Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa "conspiracy theories "hampitwiHao ni wayahudi feki wanaomiliki mali zote za Dunia KWA kampuni Mbili tu za Barrick na De beers!yaani dhahabu na almasi!
Waisrael halisi wapo utumwani hadi leo Baada ya kumkataa masihi yesu kristo na ni jamii ya watu wote ya weupe KWA weusi bwengine tunao humu africa na Tanzania KWA ujumla!inawezekana hata wewe mwandishi una nasaba za kiyahudi Hadi Sasa!
Ndio màana kuna mfalme mmoja wa Misri (Abdul nasar )alipoambiwa aitambue israel ya Sasa kama Taifa takatifu aliishia kucheka Sana kisha akawadhihaki na kusema WAYAHUDI WALIONDOKA MISRI UTUMWANI WAKIWA WEUSI IWEJE LEO WAMEKUWA WEUPE!!?ACHENI UONGO!!!
WAISRAEL HALISI NI JAMII YA WATU WEUSI WALIOWENGI NA SIO WEUPE !WALIOWEUPE NI WACHACHAE SANA;-NDIO MAANA KING SOLOMON ANASEMA "MIMI NI MWEUSI MWEUSI LAKINI NI MZURI ENYI MABINTI WA MISRI"!HATA AYUBU ANASEMA "NGOZI YANGU NI NYEUSI NAYO YANITOKA"HATA YAKOBO NGOZI YAKE INANG'AA SANA!HAKUNA NGOZI NYINGINE INAYONG'AA ZAIDI YA MTU MWEUSI KWA hiyo jamii ya waisrael au WAYAHUDI ni ya watu wengi weusi kuliko ya weupe kibiblia!!
Hata wamisri walisema "waebrania wanafanana na Wana wa hamu,Hamu alikuwa na NGOZI iliyoungua Yaani nyeusi na uzao wake ulikuwa MWEUSI Hivyo Hivyo!!
Taifa Hilo tunalojua Kama waisrael ni feki ni jamii ya wajerumani,waturuki,na wazungu kabisa KWA nasaba!!
Inawezekana waethiopia au wakushi wakawa ndio mfano halisi wa Taifa israel KWA Sasa kuliko Taifa jingine lolote!!
Asa wa mosri mbona ni weupe?Hao ni wayahudi feki wanaomiliki mali zote za Dunia KWA kampuni Mbili tu za Barrick na De beers!yaani dhahabu na almasi!
Waisrael halisi wapo utumwani hadi leo Baada ya kumkataa masihi yesu kristo na ni jamii ya watu wote ya weupe KWA weusi bwengine tunao humu africa na Tanzania KWA ujumla!inawezekana hata wewe mwandishi una nasaba za kiyahudi Hadi Sasa!
Ndio màana kuna mfalme mmoja wa Misri (Abdul nasar )alipoambiwa aitambue israel ya Sasa kama Taifa takatifu aliishia kucheka Sana kisha akawadhihaki na kusema WAYAHUDI WALIONDOKA MISRI UTUMWANI WAKIWA WEUSI IWEJE LEO WAMEKUWA WEUPE!!?ACHENI UONGO!!!
WAISRAEL HALISI NI JAMII YA WATU WEUSI WALIOWENGI NA SIO WEUPE !WALIOWEUPE NI WACHACHAE SANA;-NDIO MAANA KING SOLOMON ANASEMA "MIMI NI MWEUSI MWEUSI LAKINI NI MZURI ENYI MABINTI WA MISRI"!HATA AYUBU ANASEMA "NGOZI YANGU NI NYEUSI NAYO YANITOKA"HATA YAKOBO NGOZI YAKE INANG'AA SANA!HAKUNA NGOZI NYINGINE INAYONG'AA ZAIDI YA MTU MWEUSI KWA hiyo jamii ya waisrael au WAYAHUDI ni ya watu wengi weusi kuliko ya weupe kibiblia!!
Hata wamisri walisema "waebrania wanafanana na Wana wa hamu,Hamu alikuwa na NGOZI iliyoungua Yaani nyeusi na uzao wake ulikuwa MWEUSI Hivyo Hivyo!!
Taifa Hilo tunalojua Kama waisrael ni feki ni jamii ya wajerumani,waturuki,na wazungu kabisa KWA nasaba!!
Inawezekana waethiopia au wakushi wakawa ndio mfano halisi wa Taifa israel KWA Sasa kuliko Taifa jingine lolote!!
Kuna theory inasema Malkia Elizabeth ana unasaba na uarabu tena moja kwa moja kutoka nasaba ya mtume Muhammad..ingawa haijathibitishwa rasmi hii ishu ila hii ndio Sequence ya generation kutoka kwa Muhammad mpaka kufiki kwa Malkia elizaView attachment 2362587
Porojo bila chembe ya ushahidi. Ila ujue dini yako ilianzishwa na vatican na wao ndio waliandika original manuscripts na wanazo mpaka sasa.
Hakuna tusi hapo mzee nimezima ujuaji wako na uongo wako tu. Hana uhusiano wowote na Ujerumani na hajawaji tu.Kutukana naweza sana ila kwa reply hii nakuhifadhi unless ukitaka hiyo ligi.
Wafalme mara nyingi kuondoa utata huwa wanaitwa kwa House names zao, sio kwa uraia wa kuzaliwa. Philip baba yake Mgiriki na mama ni familia ya Czar wa Urusi, ila House yake ni ya Kijerumani. Nilikosea kusema ni Mjerumani, sivyo. Ila House yake ni ya Kijerumani
Ila The Sun ni Tabloid (gazeti la udaku). Yaani ni kama uandike kitu serious halafu ushahidi wako uwe "Ijumaa wikienda".Wengi hawafahamu hilo, wanafikiri ni Muingereza, lkn ukweli ni kwamba Malkia Elisabeth ni Mjerumani na walibadilisha jina lao baada ya Vita Kuu ya Dunia na kujiita Windsor, original waliitwa Saxe—Coburg Gotha, ni foreigners England.
Sababu za kubadilisha jina la Kijerumani ni Vita ya Dunia iliyoanzishwa na Ujerumani ili kuficha Ujerumani wao, kwanza mwanzoni walisapoti nazis Adolf Hitler, pichani Queen Elisabeth na Adolf Hitler.
View attachment 2362373
Malkia Elisabeth akipiga NAZI salute, Heil Hitler!
View attachment 2362375
Ila The Sun ni Tabloid (gazeti la udaku). Yaani ni kama uandike kitu serious halafu ushahidi wako uwe "Ijumaa wikienda".