Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaNgoja waje kukupa muongozo...
Zaidi ya rambirambi ambazo siyo lazima wakutolee...
Nakazia,pesa yenyewe sidhani Kama inafika hata laki tano,kwa watumishi waliochini ya tamisemimalipo hulipwa kwa mke,mume na watoto. unapewa pesa ya sanda,jeneza na usafiri kama ikitokea unasafirisha . kutokana na walaka wa utumishi wa umma.
halmashauri hata laki 4 haifiki.labda usafirishe . na inategemea unapeleka mkoa gani toka msiba ulipoNakazia,pesa yenyewe sidhani Kama inafika hata laki tano,kwa watumishi waliochini ya tamisemi
DuhHali ngumu? Watu mnaanza kupigia mahesabu pesa mtakaziopata MTU akifa aiseee