Malisa aachiwa kwa dhamana Saa Saba Usiku, moja kwa moja aelekea Hospitali ya KCMC

Malisa aachiwa kwa dhamana Saa Saba Usiku, moja kwa moja aelekea Hospitali ya KCMC

Kuna haja ya ku review mitaala ya chuo Cha CCP na sifa za kuajiri hawa watu pia maana wanaliaibisha taifa mwishowe hiyo kazi itaonekana ni ya vilaza na watu wasiojielew

Aisee! Umesema ukweli kabisa mwamba! Polisi wengi ni wahuni na wanavuna Jani! Polisi anakukuta usiku saa 4 unaenda nyumbani anakuuliza nani kakuruhusu kutembea usiku? Hivi huyu anajua katiba kweli au ni wahuni TU wanaokotwa mtaani na wavuta bangi wanaenda CCP TU?
 
anasema tuhuma hizo zimehanishiwa Moshi eneo ambalo anatarajiwa kuwania ubunge.

Hivi hawa wanaharakati hawawezi kuendelea na harakati zao pasipo fadhila za kupewa Ubunge?

Maana kama nia ni kuendelea kutetea wengine basi ni rahisi kuendelea kufanya hivyo akiwa siyo mbunge kuliko akishaingia kwenye lile Jumba.


Malisa achana na Ubunge bakia na Uanaharakati wako, wanaokudanganya kuwa unaweza kugombea Ubunge na kushinda hao ni waongo, utapoteza rasilimali zako bure wewe bado ni kijana unayejitafuta. Umaarufu wa mitandaoni unadanganya watu.
 
Mateso anayopatiwa huyu kijana majibu ni kumpatia mama kura sifuri
 
Kweli kabisa, anafanya siasa za kitoto, mimi nilimdharau alipokuwa anamuita Nape "bumunda", Nape hajawahi kutoa kauli mbaya kwake, hajamdharau Malisa.

Ila nilijufunza kwamba, kuna uzi mwembamba sana unaotenganisha Malisa halisi, na Malisa ambaye anatumia akili kufikiri, muda wowote anateleza na anaenda kwenye uhalisia wake na kuanza kutoa lugha za kebehi na dharau wakati angeweza kufanya siasa za kisomi
mwaka 1960 vijana waliwapiga vita wanyonyaji bila kuchagua njia ya kuwapiga vita , mwaka 2024 kijana anamtetea mnyonyaji kisa mnyonyaj akiwa mbele ya camera hatumii maneno magumu

TUKIITWA NY@N TUSIWE TUNALALAMA BADO VICHWA VINA UJINGA MWINGI WA KUTOJIELEWA , DOGO NI MPUUZI ILA KUNA SHERIA INARUHUSU KUMTORTURE HUYO DOGO ? UNASUBIR IFIKE ZAMU YAKO NDO UJUE HILO NI KOSA KISHERIA , BADO MTU MWEUSI HAJA EVOLVE KUWA MWANADAMU KAMILI
 
Hiyo ndio shetani kabisa muuwaji, bora hata wanaokupeleka Polisi kuliko alivyotaka kumuuwa Lisu.

Wapi Ben Saabane? Tutamkumbuka kwa ushetani wake.
unaitwa Dr ila akili kisoda , tupe ushahidi wa shutuma zako
 
Hivi hawa wanaharakati hawawezi kuendelea na harakati zao pasipo fadhila za kupewa Ubunge?

Maana kama nia ni kuendelea kutetea wengine basi ni rahisi kuendelea kufanya hivyo akiwa siyo mbunge kuliko akishaingia kwenye lile Jumba.


Malisa achana na Ubunge bakia na Uanaharakati wako, wanaokudanganya kuwa unaweza kugombea Ubunge na kushinda hao ni waongo, utapoteza rasilimali zako bure wewe bado ni kijana unayejitafuta. Umaarufu wa mitandaoni unadanganya watu.
akiwa akiminywa utajua wap ? maana media zipp mikonon mwa ccmu na watz wengi mnasubir media ila akiwa mbunge bas haitawezekana kuficha


ADUI WA TANZANIA NI WATANGANYIKA , HII JAMII NI YA HOVYO SANA , ACHA WAVISIWANI WAMEZEE TU HII JAMII HUENDA TUTAKETA RADHA INAYOJIELEWA HUKO MBELE
 
mwaka 1960 vijana waliwapiga vita wanyonyaji bila kuchagua njia ya kuwapiga vita , mwaka 2024 kijana anamtetea mnyonyaji kisa mnyonyaj akiwa mbele ya camera hatumii maneno magumu

TUKIITWA NY@N TUSIWE TUNALALAMA BADO VICHWA VINA UJINGA MWINGI WA KUTOJIELEWA , DOGO NI MPUUZI ILA KUNA SHERIA INARUHUSU KUMTORTURE HUYO DOGO ? UNASUBIR IFIKE ZAMU YAKO NDO UJUE HILO NI KOSA KISHERIA , BADO MTU MWEUSI HAJA EVOLVE KUWA MWANADAMU KAMILI
No one tortured him, alikuwa anafanyiwa interrrogation ya kawaida kabisa
 
Malisa anaweza kuozea jela, hizo kesi mbaya sana, mbaya mno, na hivi ana sura laini kama keki ya bezdei
Ubaya wa kesi hizo ni upi, ni uhujumu uchumi au kwa sababu ni za kusingiziwa?
 
Tatizo sio mitaala ya CCP, tatizo ni muundo wa service. Lazima itoke from police force to police service. Muundo wa sasa hata kwa sheria zake ni rahis sana wana siasa ku temper nao, kuwafanya wafanye lolote. Ukiangalia developed country mwanasiasa hana access ya kutemper na police, police ni independent na wanasimamiwa na department maalum

Lakin pia hatuna chombo kinachofuatilia makosa ya police, kama DCI ya kenya, although hawa wana investigate kesi kubwa kubwa, lakini wana uhuru mpaka wa kuchunguza police members haijalish ranks zao. Hiki chombo kina wa keep in check

Hili suala la police kujochunguza wenyewe halaf hawaleti majibu lina ukakasi
Hii changamoto haipo kwa police force tu, hata serikali kimuundo na fikra za viongozi na taasisi nyingi za Uma ni udhibiti wa raia ambao ni sera iliyokuwa ya wakoloni kuwadunisha na kuwanyonya waafrika ili watawalike.
Sera na fikra hizo haziwezi kujenga taifa lenye ushindani wa kimaendeleo duniani.
Hata hivyo, zipo hatua nyingi chanya zilizofanyika baada ya Uhuru, juhudi bado inahitajika kusonga mbele.
 
Back
Top Bottom