TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

Harry kamuacha Meghan USA?? [emoji849][emoji849]
 
Kufuatia kifo chake, mtoto wake mkubwa, Mwanamfalme Charles


Mwanamfalme Charles na Prince William wameitwa kwenye makazi ya Malkia
Baba yake Chale hajawahi kuwa mfalme.

Chale hajawahi kuwa mwanamfalme.

Mfalme Chale alikuwa mwanamalkia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…