Malisa aachiwa kwa dhamana Saa Saba Usiku, moja kwa moja aelekea Hospitali ya KCMC

Malisa aachiwa kwa dhamana Saa Saba Usiku, moja kwa moja aelekea Hospitali ya KCMC

Kakamatwa mahakamani ! Legacy ya Mwalimu Kambarage inatutafuna mpaka leo masikini ya Mungu.

Hatujapata ma jurist na viongozi transformative wa kufuta haya mambo ya ki fashisti na ki heathen aliyoanzisha Malimu Nyerere, bado tunaiga, monkey see monkey do. Tunakamata watu mahakamani.

Halafu kesi zenyewe sasa, eti kasema mwalimu alichapa mtoto fimbo mpaka akafa. Na kesi ya mtumishi wa Waziri Mkenda sijui kafanya nini.


Himaya inatawala watu milioni 60 inahofia na kufuatilia criticism za kijana ambae 99.9% ya Watanzania hawajawahi kumsikia! Wamempa publicity. Labda tumejaa ugali for brains. Tuanze kula fish oil.
 
A
Kweli kabisa, anafanya siasa za kitoto, mimi nilimdharau alipokuwa anamuita Nape "bumunda", Nape hajawahi kutoa kauli mbaya kwake, hajamdharau Malisa.

Ila nilijufunza kwamba, kuna uzi mwembamba sana unaotenganisha Malisa halisi, na Malisa ambaye anatumia akili kufikiri, muda wowote anateleza na anaenda kwenye uhalisia wake na kuanza kutoa lugha za kebehi na dharau wakati angeweza kufanya siasa za kisomisa

Sasa kwani uongo Nape sio bumunda?!. Malisa yuko sahihi kabisa ktk hilo!.
 
Wanampa kiki huyu jamaa. Mimi nilikuwa simjui ila nimemjua.
 
tutambue tu kuwa mwanasiasa sio Kinga ya wewe kutoshitakiwa au kuishi utakavyo.

Wakati tunapambana Rais, VP, PM, Spika nk wasiwe na Kinga basi pia kwa upande mwingine nasisi tuyaishi maisha yakutokuwa na akili zilezile zakuvunja sheria tukiamini nasisi ni exceptional.
 
Bora ukamatwe hata na jambani atakuwa na huruma na siyo hili jeshi letu la hovyo kabisa
 
tutambue tu kuwa mwanasiasa sio Kinga ya wewe kutoshitakiwa au kuishi utakavyo.

Wakati tunapambana Rais, VP, PM, Spika nk wasiwe na Kinga basi pia kwa upande mwingine nasisi tuyaishi maisha yakutokuwa na akili zilezile zakuvunja sheria tukiamini nasisi ni exceptional.
Walishindwa nini kumuita? walimuita akagoma kwenda?
 
Back
Top Bottom