Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifuate mila za kuvaa magome ya miti? UmbwaaaaaNilijua ndio nyie walewale,unaacha kufuata mila na desturi zenu unafuata za waarabu halafu unajiona mjafanja kumbe ndezi tuu
Kuna utofauti gani?Wake wa Wafalme huitwa Queen consort na sio Queen
Una wazimu weweAlikuwa binti mbichi kabisa hata hivyo Mungu kamlinda sana. Alikuwa kiongozi mwema hata hivyo.
Harry kamuacha Meghan USA?? [emoji849][emoji849]Alimsalimia Liz Truss na kumwambia akapange safu yake ya mawaziri ila kwa Ile sura alikuwa anaumwa sana na kachoka au aliwekwa wa kufanana nae maana alikuwa kakonda sana na mkono wake ulikuwa mweusi sana sehemu ya nyuma ya kiganja
Ntamkumbuka sana Queen
Alikuwa mpole ila mkali akivurugwa
Walikuwa wanazinguana hao[emoji848]Maisha haya, tunamuona mkubwa wakina sisi, ila yule mdogo wake chaulevi waliokua wote anamchukuliaga poa tu sista yake.
Harry tena? Charles ndo atakoma maana uking hauwezi cha pombe yule na Camilla wake ...wanapiga bia mpaka inasema nisamehe jamaniImagine Prince Charles nimemsahau kabisa...
Na kigagula wake Camilla..
Huu msiba ni pigo mno kwa Harry jamani....
Kesho my ...ntaripoti live kutoka London ( Buckingham palace)Nimekusubiria mno hapa Witty...
Hebu tuhabarishe live[emoji1]
Nimerudi..Muda wote utarudi kwani unaelekea wap ndugu hufiki tuu?
Hapo umeelewa na kuukimbia ukweliSijaelewa na sitaki tu kuelewa
...Sidhani kwamba huko Buckingham Palace Kuna Hata Mbu au Nzi!![emoji846]Na anang'watwa na mbu
Vipi Hapo NANGURUKURU?Ukiona kila mtu aitwa huko weye tambua hali si nzuri.
Waingereza wana utaratibu mzuri wa kutayarisha raia wao kisaikolojia.
Baba yake Chale hajawahi kuwa mfalme.Kufuatia kifo chake, mtoto wake mkubwa, Mwanamfalme Charles
Mwanamfalme Charles na Prince William wameitwa kwenye makazi ya Malkia