Mkuu mimi ni muhenga flani ambae wakati naangalia hizo hao akina lufufu sijui mkandala walikuwa hawajaanza hizo poroja zao za dub kwa kiswahili huku wanapotosha maana. Late 80's hadi early 90's tunazicheki kwenye kichupa kidogo karibu tupate makengeza au chongo. Siku ukienda ukumbini unakutana na walimu wako mnakaa side to side, wakati huo wanafunzi hawaruhusiwi kwenda kumbi za starehe usiku, kesho akija class anakupiga vijembe tu hakutaji jina wala hakupi adhabu kwa vile anakujua mwanachama mwenzie.
Mkuu movie tamu za action ni saiv zamani walikua wanazingua sana kama umeshaifatilaMovie zilikuwa tamu asee
SAA iv computer zinaongezea mambo mengi had znaboa unaona kabisa ni uongo
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Serious mkuu, yupo Manyara na mumewe wana ranch kubwa sanahahaaa