Malkia wa movie za ngumi Cynthia Rothrock atua nchini Tanzania kula bata

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Neema zinazidi kumiminika nchini Tanzania baada ya [HASHTAG]#Zilipendwa[/HASHTAG] kutoka Hollywood kuja nchini Tanzania kutalii. Hakika wale ambao sio [HASHTAG]#Zilipendwa[/HASHTAG] hawawezi kujua namaanisha nini. Miaka hiyo kwenye vibanda vya video [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG] wamekula sana pesa yangu.

Wakati mwingine kusimama na kuchungulia kwenye dirisha la waliokuwa na tv [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG] ili nione muvi za huyu mwanamama mbabe.




 
Hiyo ya juu picha ya lini?? Nategemea awe mzee sasa hivi.
Wapi Cynthia Khan ma michelle khan pia??

Nakumbuka kitu cha China O'brien, angel of fury, dah, wadada walikuwa wanatoa dozi, hapo niko kwa jirani nimeshaoga naangalia kideo kidogo kimetengenezewa kikabati chake!
 
Tulikuwa tunamwita China(Chaina), wahenga wenzangu nafikiri mmenisoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…