Car4Sale Malori mapya ya kichina yanauzwa

Car4Sale Malori mapya ya kichina yanauzwa

Za mwaka gani hizo mkuu? Na bei zake zikoje?
za mwaka 2017 mkuu. bei ni million 162. hio ni bei imepigwa pamoja na vat, ushuru na usajili wa kadi. gari unachukua kwenye bondi yetu. punguzo tunaongea. hata cif price tunauza, kama una vat exemption.
 
download.jpg
 
SITRAK YA HORSE POWER 390. MASHINE KUBWA ZIPO STOCK. ZINAPIGA KAZI ZOTE NZITO KWENYE MILIMA NA MABONDE. STOKE MPYA ZA HOWO ZINAKUJA MWEZI WA SITA. WADAU WA BIASHARA TUWASILIANE KWA SIMU KUWEKA ODA YA MALORI
0767-379 412.

IMG_20180305_105606.jpg
 
mkuu malori ya kuzoa taka ya Mitsubishi ni shiling ngapi? Na Howo bei ni shiling ngapi?
 
mkuu malori ya kuzoa taka ya Mitsubishi ni shiling ngapi? Na Howo bei ni shiling ngapi?
Malori ya kuzoa taka nakushauri chukua Howo bosi ndio mazuri kwasababu engine ni za diesel halafu bei sio kubwa sana. malori ya mitsubishi mengi yana horse power ndogo na bei ni kubwa.

Tungewasiliana kwenye simu ingekuwa vizuri zaidi. 0767-379412.
 
Back
Top Bottom