Malkia wa Nguvu Theopista

Malkia wa Nguvu Theopista

Okay, Good luck y’all.

Ila mngetulia hata hapa JF tu mngejifunza kuwa “Hatuna interest ya kujua kuwa huyo binti ni malaya au sio malaya “ haitusaidii kitu. Tunachotaka ni haki itendeke, she didn’t deserve the touture, kupigwa na chupa za bia na kuwa recorded.

Kama ni malaya mtupe ushahidi wa malipo aliyopewa, na bado mtakabiliwa na kosa la kurecord maudhui ya porno” So bado kosa liko pale.

Nini kigumu hapo kuelewa?
Hakuna mtu ambae hataki kuona haki inatendeka kwa yule binti
ila kitendo cha kumshukuia na kumshambulia yule Rpc haikua sawa.
kama ulisikiliza vizuri mahojiano yake kwa njia ya sauti yule mama utaona hakuongea vibaya kuhusu yule binti na kama ulinukuu t vichwa cha habar za utaona yule mama Rpc alikosea
 
Hakuna mtu ambae hataki kuona haki inatendeka kwa yule binti
ila kitendo cha kumshukuia na kumshambulia yule Rpc haikua sawa.
kama ulisikiliza vizuri mahojiano yake kwa njia ya sauti yule mama utaona hakuongea vibaya kuhusu yule binti na kama ulinukuu t vichwa cha habar za utaona yule mama Rpc alikosea
Sawa.
 
Okay, Good luck y’all.

Ila mngetulia hata hapa JF tu mngejifunza kuwa “Hatuna interest ya kujua kuwa huyo binti ni malaya au sio malaya “ haitusaidii kitu. Tunachotaka ni haki itendeke, she didn’t deserve the touture, kupigwa na chupa za bia na kuwa recorded.

Kama ni malaya mtupe ushahidi wa malipo aliyopewa, na bado mtakabiliwa na kosa la kurecord maudhui ya porno” So bado kosa liko pale.

Nini kigumu hapo kuelewa?
Mkuu achana na Hawa watu ,unadhan hawajui wanachokifanya ? Wanataka kutotoa kweny reli,,hata huyo mama alkua anajua anachofanya ni uhuni ila kaamua kutest kina Cha maji
 
Kwamba Binti Malaya alistahiri kupigwa mitishamba nyuma bila kupewa Maji? Na Wewe unaungana nae hivi leo huyo Mama mwanae Wahuni wakimsalandia wakamfanya vile atathubutu kuunyanyua mdomo na kusema mwanangu ni haki yake kufirwa sababu alikua Malaya? Au haujui kwamba Bongo Wahuni hawaishi wakikuamulia unaweza ukapagawa
Nendeni mkaskilize mahojiano kwa njia ya saut ya yule Rpc acheni kunukuu vyombo vya habari kilichoandikwa na alichotamka yule mama ni vitu viwili tofauti
 
1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.

2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.

3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Umesoma mpaka level gan? Kama ni chuo, ulipata GPA ya ngapi? Na kama una GPA kubwa ulisoma chuo gan??.

Kuna uhusiano mkubwa sana Kati ya IQ ndogo na KUJIPENDEKEZA na unafiki.
 
1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe.

2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema.

3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
Bila shaka utakuwa miongoni mwa marafiki waovu Sana na pengine umezoea vitendo Kama vile ndo maana kawaida

Hakuna mwenye Akili timamu anayeweza kuwaunga mkono askari wapumbavu wenye haki ya kulinda Sheria za nchi wanazivunja wenyewe makusudi

Hata MTU asiye na Dini hawezi kuunga mkono kitendo kile

Huyu mama Theopista Kama ametetea kitendo kile na yeye afuatiliwe Kwa karibu pengine ni kundi moja

MTU kuwa Malaya au kahaba haindoi utu na uraia wake haimanishi ndo atendewe ukatili Tena na askari wanaolinda raia na Mali zao

Au watuambie ndo michezo yao ya kawaida ya askari wetu
 
Back
Top Bottom