TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

Familia ya Kifalme nchini Uingereza imekusanyika katika kasri ya Balmoral ikiwa ni baada ya taarifa za afya ya Malkia Elizabeth II kuwa dhaifu kuwekwa hadharani. Viongozi mbalimbali duniani wameendelea kutuma ujumbe wa kumtakia afya njema.
 
Back
Top Bottom