Malkia Elizabeth wala siyo Muingereza, Uingereza inatawaliwa na foreigners!

Malkia Elizabeth wala siyo Muingereza, Uingereza inatawaliwa na foreigners!

Hao ni wayahudi feki wanaomiliki mali zote za Dunia KWA kampuni Mbili tu za Barrick na De beers!yaani dhahabu na almasi!

Waisrael halisi wapo utumwani hadi leo Baada ya kumkataa masihi yesu kristo na ni jamii ya watu wote ya weupe KWA weusi bwengine tunao humu africa na Tanzania KWA ujumla!inawezekana hata wewe mwandishi una nasaba za kiyahudi Hadi Sasa!

Ndio màana kuna mfalme mmoja wa Misri (Abdul nasar )alipoambiwa aitambue israel ya Sasa kama Taifa takatifu aliishia kucheka Sana kisha akawadhihaki na kusema WAYAHUDI WALIONDOKA MISRI UTUMWANI WAKIWA WEUSI IWEJE LEO WAMEKUWA WEUPE!!?ACHENI UONGO!!!

WAISRAEL HALISI NI JAMII YA WATU WEUSI WALIOWENGI NA SIO WEUPE !WALIOWEUPE NI WACHACHAE SANA;-NDIO MAANA KING SOLOMON ANASEMA "MIMI NI MWEUSI MWEUSI LAKINI NI MZURI ENYI MABINTI WA MISRI"!HATA AYUBU ANASEMA "NGOZI YANGU NI NYEUSI NAYO YANITOKA"HATA YAKOBO NGOZI YAKE INANG'AA SANA!HAKUNA NGOZI NYINGINE INAYONG'AA ZAIDI YA MTU MWEUSI KWA hiyo jamii ya waisrael au WAYAHUDI ni ya watu wengi weusi kuliko ya weupe kibiblia!!

Hata wamisri walisema "waebrania wanafanana na Wana wa hamu,Hamu alikuwa na NGOZI iliyoungua Yaani nyeusi na uzao wake ulikuwa MWEUSI Hivyo Hivyo!!

Taifa Hilo tunalojua Kama waisrael ni feki ni jamii ya wajerumani,waturuki,na wazungu kabisa KWA nasaba!!

Inawezekana waethiopia au wakushi wakawa ndio mfano halisi wa Taifa israel KWA Sasa kuliko Taifa jingine lolote!!
It is very interesting
 
Kwahiyo Obama ni mkenya sio marekani?acha mbwembwe,kinachothibitisha uraia huko UK,ni katiba yao sio maoni yako au asili ya wazazi wa mtu!
Miguna Miguna kutoka Kenya,ana uraia pia wa Canada!,siku akiwa kiongozi Canada,utasema Canada inatawaliwa na wageni?wazungu wote wa US,Austaria,new Zealand,asili yao ni UK,British sasa utasema hizo nchi zinatawaliwa na wageni?

Ni nani aliyekwambia Monarchy ina uraia? Queen Elisabeth hata passport alikuwa hana, sasa ni Uraia gani unaouongelea?
 
Hakuna la ajabu... technically hata King Charles III wa sasa unaweza kusema sio Mwingireza, maana baba yake Prince Phillip alikuwa Mgiriki

Prince Phillip hakuwa Mgiriki bali alikuwa ni Mjerumani aliyezaliwa Ugiriki ambapo Familia yao ilitawala huko pia.
 
Safi sana mwenye thread. Wapuuzi na walio ignorant usihangaike nawo. Kudos kwa madini
 
Nani ni mwarabu ?....au mama yake Elizabeth ?
Kuna theory inasema Malkia Elizabeth ana unasaba na uarabu tena moja kwa moja kutoka nasaba ya mtume Muhammad..ingawa haijathibitishwa rasmi hii ishu ila hii ndio Sequence ya generation kutoka kwa Muhammad mpaka kufiki kwa Malkia eliza
4AE6BEE900000578-5587555-image-a-5_1523060720844.jpg
 

Attachments

  • 4AE6BEE900000578-5587555-image-a-5_1523060720844.jpg
    4AE6BEE900000578-5587555-image-a-5_1523060720844.jpg
    63.7 KB · Views: 3
Damu ya kiarabu waliiwahi kabla haijaingia kwenye ufalme maana princess Diana alikuwa na uhusiano na mwanaume wa kiarabu mpk wanakufa inamaana jamaa wangezaa tu mwarabu angekuwa mdogo wa prince Harry
Kumbe unaongelea kitu ambacho hakipo kabisa,nikadhani kuna mtu yupo hai ndani ya Ufalme mwenye damu ya kiarabu kama walivyo watoto wa Prince Harry wenye damu ya kiafrica
 
Kuna theory inasema Malkia Elizabeth ana unasaba na uarabu tena moja kwa moja kutoka nasaba ya mtume Muhammad..ingawa haijathibitishwa rasmi hii ishu ila hii ndio Sequence ya generation kutoka kwa Muhammad mpaka kufiki kwa Malkia elizaView attachment 2362587
Hizi ni moja kati ya conspiracy theories nyingi tu kuhusu The Royal Family
 
Mku
Porojo za kiislamu bila chembe ya ushahidi. Ila ujue dini yako ilianzishwa na vatican na wao ndio waliandika original manuscripts na wanazo mpaka sasa.
Mkuu sijazungumzia uislamu wala ukristo nimezungumza ninachokijua kupitia maandishi niliyowahi kusoma hapo kabla!!

KWA maana wote tumezaliwa TU ni kupitia maandishi yawe ya ukweli au uongo ndipo imani ZETU zilipojengwa!!

Mimi nime share ninachojua kutoka kwenye maandishi niliyosoma!

Sikushangai coz hata misri ya kale haikuwa ya waarabu bali ya watu weusi NENO egyptus ni jina la malkia wa kike wa kimisri mweusibkwa Rangi yake waarabu walikuja Baadae!!

Dini zote Duniani ni mpangokazi wawatu KUTAKA kuwatawala wengine kiimani na kiakili!!

No hayo na wewe share vyako tu!!
 
King George V wa Britain, Czar Nicholas II wa Russia na Kaiser Wilhelm wa Germany wote walikuwa cousins na walifanana sanaView attachment 2362414

Kwa mtu wa madongo kuinama atashangaa ila enzi zile walianza kuoleana kwenye falme tofauti ili kupunguza uadui uliokuwepo kabla. England na Spain zimepigana sana, England na France zimepigana vita nyingi tu, Russia na Britain zilipitia mikwaruzano. Suluhisho ilikuwa kuoleana, mwanamfalme wa Uingereza akimuoa binti wa mfalme wa Spain matokeo yake huyo mwana wa Uingereza akiwa mfalme atakuwa hawezi kupigana na wakwe zake. Na ndio uadui ulipungua hivyo.

Na ulilenga kumsema Prince Philip mume wa Malkia Elizabeth, huyo ndio Mjerumani na alikaribishwa ukoo wa kifalme alipotaka kuoa. Wakati dada zake walikuwa upande wa Nazi Germany, yeye alikuwa kamanda kwenye Royal Navy na alishiriki vita hasa uko Australia.

Wote hawa chimbuko lao ni masalia ya Vikings miaka kama 1000 iliyopita. Waingereza walipigana sana kugombea ufalme enzi zile za Knights. House ya hawa wa sasa ndio ilishinda na ikawa stable ila haikuwa mzawa wa asili na hilo lilisaidia
Acha ujuaji wa kijinga mzee. PRINCE PHILIP alikuwa mtoto wa MFALME WA UGIRIKI na ni MGIRIKI, sio MJERUMANI na hana uhusiano na huko kabisa.
Ndegelec.
 
Acha ujuaji wa kijinga mzee. PRINCE PHILIP alikuwa mtoto wa MFALME WA UGIRIKI na ni MGIRIKI, sio MJERUMANI na hana uhusiano na huko kabisa.
Ndegelec.
Kutukana naweza sana ila kwa reply hii nakuhifadhi unless ukitaka hiyo ligi.

Wafalme mara nyingi kuondoa utata huwa wanaitwa kwa House names zao, sio kwa uraia wa kuzaliwa. Philip baba yake Mgiriki na mama ni familia ya Czar wa Urusi, ila House yake ni ya Kijerumani. Nilikosea kusema ni Mjerumani, sivyo. Ila House yake ni ya Kijerumani
 
Back
Top Bottom