja kanuni.
 
Back
Top Bottom