Malkia Elizabeth wala siyo Muingereza, Uingereza inatawaliwa na foreigners!

Malkia Elizabeth wala siyo Muingereza, Uingereza inatawaliwa na foreigners!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Wengi hawafahamu hilo, wanafikiri ni Muingereza, lkn ukweli ni kwamba Malkia Elisabeth ni Mjerumani na walibadilisha jina lao baada ya Vita Kuu ya Dunia na kujiita Windsor, original waliitwa Saxe—Coburg Gotha, ni foreigners England.

Sababu za kubadilisha jina la Kijerumani ni Vita ya Dunia iliyoanzishwa na Ujerumani ili kuficha Ujerumani wao, kwanza mwanzoni walisapoti nazis Adolf Hitler, pichani Queen Elisabeth na Adolf Hitler.

1663654169306.jpeg



Malkia Elisabeth akipiga NAZI salute, Heil Hitler!
1663654223459.jpeg
 
Hao ni wayahudi feki wanaomiliki mali zote za Dunia KWA kampuni Mbili tu za Barrick na De beers!yaani dhahabu na almasi!

Waisrael halisi wapo utumwani hadi leo Baada ya kumkataa masihi yesu kristo na ni jamii ya watu wote ya weupe KWA weusi bwengine tunao humu africa na Tanzania KWA ujumla!inawezekana hata wewe mwandishi una nasaba za kiyahudi Hadi Sasa!

Ndio màana kuna mfalme mmoja wa Misri (Abdul nasar )alipoambiwa aitambue israel ya Sasa kama Taifa takatifu aliishia kucheka Sana kisha akawadhihaki na kusema WAYAHUDI WALIONDOKA MISRI UTUMWANI WAKIWA WEUSI IWEJE LEO WAMEKUWA WEUPE!!?ACHENI UONGO!!!

WAISRAEL HALISI NI JAMII YA WATU WEUSI WALIOWENGI NA SIO WEUPE !WALIOWEUPE NI WACHACHAE SANA;-NDIO MAANA KING SOLOMON ANASEMA "MIMI NI MWEUSI MWEUSI LAKINI NI MZURI ENYI MABINTI WA MISRI"!HATA AYUBU ANASEMA "NGOZI YANGU NI NYEUSI NAYO YANITOKA"HATA YAKOBO NGOZI YAKE INANG'AA SANA!HAKUNA NGOZI NYINGINE INAYONG'AA ZAIDI YA MTU MWEUSI KWA hiyo jamii ya waisrael au WAYAHUDI ni ya watu wengi weusi kuliko ya weupe kibiblia!!

Hata wamisri walisema "waebrania wanafanana na Wana wa hamu,Hamu alikuwa na NGOZI iliyoungua Yaani nyeusi na uzao wake ulikuwa MWEUSI Hivyo Hivyo!!

Taifa Hilo tunalojua Kama waisrael ni feki ni jamii ya wajerumani,waturuki,na wazungu kabisa KWA nasaba!!

Inawezekana waethiopia au wakushi wakawa ndio mfano halisi wa Taifa israel KWA Sasa kuliko Taifa jingine lolote!!
 
King George V wa Britain, Czar Nicholas II wa Russia na Kaiser Wilhelm wa Germany wote walikuwa cousins na walifanana sana
1230 Tsar_Nicholas_II_&_King_George_V-min.jpg


Kwa mtu wa madongo kuinama atashangaa ila enzi zile walianza kuoleana kwenye falme tofauti ili kupunguza uadui uliokuwepo kabla. England na Spain zimepigana sana, England na France zimepigana vita nyingi tu, Russia na Britain zilipitia mikwaruzano. Suluhisho ilikuwa kuoleana, mwanamfalme wa Uingereza akimuoa binti wa mfalme wa Spain matokeo yake huyo mwana wa Uingereza akiwa mfalme atakuwa hawezi kupigana na wakwe zake. Na ndio uadui ulipungua hivyo.

Na ulilenga kumsema Prince Philip mume wa Malkia Elizabeth, huyo ndio Mjerumani na alikaribishwa ukoo wa kifalme alipotaka kuoa. Wakati dada zake walikuwa upande wa Nazi Germany, yeye alikuwa kamanda kwenye Royal Navy na alishiriki vita hasa uko Australia.

Wote hawa chimbuko lao ni masalia ya Vikings miaka kama 1000 iliyopita. Waingereza walipigana sana kugombea ufalme enzi zile za Knights. House ya hawa wa sasa ndio ilishinda na ikawa stable ila haikuwa mzawa wa asili na hilo lilisaidia
 
Kwa hivyo wewe ndiye mwenye akili nyingi kuliko waingereza? Bongo kuna watu wapuuzi sana. Ata akiwa mgogo sisi watanzania inatuhusu nini?

Hilo swali ungemuuliza labda raisi wako aliyetangaua siku za maombolezo kwa ajili ya Nazis!
 
King George V wa Britain, Czar Nicholas II wa Russia na Kaiser Wilhelm wa Germany wote walikuwa cousins na walifanana sanaView attachment 2362414

Kwa mtu wa madongo kuinama atashangaa ila enzi zile walianza kuoleana kwenye falme tofauti ili kupunguza uadui uliokuwepo kabla. England na Spain zimepigana sana, England na France zimepigana vita nyingi tu, Russia na Britain zilipitia mikwaruzano. Suluhisho ilikuwa kuoleana, mwanamfalme wa Uingereza akimuoa binti wa mfalme wa Spain matokeo yake huyo mwana wa Uingereza akiwa mfalme atakuwa hawezi kupigana na wakwe zake. Na ndio uadui ulipungua hivyo.

Na ulilenga kumsema Prince Philip mume wa Malkia Elizabeth, huyo ndio Mjerumani na alikaribishwa ukoo wa kifalme alipotaka kuoa. Wakati dada zake walikuwa upande wa Nazi Germany, yeye alikuwa kamanda kwenye Royal Navy na alishiriki vita hasa uko Australia.

Wote hawa chimbuko lao ni masalia ya Vikings miaka kama 1000 iliyopita. Waingereza walipigana sana kugombea ufalme enzi zile za Knights. House ya hawa wa sasa ndio ilishinda na ikawa stable ila haikuwa mzawa wa asili na hilo lilisaidia
Mkuu natamani ungeandika zaidi,kuna kitu nimejifunza
 
Wengi hawafahamu hilo, wanafikiri ni Muingereza, lkn ukweli ni kwamba Malkia Elisabeth ni Mjerumani na walibadilisha jina lao baada ya Vita Kuu ya Dunia na kujiita Windsor, original waliitwa Saxe—Coburg Gotha, ni foreigners Englanda.

Sababu za kubadilisha jina la Kijerumani ni Vita ya Dunia iliyoanzishwa na Ujerumani ili kuficha Ujerumani wao, kwanza mwanzoni walisapoti nazis Adolf Hitler, pichani Queen Elisabeth na Adolf Hitler.

View attachment 2362373


Malkia Elisabeth akipiga NAZI salute, Heil Hitler!
View attachment 2362375
Kwahiyo Obama ni mkenya sio marekani?acha mbwembwe,kinachothibitisha uraia huko UK,ni katiba yao sio maoni yako au asili ya wazazi wa mtu!
Miguna Miguna kutoka Kenya,ana uraia pia wa Canada!,siku akiwa kiongozi Canada,utasema Canada inatawaliwa na wageni?wazungu wote wa US,Austaria,new Zealand,asili yao ni UK,British sasa utasema hizo nchi zinatawaliwa na wageni?
 
Hao ni wayahudi feki wanaomiliki mali zote za Dunia KWA kampuni Mbili tu za Barrick na De beers!yaani dhahabu na almasi!

Waisrael halisi wapo utumwani hadi leo Baada ya kumkataa masihi yesu kristo na ni jamii ya watu wote ya weupe KWA weusi bwengine tunao humu africa na Tanzania KWA ujumla!inawezekana hata wewe mwandishi una nasaba za kiyahudi Hadi Sasa!

Ndio màana kuna mfalme mmoja wa Misri (Abdul nasar )alipoambiwa aitambue israel ya Sasa kama Taifa takatifu aliishia kucheka Sana kisha akawadhihaki na kusema WAYAHUDI WALIONDOKA MISRI UTUMWANI WAKIWA WEUSI IWEJE LEO WAMEKUWA WEUPE!!?ACHENI UONGO!!!

WAISRAEL HALISI NI JAMII YA WATU WEUSI WALIOWENGI NA SIO WEUPE !WALIOWEUPE NI WACHACHAE SANA;-NDIO MAANA KING SOLOMON ANASEMA "MIMI NI MWEUSI MWEUSI LAKINI NI MZURI ENYI MABINTI WA MISRI"!HATA AYUBU ANASEMA "NGOZI YANGU NI NYEUSI NAYO YANITOKA"HATA YAKOBO NGOZI YAKE INANG'AA SANA!HAKUNA NGOZI NYINGINE INAYONG'AA ZAIDI YA MTU MWEUSI KWA hiyo jamii ya waisrael au WAYAHUDI ni ya watu wengi weusi kuliko ya weupe kibiblia!!

Hata wamisri walisema "waebrania wanafanana na Wana wa hamu,Hamu alikuwa na NGOZI iliyoungua Yaani nyeusi na uzao wake ulikuwa MWEUSI Hivyo Hivyo!!

Taifa Hilo tunalojua Kama waisrael ni feki ni jamii ya wajerumani,waturuki,na wazungu kabisa KWA nasaba!!

Inawezekana waethiopia au wakushi wakawa ndio mfano halisi wa Taifa israel KWA Sasa kuliko Taifa jingine lolote!!
Porojo bila chembe ya ushahidi. Ila ujue dini yako ilianzishwa na vatican na wao ndio waliandika original manuscripts na wanazo mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom