Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Me naona ni wanafki tu bhn kuna mambo kibao ni ya kupigiwa kelele ila wamekaa kmy lkn kauli ya yule mama wamejifanya imewauma sanaa 🤣Ukweli usemweee😂😂
Sio kwa ushirikiano uleee
Me naona ni wanafki tu bhn kuna mambo kibao ni ya kupigiwa kelele ila wamekaa kmy lkn kauli ya yule mama wamejifanya imewauma sanaa 🤣
Strong woman TheoNaunga mkono hoja
🤣 me kwa kweli alinifurahisha san yule mamaTheo amepiga kwenye mshono😂
Hahaaaaa we itakua ulitoka online zaid ya saa 24Kasemaje kwan,
Yan bongo ukitoka online nusu saa tuu unapitwa na mamia ya updates
Ni kuhus kauli aliyootoa aliekua Rpc wa dodoma kuwa yule bint aliepigwa mande ni kama malaya t muuza uchiNimetoka kapa
Kumtetea yule Rpc kwa kuwa muwazi hakutaka kuwa mnafiki arudishwe dodoma aendele kuwa Rpc 😄Mnajaribu kufanyaje hapa?
Huwezi kuondoa hai ya mtu ati kwa kuwa mkweli ni nani kathibitishwa kuwa yeye ni mkweli au wewe una vinasaba vya kichaga ndoa maana unaomtetea?1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.
2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.
3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Spinning Propaganda ili "Kufubaza" mijadala ya Wamaasai wa Ngorongoro na ili kumkingia Kifua Afande aliyetoa amri ya kumbaka huyo binti.1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.
2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.
3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Theopista apewe PhD1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.
2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.
3. Mahakama punde itaweka wazi yote.