Malkia Elizabeth wala siyo Muingereza, Uingereza inatawaliwa na foreigners!

Wazee wa "conspiracy theories "hampitwi
 
Asa wa mosri mbona ni weupe?
Mo Sarah
 
Yote yanawezakana.kama chanzo chetu ni mwanaume mmoja na mwanamke mmoja.kwanini tusiwe ndugu?[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wewe bibi, hujamalizana na kuwasakama wahindi na waarabu na wasomali kuwa sio raia wa TZ..
Unamshobokea na Queen kwenye nchi yake....
Aisee.....wewe ni kigagula...
 
Hakuna tusi hapo mzee nimezima ujuaji wako na uongo wako tu. Hana uhusiano wowote na Ujerumani na hajawaji tu.
Nimekupa maelezo sahihi rudi kafute upupu wako. Prince Philip ni mtoto wa mfalme wa UGIRIKI na ni Mgiriki, na hata ulichesema sasa house yao ni UONGO.
View attachment 2363540
 
Ila The Sun ni Tabloid (gazeti la udaku). Yaani ni kama uandike kitu serious halafu ushahidi wako uwe "Ijumaa wikienda".
 
Ila The Sun ni Tabloid (gazeti la udaku). Yaani ni kama uandike kitu serious halafu ushahidi wako uwe "Ijumaa wikienda".

Ushahidi gani unaoungelea kwamba hizo picha ni za Uongo au au kwamba Monarchy ya Uingereza ni Wajerumani na walibadilisha jina kutoka Saxe-Coburg na kuwa Windsor? Ni kipi kilichodanganywa hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…